Couples Verification!

Couples Verification!

hahaa Lady doctor utaacha azimie kwa puresha.......

kwani ile hosteli ya wakeze haijakamilika tu!!!!!!!

Kaona hosteli haitoshi kaamua kutafuta mabehewa ya treni...yapo india yanatengenezwa maana ya mwakyembe madogo yanaingiza watu 100 kila moja wakati yeye anataka ya watu 30000 na yawe 50

cc Lady doctor
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha haaa, yaani hapa nataka nilale..maana usiku wa leo tuko lindoni tena.

Afu kiwatengu kazi yake ilikuwa kusinzia tu, kila saa mabegani kwangu. Aondlewe kwenye kazi ya ulinzi. Tutaibiwa.
KOKUTONA I hope aliishia mabegani tu hakwenda sehem nyingine......

Leo tutakubadilishia mtu bana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom