Couples Verification!

Couples Verification!

wakuu mimi hapa mgeni ila natamani nisiwe singo kwa muda mrefu, nahitaji mlioko na ndoa umu, mnipe mbinu za medani na kimazingira kuopoa mzigo wa maana..nawakilisha hoja
 
Nimetembea na huu uzi zaidi ya mara mbili;
Naona kuna njama zilizofanyika kumwangusha Baba V;
Naungana na Ruttashobolwa pamoja na kiwatengu
kupaza sauti ya kusema kuwa Erickb52 siyo mwenyekiti halali wa ndoa
hapa cc.

Nipo tayari kutoa taarifa kwenye vyombo husika kuwa huku cc tumevamiwa.

Huna lolote umehongwa
 
Back
Top Bottom