COVAX: Mpango wa Chanjo ya Covid-19 wa Bill Gates na mke wake

COVAX: Mpango wa Chanjo ya Covid-19 wa Bill Gates na mke wake

Usemayo ni sawa. Ila kumbuka wenye dhamana ni viongozi.
Ww mshahara wako kwa mwezi ni laki 4 lkn hiyo laki 4 ni posho ya mbunge kwa masaa tu kwa siku. Kuna mbunge yoyote au kiongozi aliyewahi kukutetea kuhusu kuongezwa mshahara?
Kawaulize wananchi wa Mtwara kuhusu gesi. Walikula virungu na gesi inachukuliwa km kawaida.
Raisi akisema ndiyo wewe unaweza kupinga?
Kamuulize yule daktari aliyekuwa anaongoza mgomo kipind cha Kikwete. Walimdaka, wakampa kichapo mpaka leo hii hakuna mgomo.
Unaweza kuwa na mawazo mazuri sana ila likifika katika watu wenyewe nguvu na fedha siyo chochote tena
Mzee hapa wapo wataalamu na dawa zipi nyingi tu tunatengeneza. Hatuwezi kuwa shamba la majaribio.
 
Maombi.
Nyungu
tanga wizi na malimao.
hivi ndivyo vimetufikisha hapa leo.hatuvai barakoa, wala kutumia sanitizer wala maji tiririka.
KAMA UNABISHA WEWE MJEURI.
marehemu tumchukie ILA ukweli usemwe.
Mbinu zake zimezaa matunda
 
[emoji419]
4928.jpg
 
Kuna mwamba alitabiri kuwa bibi anaweza kuwa one term prezi nayeye kwahio huenda maandalizi ndio yameanza.
Huyu hafai hata kuwa one term president!

Sio yeye anayeyafanya haya.... kuna genge liko nyuma yake!

Yeye binafsi sijui kama anaelewa hata corona ni kitu gani!

Is it a virus or fungi, she doesn't know! Or may be it is a ghost!

Akiamka na kuvaa ushungi basi siku imeisha!

Anasubiri kunywa chai na kuperuzi facebook!

Huwezi kumlinganisha na Mkemia chuma JPM. A man who knows what he says!

Doooh... garasa hili.
 
Hizo dawa ambazo hazina hata vipimo, unakunywa kama maji. Sijawahi kuiona hata hosptali au kwenye maduka ya madawa zaidi utazikuta kwenye maduka ya dawa asili.
Dawa za kienyeji huwa zisiamini ni km ubabaishaji tu.
Ukimwi upo tangu miaka 1980 lkn mpk leo hao wataalamu wa kiafrika hajavumbua lolote zaidi ya kupokea ARV za misaada.
Sasa hivi kuna ugonjwa wa Corona. Hiyo Ngoka inaponesha Corona?
Kumbuka wenye dhamana ni viongozi.
 
Hizo dawa ambazo hazina hata vipimo, unakunywa kama maji. Sijawahi kuiona hata hosptali au kwenye maduka ya madawa zaidi utazikuta kwenye maduka ya dawa asili.
Dawa za kienyeji huwa zisiamini ni km ubabaishaji tu.
Ukimwi upo tangu miaka 1980 lkn mpk leo hao wataalamu wa kiafrika hajavumbua lolote zaidi ya kupokea ARV za misaada.
Sasa hivi kuna ugonjwa wa Corona. Hiyo Ngoka inaponesha Corona?
Kumbuka wenye dhamana ni viongozi.ze
Usidhani sisi ni wapumbavu kama wewe. Historia ya Ukimwi unaijua wewe!?
Mtoto umekuwa juzi unaanza kuingia kwenye kikundi cha sifa.
 
Hizo chanjo zilizotajwa zilitolewa kipindi hao matajiri wana akili timamu[emoji38][emoji38][emoji38] na uoga wa Mungu! Hizi za sahizi wanazotaka kuleta zina mrengo wa kibiashara na maangamizi ya mtu mweusi! Bill gate ni bepari ni devil
Mtu mweusi aangamizwe na nani? Na kwa nini?

Hivi mtu mweusi ni tishio kwa nani duniani mpaka atake kuangamizwa?
Mbona mnakuwa wajinga hivi nyie watu????

Hivi hao wazungu wangetaka kuwaua watu weusi (kama mnavyoaminishwa) walikuwa na haja gani kusubiri chanjo ya korona ya mwaka 2020/2021?

Kama wazungu wangetaka kutuua, kwa nini wasingetuua kwenye chanjo ya Polio (ambayo KILA mtoto hapa Tz amechanjwa,including wewe hapo),Chanjo ya Surua,Chanjo ya Kifua kikuu etc...?

Hebu tumieni akili zenu kureason, Msiwe wapumbavu kiasi hiki
 
Mtu mweusi aangamizwe na nani? Na kwa nini?

Hivi mtu mweusi ni tishio kwa nani duniani mpaka atake kuangamizwa?
Mbona mnakuwa wajinga hivi nyie watu????

Hivi hao wazungu wangetaka kuwaua watu weusi (kama mnavyoaminishwa) walikuwa na haja gani kusubiri chanjo ya korona ya mwaka 2020/2021?

Kama wazungu wangetaka kutuua, kwa nini wasingetuua kwenye chanjo ya Polio (ambayo KILA mtoto hapa Tz amechanjwa,including wewe hapo),Chanjo ya Surua,Chanjo ya Kifua kikuu etc...?

Hebu tumieni akili zenu kureason, Msiwe wapumbavu kiasi hiki
Tumia wewe chanjo yao inatosha
 
Mwendazake hakuwa raisi yule. Alikuwa anaharibu nchi ndiyo maana Mungu alimuondoa mapema. Hata elimu yake ilikuwa ya kugushi. Ben Saanane alipoanza kuweka bayana kuhusu elimu yake, alimpoteza
Yeye mwenyewe alikufa kwa Corona ndiyo maana alipokufa viongozi wote ikulu walianza kuvaa barakoa
Huyu hafai hata kuwa one term president!

Sio yeye anayeyafanya haya.... kuna genge liko nyuma yake!

Yeye binafsi sijui kama anaelewa hata corona ni kitu gani!

Is it a virus or fungi, she doesn't know! Or may be it is a ghost!

Akiamka na kuvaa ushungi basi siku imeisha!

Anasubiri kunywa chai na kuperuzi facebook!

Huwezi kumlinganisha na Mkemia chuma JPM. A man who knows what he says!

Doooh... garasa hili.
 
Hapo ulipo umeshiba makande na chai unaanza kubweka JF na kisimu chako cha TECNO
Hauna cheo chochote unabweka tu. Kamuulize Ulimboka yule kiongozi wa madaktari waliofanya mgomo kipindi cha JK au wakazi wa Mtwara kuhusu Gesi.
Unajifananisha na Samia Suluhu. Endelea kupiga Kelele ndiyo utajua ule msemo
"Siongei na mbwa, naongea na mwenye mbwa"
Usidhani sisi ni wapumbavu kama wewe. Historia ya Ukimwi unaijua wewe!?
Mtoto umekuwa juzi unaanza kuingia kwenye kikundi cha sifa.
 
Tumia wewe chanjo yao inatosha
C'mon... Usikimbie maswali.

JIBU NILICHOKUULIZA kwa hoja kama unaamini unachokitetea.

Nimekuuliza, kama wazungu wanataka kutuua (kama mlivyoaminishwa), Kwanini wasingetuua kwenye Chanjo ya Polio,Surua,Tb,Homa ya manjano?

Toka tumepata uhuru 1961,Kila mtoto anayezaliwa hapa TZ anachanjwa chanjo ya Polio na Surua(hata wewe ulichanjwa),Kama ni kutuua, kwa nini hawakutuua kwenye hizo chanjo then wakae wasubirie kutuua kwenye chanjo ya corona ya mwaka 2020/2021?

Jibu haya maswali yangu.
 
alipokufa viongozi wote ikulu walianza kuvaa barakoa
Mtu mwenyewe unaitwa Johhny Impact.

Kama jina lako tu halina maana, unafikiri wewe unaweza kuwa na maana yoyote!?

Halafu unajadili kuhusu barakoa?

What do you know about barakoa?

JOHNNY IMPACT.
 
Hapo ulipo umeshiba makande na chai unaanza kubweka JF na kisimu chako cha TECNO
Hauna cheo chochote unabweka tu. Kamuulize Ulimboka yule kiongozi wa madaktari waliofanya mgomo kipindi cha JK au wakazi wa Mtwara kuhusu Gesi.
Unajifananisha na Samia Suluhu. Endelea kupiga Kelele ndiyo utajua ule msemo
"Siongei na mbwa, naongea na mwenye mbwa"
Ona ulivyo pungua wani.
Unatetea ujinga. 🤣 🤣 🤣 🤣 unadhani mimi ni mwehu kama wewe.
Hapa tunaongea na wenye ufahamu siyo wewe puppet wa wazungu. Ukoloni mambo leo haupo tena kijana. Fanya kazi hakuna cha bure duniani.
 
Kama unajiita kivumishi kielezi ambacho hakipo kwenye lugha ya kiswahili. Unafikiri una maana yoyote? Inaonesha haujui nini maana ya kivumishi hata kielezi pia.
Unaonesha hata shule ulikuwa unasindikiza wengine.
Mtu mwenyewe unaitwa Johhny Impact.

Kama jina lako tu halina maana, unafikiri wewe unaweza kuwa maana yoyote!?

Halafu unajadili kuhusu barakoa?

What do you know about barakoa?

JOHNNY IMPACT.
 
Kama unajiita kivumishi kielezi ambacho hakipo kwenye lugha ya kiswahili. Unafikiri una maana yoyote? Inaonesha haujui nini maana ya kivumishi hata kielezi pia.
Unaonesha hata shule ulikuwa unasindikiza wengine.
Umekumbuka kuvaa barakoa leo?

Au wameshakudunga chanjo ya makalio?

Bwana JOHNNY IMPACT?
 
Kama unajiita kivumishi kielezi ambacho hakipo kwenye lugha ya kiswahili. Unafikiri una maana yoyote? Inaonesha haujui nini maana ya kivumishi hata kielezi pia.
Unaonesha hata shule ulikuwa unasindikiza wengine.
Mzee mipasho waachie akina khadija koppa.

Usitupigie kelele za akina abber luti
 
Mzee miaka ya 1961 population duniani ilikuwaje!? Hiyo miaka walikuwepo mashetani hawa akina Bill Gates!?

Je, hiyo miaka DNA Technology ilikuwaje!? Je, walikuwa wanaijua GNOME ya binadamu kama sasa!?

Bwana Jonny Impact aka Khajida Koppa.
 
Unajua kuhusu ukoloni mambo leo au ulikimbia shule?
Inaonesha hajui kuhusu ukoloni mambo leo. Ingia Google tafuta Neo colonialism usome
Upo unabweka tu JF huku umevimbiwa kiporo cha ugali na simu yako ya Itel. Simu yenyewe unatumia Itel unafikiri utakuwa na akili ya kujua ukoloni mamboleo (Neo Colonialism)
Ona ulivyo pungua wani.
Unatetea ujinga. 🤣 🤣 🤣 🤣 unadhani mimi ni mwehu kama wewe.
Hapa tunaongea na wenye ufahamu siyo wewe puppet wa wazungu. Ukoloni mambo leo haupo tena kijana. Fanya kazi hakuna cha bure duniani.
 
Back
Top Bottom