isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
- #21
Panama na Costa Rica katika ghuba ya Mexico (Central América - Latin) zimetangaza rasmi kuwepo kwa wagonjwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hispain kwa miguu itamgarimu miaka 20 kufikaNasikia alisema anarudi kwa mguu (kutembea) hivyo kama ameanza safari leo bado ana siku nyingi mpaka afike bongo.
Siku 71 tu mkuu. Ni km 9000 tu kupita Trans-Saharan Highway
Nchi ni zaidi ya 210 lakini zinazotambuliwa ni nchi 196 na Umoja wa Mataifa
Eh?!!COMFIRMED! Mtanzania mmoja nchini UAE 'Falme za Kiarabu' ameambukizwa corona
View attachment 1383246