isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
- #41
Ni suala la muda! Kikubwa mwenye Mungu aepushe dhahama hiiEh?!!
Wanaosema n
Conv19 inadunda kwenye ngozi nyeusi wasikie kwa sauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni suala la muda! Kikubwa mwenye Mungu aepushe dhahama hiiEh?!!
Wanaosema n
Conv19 inadunda kwenye ngozi nyeusi wasikie kwa sauti.
Hakika mkuu maana nikiangalia uwezo wa sector ya afya hapa nchini na maandalizi tuliyonayo naona kabisa kupoteza watanzania wengi sana hii ngoma ikitinga nchini.Ni suala la muda! Kikubwa mwenye Mungu aepushe dhahama hii
Manara tangu Simba iliponanii sijamskia kabisaYule hapaswi kuachiwa kwanza ni mweupe kama wachina ni rahis kuambukiizwa
Mungu hakunyimi vyote mkuuMimi ninataka kuuliza tangu cvn 19 itokee kuna taarifa za black skin yaan mtu mweus ameishapata maambukizi au ameishareportiwa kufariki? Maana licha ya kua Afrika wapo walio ugua na misiri leo kafa aliyekua anaumwa ila hakua mwafrika hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana! Sio kweli zilikuwa tetesiTaarifa za hivi punde ni kuwa tayari ipo reported DRC
Democratic Republic of Congo confirms first coronavirus caseHapana! Sio kweli zilikuwa tetesi
Kuna dogo mmoja alikua china ni raia wa cameroon alipata corona lakini alipona na alikua cleared kutoka hospitali..Mimi ninataka kuuliza tangu cvn 19 itokee kuna taarifa za black skin yaan mtu mweus ameishapata maambukizi au ameishareportiwa kufariki? Maana licha ya kua Afrika wapo walio ugua na misiri leo kafa aliyekua anaumwa ila hakua mwafrika hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo case ni ya Mshukiwa! tupo nayo sasa. Not real maambukizi kuwa Confirmed!
Mimi ninataka kuuliza tangu cvn 19 itokee kuna taarifa za black skin yaan mtu mweus ameishapata maambukizi au ameishareportiwa kufariki? Maana licha ya kua Afrika wapo walio ugua na misiri leo kafa aliyekua anaumwa ila hakua mwafrika hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaqezekana wakawa black spiciesView attachment 1383232
Vifo ni 4,088 kufikia hivi sasa
View attachment 1383233
Waliorudi katika hali zao ni 64,385 hadi sasa
Ugumu wa maisha wanaopitia waafrika ni hatari zaidi ya huo ugonjwaMimi ninataka kuuliza tangu cvn 19 itokee kuna taarifa za black skin yaan mtu mweus ameishapata maambukizi au ameishareportiwa kufariki? Maana licha ya kua Afrika wapo walio ugua na misiri leo kafa aliyekua anaumwa ila hakua mwafrika hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app