isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
-
- #21
Hispain kwa miguu itamgarimu miaka 20 kufikaNasikia alisema anarudi kwa mguu (kutembea) hivyo kama ameanza safari leo bado ana siku nyingi mpaka afike bongo.
Siku 71 tu mkuu. Ni km 9000 tu kupita Trans-Saharan Highway
Nchi ni zaidi ya 210 lakini zinazotambuliwa ni nchi 196 na Umoja wa Mataifa
Eh?!!COMFIRMED! Mtanzania mmoja nchini UAE 'Falme za Kiarabu' ameambukizwa corona
View attachment 1383246