Alikua anamaliza zamani kabla hajaotea mchongo wa whatsapp group ukifuatilia stori nyingi za miaka ya karibuni hamalizi anamalizia kuleMbona kamalizaga nyingi tu zile za vitabu ndo ajamalizia uku
Wait and see atamalizia tu...
Habib anawaweza sana watu wa humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu mtu ana group mnategemea atamaliza stori humu
Mimi nilishamjua mauzo yakishuka kwenye group anakuja kuchota member humu
Hawezi kumaliza stori ever
Sent using Jamii Forums mobile app
MmmhhhhNi simulizi gani ambayo nimewahi kuanzisha humu alafu sijawahi kuimaliza.
Nimeandika si chini ya simulizi 50 humu jukwaani kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita. Ni simulizi moja tu ambayo niliacha kuimaliza (Ujasusi Sebuleni Kwetu) na ni kwa sababu nilizuiwa na vyombo vyetu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huu ndio ukweliHii dunia ukiwa na kitu fulani spesho hakuna kutoa bure la sivyo utazeeka maskini utachekwa The Bold ashajua weakness ya waswahili ni wavivu wa kuchimba mambo na kusoma hasa vitu viko wa English katumia hii chance kuchukua vijichenji vyenu mimi nasema huyu ni Mwamba Mwache afanye hivi hivi stori inamaliziwa Whatsapp MAKOFI KWA THW BOLD endelea kukusanya pesa hakuna kucheka na kima[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Blackberry
Basi kila mtu ashinde mechi zake mtakoma mnaopenda down [emoji2]
Blackberry
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unatunyanyasa sana....ipo siku hy nafasi yako itatwaliwa na mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema huyu msela ananata kishenzi yan...
Mi story yenyewe nishasahau..
Aah wengine tupo tupo tu akileta asipoleta sawa
Ila wanaolalamika lazima waelewe jamaa hatoi bure[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo tunakusubiri mkuu
Muhimu sana tag yako mkuu
Huwez kumpangia km vp lete ww, yaan wabongo shida kweli kila mtu ana ratba zake za kutumia mitandao, nje ya hapa ana majukumu mengneAah wengine tupo tupo tu akileta asipoleta sawa
Ila wanaolalamika lazima waelewe jamaa hatoi bure[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]. Tutafanyaje Sasa tutasubiri tu