T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Alikua anamaliza zamani kabla hajaotea mchongo wa whatsapp group ukifuatilia stori nyingi za miaka ya karibuni hamalizi anamalizia kuleMbona kamalizaga nyingi tu zile za vitabu ndo ajamalizia uku
Wait and see atamalizia tu...
Simlaumu maana huwezi kumlazimisha ila nawashangaa ambao hawajamshtukia ana maanisha nini
Sent using Jamii Forums mobile app