Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mkuu utakapo mtumia Baba Swalehe usisite kunitag please.
Tunaendelea kusubiri tu.Dah Mkuu mwendelezo lini tena?
Kwa hiyo unadhani hamna references kabisa hapa? Unashindwa nini kwenda YouTube na kuangalia White House Correspondents dinner? Unashindwa nini ku-google Wuhan Institute of Virology ujifunze zaidi. Hujui hata riwaya huwa zina mafunzo flani ndo maana ziko mpaka kwenye mitaala ya elimu zetu? Hii ni chakula tu ya ubongo.. tho ukitaka kujua zaidi, vitu almost vyote viko mtandaoni, Habibu B. Anga ametusaidia tu kutukusanyia na kutuwekea pamojaNa huwa wanaweka references. Unajua hilo Mkuu? Hawafanyi kama ni zao hiyo tunaita plagiarism. Jamaa anachofanya ni kama anasimulia riwaya ingawa kiuahalisia anataka pia ionekane ni habari ya kweli kabisa.sasa anakuwa katikati.mwishowe anajikuta kama naye ni mhusika anasimulia mambo ambayo ameshiriki kabisa.hapo ndo anapodanganya umma wa wanajamiiforums wanaojitambua.wale vilaza wao hawahangaiki kutafakari.wanasema tu hadithi njoo uongo njoo...utamu kolea.
Mkuu form four leavers ndo nn labda ??,La msingi angeweka vitabu hapa tutasoma wenyewe siyo kutafsiria watu na kuweka chai au kujifanya yeye ndo kaandika.though najua hawezi weka vitabu maana vitamuumbua. Msiwe mnasahau na sisi wenye uelewa tumo humu.siyo wote ni form four leavers.
Ingekuwa vizuri kama ungekosoa watu na matukio anayoweka kwenye Story zake.Fanya Critic badala ya general statementsNa huwa wanaweka references. Unajua hilo Mkuu? Hawafanyi kama ni zao hiyo tunaita plagiarism. Jamaa anachofanya ni kama anasimulia riwaya ingawa kiuahalisia anataka pia ionekane ni habari ya kweli kabisa.sasa anakuwa katikati.mwishowe anajikuta kama naye ni mhusika anasimulia mambo ambayo ameshiriki kabisa.hapo ndo anapodanganya umma wa wanajamiiforums wanaojitambua.wale vilaza wao hawahangaiki kutafakari.wanasema tu hadithi njoo uongo njoo...utamu kolea.
Amedanganya nini?,ukweli ni upi?.Wewe ni mkewe?sasa kama umemkubali mume mmoja unataka unikubali na mimi ili iweje?mimi sihitaji kupiga hela kwa kuwadanganya vilaza.mi nawaelimisha bure.umaarufu wangu ni mkubwa nje ya Jamiiforums kwa jina langu halisi.humu naburudika na kuelimisha watu.
Wajinga siku zote ndio waliwao.kama unavyojitanabaisha hapa.unaliwa kila sehemu kwa ubwege wako....namsaidia mwandishi asidhani humu mmejaa nyie tu vilaza.baadaye anawaunga kwenye group anawatoza pesa....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Na mnaliwa kimapenzi pia.
Thibitisha kuwa wewe una uelewa mkubwa kuliko wengine.La msingi angeweka vitabu hapa tutasoma wenyewe siyo kutafsiria watu na kuweka chai au kujifanya yeye ndo kaandika.though najua hawezi weka vitabu maana vitamuumbua. Msiwe mnasahau na sisi wenye uelewa tumo humu.siyo wote ni form four leavers.
Hizi stori kama una ubingo kama wa kuku utapotea tu. Hili ni jukwaa la intelligence tu. Mtu akiona ha-fit bora ajikatae tuMbona kuna nyuZi nyingi sana za size yako mfano ile ya kula tunda kimasihara,ungeenda Kule,humu unatuletea hasira tusije tukakuponda hicho kichwa chako kama cha koboka
Kweli kabisa wenye ubingo wa kuku lazima wadate hahahahahHizi stori kama una ubingo kama wa kuku utapotea tu. Hili ni jukwaa la intelligence tu. Mtu akiona ha-fit bora ajikatae tu
Hahaaa...mchapio wangu.Kw
Kweli kabisa wenye ubingo wa kuku lazima wadate hahahahah
I can't be happier than this.To the moon and back
Blackberry
Mkuu form four leavers ndo nn labda ??,
Hakika hapo umenenakwanza mkuu nikukosoe kwa kudhani watu wameamua kukuparua sababu hawaelewi vile mtiririko wako una kona nyingi,NO.
watu wanapenda mambo yasiyoeleweka kirahisi ndio hulka ya binaadam,na ndio maana hata wewe ukatueleza uliipenda topic ya quatum physics sababu ya hayo maspringi yake.
watu wanajaa upepo sababu wanatamani wakuelewe kwa kuleta kitu baada ya kitu,sio unaleta moja leo inamuacha mtu hewani akiwa hajanasa kitu kwa uzuri,halafu nyingine wiki ijayo,mambo ni mengi mtu ana loose intrest na kujikuta haelewi tena.
mbali na yote najua unapoteza muda na rasilimali zako kutuburudisha sisi usiotujua,pole na tunashukulu,ila isiwe fimbo ya kutuchapia,maana inageuka adhabu kweli kweli.
100.
Finally vichwa panzi wametualibia uzi 😢
Ooooh hatuelewi ooooh unazunguka mbuyu wanashindwa kusoma kichwa apo kinahusu deep state inavyo husika na kuenea kwa covid 19
Sema nn anko The bold umezingua kutulisha ugal bila mboga tushibe haraka kisa vichwa panzi wachache