COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

La msingi angeweka vitabu hapa tutasoma wenyewe siyo kutafsiria watu na kuweka chai au kujifanya yeye ndo kaandika.though najua hawezi weka vitabu maana vitamuumbua. Msiwe mnasahau na sisi wenye uelewa tumo humu.siyo wote ni form four leavers.

Mkuu utakapo mtumia Baba Swalehe usisite kunitag please.
 
Kwa hiyo unadhani hamna references kabisa hapa? Unashindwa nini kwenda YouTube na kuangalia White House Correspondents dinner? Unashindwa nini ku-google Wuhan Institute of Virology ujifunze zaidi. Hujui hata riwaya huwa zina mafunzo flani ndo maana ziko mpaka kwenye mitaala ya elimu zetu? Hii ni chakula tu ya ubongo.. tho ukitaka kujua zaidi, vitu almost vyote viko mtandaoni, Habibu B. Anga ametusaidia tu kutukusanyia na kutuwekea pamoja
 
kwanza mkuu nikukosoe kwa kudhani watu wameamua kukuparua sababu hawaelewi vile mtiririko wako una kona nyingi,NO.

watu wanapenda mambo yasiyoeleweka kirahisi ndio hulka ya binaadam,na ndio maana hata wewe ukatueleza uliipenda topic ya quatum physics sababu ya hayo maspringi yake.

watu wanajaa upepo sababu wanatamani wakuelewe kwa kuleta kitu baada ya kitu,sio unaleta moja leo inamuacha mtu hewani akiwa hajanasa kitu kwa uzuri,halafu nyingine wiki ijayo,mambo ni mengi mtu ana loose intrest na kujikuta haelewi tena.

mbali na yote najua unapoteza muda na rasilimali zako kutuburudisha sisi usiotujua,pole na tunashukulu,ila isiwe fimbo ya kutuchapia,maana inageuka adhabu kweli kweli.

100.
 
Ingekuwa vizuri kama ungekosoa watu na matukio anayoweka kwenye Story zake.Fanya Critic badala ya general statements

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amedanganya nini?,ukweli ni upi?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
La msingi angeweka vitabu hapa tutasoma wenyewe siyo kutafsiria watu na kuweka chai au kujifanya yeye ndo kaandika.though najua hawezi weka vitabu maana vitamuumbua. Msiwe mnasahau na sisi wenye uelewa tumo humu.siyo wote ni form four leavers.
Thibitisha kuwa wewe una uelewa mkubwa kuliko wengine.
Ebu tupe version yako kuhusu Covid 19 na Deep State.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kuna nyuZi nyingi sana za size yako mfano ile ya kula tunda kimasihara,ungeenda Kule,humu unatuletea hasira tusije tukakuponda hicho kichwa chako kama cha koboka
Hizi stori kama una ubingo kama wa kuku utapotea tu. Hili ni jukwaa la intelligence tu. Mtu akiona ha-fit bora ajikatae tu
 
hahah jamaa wameungana kama the Board wa kwenye vipepeo weusi
kama huelewi tafuta unachokiealewa then mambo yanakuwa murua
 
Watu wana boa kama umeona huelewi uzi au unakuboa una achana nao tu unaenda kuatafta vitu vingine vinavyo kufurahisha , unatuachia uzi wetu sisi tunaelewa na tunaupenda .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika hapo umenena
 

Njoo kwenye group, story inaendelea kama kawaida.

Huku changanyikeni tunawapa kidogo kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…