COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

hongera kwa kuchukua form bwana habibu.
 
Najikutaga notification inaingia naacha kazi zote ninazokua nafanya nasoma harakaharaka kwa kuhofia story itakua ndefu na utitiri wa comments ila nakua suprised
 

r cctv y bbb n nui
 
daahh umeishia patamu sana

ila leo umeipost fupi chief
 
Nimevutiwa na huu uzi ila naomba kuelekezwa jinsi ya kufanya setting ya notification ili mdau akiweka uzi niweze pata taarifa[emoji1545]
 
 
Mimi ni sijuagi kuvuta subra kwaajili ya vitu adhimu kama hivi.
Nilacha kufuatilia kama week 4 ili kwamba ufike fike mahali ambapo nitaenjoe kusoma.
Niliishia level 2/3 now Nimeipiga yoote nasubiri mwisho lisha Deep state.
Duuu nashkru sana Habib kwakweli ni watu wachache kama wewe wenye nondo za ku share na wengi hapa nchini.
Viva.



Hapa najiuliza ivi kwanini event za WHCD karibia zote,viongozi wakuu wana vaa dress code black suit.
Ni sheria/utaratibu au kuna cha ziada sisi wanywa chai na kipande cha mua hatujui.
Ndo nimeishia kugundua hilo tu.
Msaada wa majibu.
Kwa ugunduzi wa wangu wa awali.
 
Bahati yake kakutana na msamalia mwema ingekuwa mimi angezitafuta mpk akome ningemwambia aendelee kuzitafuta atazipata tu mvumilivu hula mbivu..[emoji23][emoji28]
Nilipoanza kusoma sehemu ya kumi nikaelewa somo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…