Covid-19: Huu mgomo wa Umma kwa Rais wao utaliponya Taifa

Covid-19: Huu mgomo wa Umma kwa Rais wao utaliponya Taifa

Hivi Rais hata jana kahimiza watu kuchukua tahadhari. Maana ya tahadhari unajua wewe. Au ni chuki binafsi zinakusumbua. Binafsi nimejifunza kuamini na kukubaliana na kila kitu anachokisema rais wangu, he is super intelligent na anafikiria seven billions than regular human being.s. corona ya kwanza kama nilikuwa simwamini hivi ila baadae nikagundua I was wrong
Si angesema tu Corona ipo, mbona haya maneno kuyatamka ni rahis?

Haya mambo ya kusema homa ya mapafu sijui ndio nini! Angefanya jambo la maana kama angesema 'Watanzania wenzangu Corona ipo, hivyo tuchujue tahadhari'.

Kama aliweza kusema korona tumeishinda kwa maombi ya Siku 3 na ndio maana hata hapa hakuna mtu amevaa Barakoa, unajua ile kauli inaishi mpaka leo? Sasa watu wachukue tahadhari za nini wakati Corona hamna na ni maisha tu kama kawaida. Hapo mwanzo kabla ya Corona kiongozi gani alisimama na kusema wananchi tuchukua Tahadhari? Kama hamna, kwa nini sasa hiv watu wachukue Tahadhari? Aseme CORONA IPO.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Imezoeleka kuwa utawala wa Rais Magufuli umetia umma woga. Kwamba anachokisema Raia Magufuli ndio fainal hakuna wa kupinga au kutenda kinyume.

Msimamo wa Rais Magufuli ni kwamba hakuna Corona maana tutatishwa sana. Kilichopo ni changamoto ya kupumua ambayo dawa yake ni kujifukizia, kufanya kazi kwa bidii "na ndio maana hatuvai barakoa". Alisema mbele ya dunia huko Chato.

Hata hivyo umma mpana umemgomea Rais Magufuli na badala yake unawasikia viongozi wa dini na Shirika la Afya Duniani, WHO. Magufuli amegomewa, hasikilizwi maana watu wameamua kuvaa barakoa, wananawa mikono kila mara kwa maji tiririka na sabuni, ulaji wa matunda ya asili kwa sana, vitunguu swaumu, limao, ukaaji kwa nafasi nk. Hakuna cha nyungu wala vyungu. Huu ni mgomo wenye kheri!

Endeleeni hivyo hivyo maana Corona ipo. Tupambane nayo kama Jakaya Kikwete alivyoamua kuvunja ukimya na kuvaa barakoa hadharani. Akili ya kupewa changanya na zako.

Maisha yako hayako mikononi mwa mtu yeyote ni wewe. Vaa barakoa kujiokoa na kuokoa wengine. Ugonjwa upo!!!!
Kwa population ya Dar kwa mfano hao wanaovaa barakoa ni wangapi? Nenda Kkoo,Mbagala,Tandika ndio utaona na utapata majibu,au kwenye vyombo vya usafiri.Watu wanaenelea na shughuli kama kawaida hawana hofu kama ile ya mwaka jana.Licha ya ugonjwa kujua upo wameona lazima maisha yaendeleee tuu.Ni kuendelea kuchukua tahadhari tuu,tunavyoishi huku mtaani mmh
 
Imezoeleka kuwa utawala wa Rais Magufuli umetia umma woga. Kwamba anachokisema Raia Magufuli ndio fainal hakuna wa kupinga au kutenda kinyume.

Msimamo wa Rais Magufuli ni kwamba hakuna Corona maana tutatishwa sana. Kilichopo ni changamoto ya kupumua ambayo dawa yake ni kujifukizia, kufanya kazi kwa bidii "na ndio maana hatuvai barakoa". Alisema mbele ya dunia huko Chato.

Hata hivyo umma mpana umemgomea Rais Magufuli na badala yake unawasikia viongozi wa dini na Shirika la Afya Duniani, WHO. Magufuli amegomewa, hasikilizwi maana watu wameamua kuvaa barakoa, wananawa mikono kila mara kwa maji tiririka na sabuni, ulaji wa matunda ya asili kwa sana, vitunguu swaumu, limao, ukaaji kwa nafasi nk. Hakuna cha nyungu wala vyungu. Huu ni mgomo wenye kheri!

Endeleeni hivyo hivyo maana Corona ipo. Tupambane nayo kama Jakaya Kikwete alivyoamua kuvunja ukimya na kuvaa barakoa hadharani. Akili ya kupewa changanya na zako.

Maisha yako hayako mikononi mwa mtu yeyote ni wewe. Vaa barakoa kujiokoa na kuokoa wengine. Ugonjwa upo!!!!
Ukimsikiliza huyu mzee utabaki na matatizo yako
 
Hamna kitu JPM yupo sahihi 💯Ukitangaza lockdown hapa hao hao watz wanaanza kujadili matatizo
Hivi kwanni vijana wa uvccm kila mkishauriwa mnakimbilia kwenye kuwekwa lock down? wapi kwenye bandiko umeona neno lockdown
 
Hamna kitu JPM yupo sahihi [emoji817]Ukitangaza lockdown hapa hao hao watz wanaanza kujadili matatizo wanayoyapata kutokana na namna serikali inavyokabiliana, kilichobak ni kuwaacha kila mmoja ajiponye nafsi yake , wakifa fresh, watakaobaki wataendeleza nchi. Hatuwezi kufa wote. Membe amekimbilia kujificha kijijini anayethamin maisha yake asitishe kila kitu asepe Pori huko, Kwan serikali imekuzuia au mpak itangaze? Kama unauwezo nenda nje kapigwe chanjo Rudi, jipige rockdown kimya kimya. Japan ww2 ilipoteza takribani watu milion 4 sababu ya maamuzi ya viongozi na bado washkaj wanaendelea.
Kuna mambo mengi tunamuunga mkono rais pia yapo makosa kama binadamu. Ana madhaifu pia.
 
Imezoeleka kuwa utawala wa Rais Magufuli umetia umma woga. Kwamba anachokisema Rais Magufuli ndio fainal hakuna wa kupinga au kutenda kinyume.

Msimamo wa Rais Magufuli ni kwamba hakuna Corona maana tutatishwa sana. Kilichopo ni changamoto ya kupumua ambayo dawa yake ni kujifukizia, kufanya kazi kwa bidii "na ndio maana hatuvai barakoa". Alisema mbele ya dunia huko Chato.

Hata hivyo umma mpana umemgomea Rais Magufuli na badala yake unawasikia viongozi wa dini na Shirika la Afya Duniani, WHO. Magufuli amegomewa, hasikilizwi maana watu wameamua kuvaa barakoa, wananawa mikono kila mara kwa maji tiririka na sabuni, ulaji wa matunda ya asili kwa sana, vitunguu swaumu, limao, ukaaji kwa nafasi nk. Hakuna cha nyungu wala vyungu. Huu ni mgomo wenye kheri!

Endeleeni hivyo hivyo maana Corona ipo. Tupambane nayo kama Jakaya Kikwete alivyoamua kuvunja ukimya na kuvaa barakoa hadharani. Akili ya kupewa changanya na zako.

Maisha yako hayako mikononi mwa mtu yeyote ni wewe. Vaa barakoa kujiokoa na kuokoa wengine. Ugonjwa upo!
Barikiwa kwa ushauri wako mwanana! Asante sana
 
Imezoeleka kuwa utawala wa Rais Magufuli umetia umma woga. Kwamba anachokisema Rais Magufuli ndio fainal hakuna wa kupinga au kutenda kinyume.

Msimamo wa Rais Magufuli ni kwamba hakuna Corona maana tutatishwa sana. Kilichopo ni changamoto ya kupumua ambayo dawa yake ni kujifukizia, kufanya kazi kwa bidii "na ndio maana hatuvai barakoa". Alisema mbele ya dunia huko Chato.

Hata hivyo umma mpana umemgomea Rais Magufuli na badala yake unawasikia viongozi wa dini na Shirika la Afya Duniani, WHO. Magufuli amegomewa, hasikilizwi maana watu wameamua kuvaa barakoa, wananawa mikono kila mara kwa maji tiririka na sabuni, ulaji wa matunda ya asili kwa sana, vitunguu swaumu, limao, ukaaji kwa nafasi nk. Hakuna cha nyungu wala vyungu. Huu ni mgomo wenye kheri!

Endeleeni hivyo hivyo maana Corona ipo. Tupambane nayo kama Jakaya Kikwete alivyoamua kuvunja ukimya na kuvaa barakoa hadharani. Akili ya kupewa changanya na zako.

Maisha yako hayako mikononi mwa mtu yeyote ni wewe. Vaa barakoa kujiokoa na kuokoa wengine. Ugonjwa upo!
Sadly there is a significant percentage of people who do take the advice. Worse enough among those who heed him unquestionably are the ones who are most vulnerable.
 
Imezoeleka kuwa utawala wa Rais Magufuli umetia umma woga. Kwamba anachokisema Rais Magufuli ndio fainal hakuna wa kupinga au kutenda kinyume.

Msimamo wa Rais Magufuli ni kwamba hakuna Corona maana tutatishwa sana. Kilichopo ni changamoto ya kupumua ambayo dawa yake ni kujifukizia, kufanya kazi kwa bidii "na ndio maana hatuvai barakoa". Alisema mbele ya dunia huko Chato.

Hata hivyo umma mpana umemgomea Rais Magufuli na badala yake unawasikia viongozi wa dini na Shirika la Afya Duniani, WHO. Magufuli amegomewa, hasikilizwi maana watu wameamua kuvaa barakoa, wananawa mikono kila mara kwa maji tiririka na sabuni, ulaji wa matunda ya asili kwa sana, vitunguu swaumu, limao, ukaaji kwa nafasi nk. Hakuna cha nyungu wala vyungu. Huu ni mgomo wenye kheri!

Endeleeni hivyo hivyo maana Corona ipo. Tupambane nayo kama Jakaya Kikwete alivyoamua kuvunja ukimya na kuvaa barakoa hadharani. Akili ya kupewa changanya na zako.

Maisha yako hayako mikononi mwa mtu yeyote ni wewe. Vaa barakoa kujiokoa na kuokoa wengine. Ugonjwa upo!
Hakuna mtu aliyegoma labda wewe unayeimbishwa na kubadilishwa mawimbi ya akili zisizojitegemea kufanya mabo yake hadi kitufe cha mbali kibonyezwe kukupakia kitu gani ukiseme, ukitende au ukiandike.

Hakuna mgomo isipokuwa ninyi wanasiasa uchwara ndio mnawapa taharuki wananchi kutokana na kuwapakia HOFU. Ili ushinde vita yoyote haijalishi ubora au udhaifu wa silaha zako ni kuwa jasiri kukabiliana na kifo kwa kuwa huwa hakicheki na mtu yeyote bila kujali hali yake ya kiuchumi au nafasi yake kwenye jamii.

Utambulisho wako ghushi unathibitisha kwamba wewe ni mchochezi aliyebobea kuleta mifarakano na viongozi halali.
 
Hivi Rais hata jana kahimiza watu kuchukua tahadhari. Maana ya tahadhari unajua wewe. Au ni chuki binafsi zinakusumbua. Binafsi nimejifunza kuamini na kukubaliana na kila kitu anachokisema rais wangu, he is super intelligent na anafikiria seven billions than regular human being.s. corona ya kwanza kama nilikuwa simwamini hivi ila baadae nikagundua I was wrong.
Kwa hiyo unataka kutuambia unaamini pia kuwa siku ina saa 48?
 
Imezoeleka kuwa utawala wa Rais Magufuli umetia umma woga. Kwamba anachokisema Rais Magufuli ndio fainal hakuna wa kupinga au kutenda kinyume.

Msimamo wa Rais Magufuli ni kwamba hakuna Corona maana tutatishwa sana. Kilichopo ni changamoto ya kupumua ambayo dawa yake ni kujifukizia, kufanya kazi kwa bidii "na ndio maana hatuvai barakoa". Alisema mbele ya dunia huko Chato.

Hata hivyo umma mpana umemgomea Rais Magufuli na badala yake unawasikia viongozi wa dini na Shirika la Afya Duniani, WHO. Magufuli amegomewa, hasikilizwi maana watu wameamua kuvaa barakoa, wananawa mikono kila mara kwa maji tiririka na sabuni, ulaji wa matunda ya asili kwa sana, vitunguu swaumu, limao, ukaaji kwa nafasi nk. Hakuna cha nyungu wala vyungu. Huu ni mgomo wenye kheri!

Endeleeni hivyo hivyo maana Corona ipo. Tupambane nayo kama Jakaya Kikwete alivyoamua kuvunja ukimya na kuvaa barakoa hadharani. Akili ya kupewa changanya na zako.

Maisha yako hayako mikononi mwa mtu yeyote ni wewe. Vaa barakoa kujiokoa na kuokoa wengine. Ugonjwa upo!
Acha umbea, ni umma gani umegoma kwa Rais wao? Usikute wewe ni -ke unajifanya ni -me.
 
Hakuna mtu aliyegoma labda wewe unayeimbishwa na kubadilishwa mawimbi ya akili zisizojitegemea kufanya mabo yake hadi kitufe cha mbali kibonyezwe kukupakia kitu gani ukiseme, ukitende au ukiandike.

Hakuna mgomo isipokuwa ninyi wanasiasa uchwara ndio mnawapa taharuki wananchi kutokana na kuwapakia HOFU. Ili ushinde vita yoyote haijalishi ubora au udhaifu wa silaha zako ni kuwa jasiri kukabiliana na kifo kwa kuwa huwa hakicheki na mtu yeyote bila kujali hali yake ya kiuchumi au nafasi yake kwenye jamii.

Utambulisho wako ghushi unathibitisha kwamba wewe ni mchochezi aliyebobea kuleta mifarakano na viongozi halali.
Nadhani anamaanisha kuwa wenye akili wamemgomea, na ndivyo inavyoonekana.
 
Hahahah labda umegoma wewe na familia yako. Watu wanaenda makazini wanafunzi wanaenda shule wewe unazungumzia mgomo gani
 
Imezoeleka kuwa utawala wa Rais Magufuli umetia umma woga. Kwamba anachokisema Rais Magufuli ndio fainal hakuna wa kupinga au kutenda kinyume.

Msimamo wa Rais Magufuli ni kwamba hakuna Corona maana tutatishwa sana. Kilichopo ni changamoto ya kupumua ambayo dawa yake ni kujifukizia, kufanya kazi kwa bidii "na ndio maana hatuvai barakoa". Alisema mbele ya dunia huko Chato.

Hata hivyo umma mpana umemgomea Rais Magufuli na badala yake unawasikia viongozi wa dini na Shirika la Afya Duniani, WHO. Magufuli amegomewa, hasikilizwi maana watu wameamua kuvaa barakoa, wananawa mikono kila mara kwa maji tiririka na sabuni, ulaji wa matunda ya asili kwa sana, vitunguu swaumu, limao, ukaaji kwa nafasi nk. Hakuna cha nyungu wala vyungu. Huu ni mgomo wenye kheri!

Endeleeni hivyo hivyo maana Corona ipo. Tupambane nayo kama Jakaya Kikwete alivyoamua kuvunja ukimya na kuvaa barakoa hadharani. Akili ya kupewa changanya na zako.

Maisha yako hayako mikononi mwa mtu yeyote ni wewe. Vaa barakoa kujiokoa na kuokoa wengine. Ugonjwa upo!
Umemaliza
 
Si kweli kuwa kasema watu wasivae barakoa. Mbona mara nyingi amesema tuendelee kuchukua tahadhari huku tukimtanguliza Mungu. Ila watanzania tunashida sana ya uelewa. Mheshimiwa MagufuliJP anatumia nguvu kubwa kwa watu wasio na akili ya kujua mambo. Hakuna mahali amekataa tusivae barakoa. By the way barakoa pekee yake haziwezi kukukinga na corona. Ukienda kwenye taasisi zote za serikali na binafsi kuna njia moja au nyingine za kujikinga

Lakini lazima tujue si watu wote wanatakiwa kuvaa barakoa. Hata askofu Ruwaich namlaumu kwa kulazimisha watu wavae barakoa. Barakoa kuna watu hawastahili kuvaa mfano wenye magonjwa ya moyo, mfumo wa upumuaji kama asthma, sickle cell, watoto chini ya miaka nane. Na zivaliwe tu unapokuwa kwenye mkusanyiko mkubwa wa watu. Siyo kila mahali na kila wakati.
Ccm huwa inawatoa wapi watu kama wew?
 
Back
Top Bottom