Mkuu hilo ni Taga, ukiwauliza kuhusu uwepo wa corona wao wanawaza lockdownKuna mtu amezungumzia lockdown au kichwa chako kinafikiri slowly kama lilivyo jina lako
Kweli unaamini jiwe hajakataza watu kuvaa barakoa?magufuli hajakataza kuvaa barakoa.
Ukijisikia kuvaa barakoa VAA.
ILA kumbuka ulaya na marekani na Asia kwenye viwanda vya barakoa za viwango.
Bado CORONA INAWACHAPA VIBAYA SANA.
chaguo ni lako.
Kama unaamini hicho kitambaa kitakuokoa na Corona hyo ni hiari yako
Kweli unaamini jiwe hajakataza watu kuvaa barakoa?
Nakushauri mwone daktari wa magonjwa ya akili.
Halali???? Utakuwa taga wewe.Hakuna mtu aliyegoma labda wewe unayeimbishwa na kubadilishwa mawimbi ya akili zisizojitegemea kufanya mabo yake hadi kitufe cha mbali kibonyezwe kukupakia kitu gani ukiseme, ukitende au ukiandike.
Hakuna mgomo isipokuwa ninyi wanasiasa uchwara ndio mnawapa taharuki wananchi kutokana na kuwapakia HOFU. Ili ushinde vita yoyote haijalishi ubora au udhaifu wa silaha zako ni kuwa jasiri kukabiliana na kifo kwa kuwa huwa hakicheki na mtu yeyote bila kujali hali yake ya kiuchumi au nafasi yake kwenye jamii.
Utambulisho wako ghushi unathibitisha kwamba wewe ni mchochezi aliyebobea kuleta mifarakano na viongozi halali.
Hivi Rais hata jana kahimiza watu kuchukua tahadhari. Maana ya tahadhari unajua wewe. Au ni chuki binafsi zinakusumbua. Binafsi nimejifunza kuamini na kukubaliana na kila kitu anachokisema rais wangu, he is super intelligent na anafikiria seven billions than regular human being.s. corona ya kwanza kama nilikuwa simwamini hivi ila baadae nikagundua I was wrong.
Watu wenye kujielewa mkuu, wew uko exclusive so usipanic wala kuumiaHahahah labda umegoma wewe na familia yako. Watu wanaenda makazini wanafunzi wanaenda shule wewe unazungumzia mgomo gani
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Alisema mbele ya dunia huko Chato.
Kama daktari humtaki sina lingine la kukusaidia.Mwenye uhitaji wa daktari WA akili utakuwa NI wewe.
Wapi magufuli amekataza kuvaa barakoa?
Kama daktari humtaki sina lingine la kukusaidia.
Kwani Corona ziko ngapi nyie wajinga? Corona ni hiyo hiyo iliyoanza Desemba 2019 imeendelea kuwepo hadi sasa, haijawahi kuisha. Kilichofanyka ni kuwapumbazeni ninyi akili kwa kukatiza kupima na kutolewa kwa takwimu za maambukizi, basi. Wafanyakazi wa afya, maabara kuu ya taifa, walisambaratishwa na badala ya wananchi kupata taarifa za maambukizi ya Covid 19, wakajikuta wahanga wa kauli za uongo za Magufuli kuwa ameimaliza Corona kwa maombi! Muongo mkubwa yule jamaa. Kuna watu wengi waliendelea kufariki kwa Corona tangu Mei, 2020 bila kutangazwa hadi virusi vilipo-mutate na 'kuzaa' variant ya sasa inayowaumbua Magufuli na wafuasi wake hadi kila mtu anaongea lugha yake na kujiaibisha zaidi.corona ya kwanza kama nilikuwa simwamini
Sema wapi magufuli amekataza kuvaa barakoa.
Usizuge.
Kuna mtu kasema atangaze lockdown.........tuache kutengeneza maneno..Hamna kitu JPM yupo sahihi 💯Ukitangaza lockdown hapa hao hao watz wanaanza kujadili matatizo wanayoyapata kutokana na namna serikali inavyokabiliana, kilichobak ni kuwaacha kila mmoja ajiponye nafsi yake , wakifa fresh, watakaobaki wataendeleza nchi.
Hatuwezi kufa wote. Membe amekimbilia kujificha kijijini anayethamin maisha yake asitishe kila kitu asepe Pori huko, Kwan serikali imekuzuia au mpak itangaze?
Kama unauwezo nenda nje kapigwe chanjo Rudi, jipige rockdown kimya kimya. Japan ww2 ilipoteza takribani watu milion 4 sababu ya maamuzi ya viongozi na bado washkaj wanaendelea.
wamemgomea nani wewe, panda daladala uone maajabu.Raia wamegoma , acha kujipendekeza
Mimi naona akili yako wewe ni ndogo sana ndio maana unahisi umezidiwa sanaa na mkuu. ukiwa na akili kama sisi wengine utajikuta unalingana na hata huyo. Anza kusoma vitabu ila cha muhimu zaidi acha ushambaHivi Rais hata jana kahimiza watu kuchukua tahadhari. Maana ya tahadhari unajua wewe. Au ni chuki binafsi zinakusumbua. Binafsi nimejifunza kuamini na kukubaliana na kila kitu anachokisema rais wangu, he is super intelligent na anafikiria seven billions than regular human being.s. corona ya kwanza kama nilikuwa simwamini hivi ila baadae nikagundua I was wrong.