#COVID19 Covid-19 na malezi ya watoto: Mpongeze au mzawadie mtoto wako pindi atakapochukua tahadhari

#COVID19 Covid-19 na malezi ya watoto: Mpongeze au mzawadie mtoto wako pindi atakapochukua tahadhari

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1632226752308.png

Katika kukuza tabia ya kuchukua tahadhari za Covid-19 kwa makundi yote katika jamii, watoto ni miongoni mwa kundi ambalo linahitaji umakini mkubwa katika kulichukulisha tahadhari.

Wataalamu wanashauri wazazi au walezi kuwapongeza au kuwazawadia watoto wao pindi wanapopatia kuchukua tahadhari yoyote dhidi ya corona

Aidha, wanabainisha kuwa kuwa kufanya hivyo kwa mtoto kunajenga tabia chanya na kumpa kumhamasisha kuendeleza tabia ya kujilinda
 
Corona ni janga la wazungu,wachaga mnajipendekeza tu
 
Hiyo nzuri itamsaidia pia Kwa magonjwa mengine ya kuambukiza
 
Back
Top Bottom