CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

Nimekuelewa vizuri sana....
Naamini anaejua anachokiongea hawezi kukosea maelezo kiasi cha kutoa maana tofauti, In this case the wording was off. mi hutumia hii njia kujua whats fake and whats genuine. Hata ninaponunua kitu nikawa na wasi wasi kama ni fake mi hutafuta the fine details kama font, barcode, na vitu kama hivyo, more often than not hua kuna kasoro.
 
Sawa sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hii ni kweli au ndo kuna watu wanataka kutuuzia malimao na maparachichi.
 
Facts we are not safe at all [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maabara kadhaa ni ngapi hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona ikiipiga Afrika kama ilivyoipiga ulaya na Amerika nina uhakika robo tatu ya bara la Afrika itaondoka!
 
Huwa unasafiri kwa daladala?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maabara kadhaa ni ngapi hizo

Sent using Jamii Forums mobile app

Ninazozifahamu hadi sasa
- National Influenza Center
- Kenya Medical Research Institute (Kemri)
- Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) kule Eldoret
- Tawi la Kemri Kisumu pia
- Na sasa Mombasa pia wamewezeshwa.

Kwa kifupi zimezagaa mikoa yote, hatutegemei sehemu moja.
 
Huwa unasafiri kwa daladala?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani ni ajabu kusafiri kwa daladala, fahamu za kwetu sio chafu zenye mibanano kama kwenu, huku kila mtu lazima aketi chini na kufunga mkanda, huwa ni nafuu sana hata kuliko magari binafsi, wengi hutumia magari binafsi kama unajua utakua na mizunguko ya mjini, lakini kama unakwenda sehemu moja na unajua utageuza moja kwa moja, huna haja ya kuhangaika na gari lako.
 
Yap, Replication is just a simple mechanism that can be done in Vitro,
infact Virus doesn't replicate in it's own, it codes your genetic code to replicate its own copies,
Yaani kwa Lugha rahisi ni kama Paka anampanda mbuzi halafu mbuzi anaanza kuzaa mapaka ya kutosha. This is what it does, tofauti na bacteria au fungi ambae akikuvamia anapata mahitaji kama chakula, hewa na pH inayomfanya azaliane kwa kujigawagawa (fission/lysis) na kufanya idadi yake iongezeke.
Na ndio maana hadi leo hakuna dawa ya Virus, yaani hata dawa ya Virus wa Mafua haipo, ni ngumu sababu virus ni just a particle with genetic material iliyovaa protein, anaweza kujibadilisha na kuendana na host tofautitofauti.
Mfano huyu virus wa Corona leo utashangaa kuona mwakani amebadilika sio Huyu tena, (mutation) means hata kama ni kutafiti dawa maana yake muanze upya ambapo huenda akabadilika tena. Only vaccine can work.
Kuna vitu basic mtu hatakiwi kubisha. "Virus sio living organism" yet it replicates it genetic code, interesting!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kipindi kama hiki? Acha fix bwana, huna Gari.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi mzuri sana unaweza kuwa pinned. Hoja fikirishi kulingana na uzi huu ni hizi
1. Testing wenye dalili
2. Mass testing
Kwa mujibu wa uzi testing wenye dalili ilionyesha kuongezeka waginjwa kwa uchache sana
Mass testing inaonyesha idadi kubwa ya watu wenye maambukizi

HOJA.:
Kwanini watu wenye maambukizi hawakuonyesha dalili baada ya kukaa na ugonjwa kwa muda mrefu japo hawa kuwa tested?
Ili waongezeke kwa kipimo cha testing wenye dalili?

Kwanini Mass testing inaonesha waathirika na COVID 19 wengi?

Je iko shida kwenye mass testing?
Vipimo ni transimiters agents?
Hofu(Fear) inapunguza kinga za mwili na kuruhusu virus kupata nguvu ya kuonyesha dalili?

Niko huru kukosolewa. Hata kwa povu ruksa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko hivi mkuu, 80% ya watakaoambukizwa COVID19 watapona on their own na Majority Yao hawatanotice hata dalili, why bother testing them uwajaze fear?
Kwa nini wale wanaoona dalili wasiwahi kwenda vituo vya afya kama mamlaka zinavyohimiza na uzuri unapiga simu unafuatwa ulipo?
Mimi naona kutrack wale suspects ni Bora zaidi na pia kuhimiza kila anaehisi dalili awahi kituo cha afya, hatuwezi kupima nchi nzima kwanza hatuna resources na pia ni kutengeneza unnecessary panic.
Japo nahisi kuna nchi zinaona fahari kusoma namba kubwa ya wagonjwa si unajua kuna pesa mzee $ [emoji389]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kipindi kama hiki? Acha fix bwana, huna Gari.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanza kipindi hiki ndio sitoki kabisa, kazi yangu inanipa uhuru wa kukaa ndani hata mwezi uishe, natoka tu wakati wa kukimbia.
Makondakta wa daladala nagombana nao nikipita stendi na kuona wachache wao vichwa ngumu wanapokea abiria bila sanitization.
 
Kama huwezi kufanya "tracing of contracts" ya watu wote watakao test positive ili waweze kuwa "isolated", mass testing inapoteza maana kabisa, ni upotezaji wa resources na kuongeza mzigo katika mfumo wa Afya, bora kuamua kufanya " lockdown" japo kwa mikoa yenye maambukizi mengi "hotspots".


Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Mass testing ni muhimu sana kupunguza maambukizi maana unawagundua mapema kabla hawajaambukiza, fahamu kwamba miili inavyopokea hiki kirusi inatfautiana binadamu kwa binadamu, kunao anapokea na kuambukiza bila ya yeye kuhisi dalili yoyote, kunaye anapokea na dalili kupandisha mzuka ndani ya wiki moja anafariki, hususan kirusi kikishambulia mapafu na bila ventilator unakwenda.
Watu wengi tumezoea tukiumwa mafua tunayanywea maji moto ya limau unakohoa siku mbili yanakuondoka, sasa huo uzembe kwa sasa haipaswi, ukiona unapata dry cough na una uhakika kwa namna moja au nyingine ulikua exposed sehemu, na kwa vile vituo vya testing vipo kadhaa, bora nenda ukakaguliwe kabla kuambukiza mkeo, watoto wako na majirani na wao wakaambukize huko mbele, ni muhimu kuchukua tahadhari.
Pia ni muhimu sana kuwa na hofu, yaani tutishike balaa belua ili tuchukue tahadhari, hiki kitu sio mchezo kinaua maelfu kwenye nchi ambazo zina uchumi na teknolojia za hal ya juu, kwa hivyo hofu itatusaidia, la sivyo kiburi na ujinga vitatuangamiza, unakuta kwenu huko Makonda bado anakusanya wananchi maskini kwenye mikutano nimeona picha yake.
 
How?
Mfano Nairobi ina watu karibu milioni 4, unafanyaje hiyo mass testing au mnapima jiji zima?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
How?
Mfano Nairobi ina watu karibu milioni 4, unafanyaje hiyo mass testing au mnapima jiji zima?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hatuna uwezo wa kupima jiji nzima, unafukuzia kwanza wale wote ambao wamekua into contact na wachache waliopo kwenye karantini na kila unayemfikia unafukuzia yeyote aliyegusana naye yaani unajaribu kukusanya mtandao wote, ila pia unahamasisha kila mmoja anayehisi dalili zozote aje akaguliwe mapema, hiyo ndio ubora wa kuwa na maabara kadhaa, sampuli zinashughulikiwa fasta fasta.
Wenzetu Ulaya wanapima 100,000 moja kwa siku, sisi hapa tunapumulia kwenye 300 kwa siku, nyie hapo kwa wiki mbili ndio waziri alisema mumefaulu kupima 300.
 
Aah, hutoki kabisa kwa sababu kazi yako inakupa jeuri, meaning umeajiriwa.
Kumbe kelele zoote unasubiri mwisho wa mwezi kuchungulia bank account,[emoji3][emoji3]
BTW Hata mimi kazi yangu inaniruhusu hata kukaa ndani miezi sita bila kutoka kabisa, ila siwezi kujifungia ndani muda wote huo na nina miradi yangu mikoani, lazima nisafiri karibu kila wikiendi na niwe na likizo ya wiki nzima kila quarter ili niwe huru, sasa ukinifungia ndani unadhani ni nini kitatokea?
Ndio maana watu timamu kama Magufuli wanalifahamu hili sababu nao ndio wametoka huku na wanawajua watu wao, Kenyatta ni mtoto wa Kishua, Familia bora, hajui shida ndio maana hajui hata maisha ya wakenya ndio maana anakurupuka na anaamua mkae ndani ikiwa Maisha ya 90% wakenya ni mkono kinywani, Ni wazi viongozi wenu hawawajui, ndio maana Muhoho Kenyatta yule mtoto wa Uhuru ambae atakuwa Rais wenu baadae hajui hata kiswahili, anajihisi ni Mzungu..
Maisha hayawezi Simama sababu ya Mafua na ukizingatia Ajali za Barabarani huku kwetu zinaua mara kumi ya hiyo corona, Yaani kama Watz wangekuwa na hofu kiasi hicho basi wangeacha hata kusafiri, juzi hapa umekuja kufungua uzi unalalamikia Watz wamekuja kupiga mishe za pesa Kenya bila kujali Corona,

Muhimu Chukua Tahadhali kwako na wote uwapendao, Ukiona dalili piga simu bure au ripoti haraka kituo cha Afya, Ukiona mtu ana dalili piga simu haraka, Mgeni yoyote karibu Tz ila lazima ukae quarantine siku 14 kwa Gharama zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…