CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

If so mnachokifanya ndicho Tanzania inafanya. Msiite mass testing.
Hatuna uwezo wa kupima jiji nzima, unafukuzia kwanza wale wote ambao wamekua into contact na wachache waliopo kwenye karantini na kila unayemfikia unafukuzia yeyote aliyegusana naye yaani unajaribu kukusanya mtandao wote, ila pia unahamasisha kila mmoja anayehisi dalili zozote aje akaguliwe mapema, hiyo ndio ubora wa kuwa na maabara kadhaa, sampuli zinashughulikiwa fasta fasta.
Wenzetu Ulaya wanapima 100,000 moja kwa siku, sisi hapa tunapumulia kwenye 300 kwa siku, nyie hapo kwa wiki mbili ndio waziri alisema mumefaulu kupima 300.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usijiumize sana, huu ugonjwa hauna kificho wala muda mrefu, kama unadhani kuna wagonjwa hatujwapima muda sio mrefu wataanza kuugua na kufa.

Sasa hivi tayari ni siku 18 tangu mgonjwa wa kwanza aligundulika Tanzania, vipi watu hawajaanza kujitokeza katika Hospitali zetu ambao wanaanza kuumwa, au hata wao wamejificha?

Kuhusu maabara, kenya zipo mbili tu, tena Nairobi, samples zote zinapekekwa Nairobi, sasa hivi mnatayarisha zingine nne, wakati Tanzania tunatayarisha zingine 6.

Katika hii vita, Kenya mumekosea njia, lazima mjitathimini ili mjipange upya, hii tabia ya kuendelea kujipa matumaini kutazidi kuiweka nchi yenu katika matatizo zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania watu wanakufa sana lakini bado ukweli unafichwa, ukifa hawatangazi kama umekufa kwa CORONA
 
Tatizo hapa tunashindwa kuelewana hilo neno "mass testing" linamaanisha nini,

1)Je ni kuwapima wananchi wote wa nchi husika au kuwapima wale wote wanaohisiwa au kujihisi kuwa na maambukizi?

2)Kama ni kupima raia wa nchi nzima, hill ni jambo ambalo haiwezikani kutokana na sababu za kiuchumi na kimipango(logistic)

3)Kama ni kwa wale ambao tunawahisi au kujihisi kuwa na maambukizi, tukiwapima na kugungua wameathirika, lazima tuwe na uwezo wa kufuatilia "contacts" wote waliokutana nao, kwasababu kuwatenga wao tu haisaidii.

4)Kufanya "mass testing' ni gharama kubwa sana, hasa ukizingatia kwamba kati ya wanaopimwa, ni chini ya 2% ndio wanagundulika kuwa " positive", 98% ni upotevu wa rasilimali, kwanini isitumike njia ya kuwaweka karantini wale wote tunaowahisi au wanaojihisi kuwa na virusi kwa siku 14?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aah, hutoki kabisa kwa sababu kazi yako inakupa jeuri, meaning umeajiriwa.
Kumbe kelele zoote unasubiri mwisho wa mwezi kuchungulia bank account,[emoji3][emoji3]
BTW Hata mimi kazi yangu inaniruhusu hata kukaa ndani miezi sita bila kutoka kabisa, ila siwezi kujifungia ndani muda wote huo na nina miradi yangu mikoani, lazima nisafiri karibu kila wikiendi na niwe na likizo ya wiki nzima kila quarter ili niwe huru, sasa ukinifungia ndani unadhani ni nini kitatokea?
Ndio maana watu timamu kama Magufuli wanalifahamu hili sababu nao ndio wametoka huku na wanawajua watu wao, Kenyatta ni mtoto wa Kishua, Familia bora, hajui shida ndio maana hajui hata maisha ya wakenya ndio maana anakurupuka na anaamua mkae ndani ikiwa Maisha ya 90% wakenya ni mkono kinywani, Ni wazi viongozi wenu hawawajui, ndio maana Muhoho Kenyatta yule mtoto wa Uhuru ambae atakuwa Rais wenu baadae hajui hata kiswahili, anajihisi ni Mzungu..
Maisha hayawezi Simama sababu ya Mafua na ukizingatia Ajali za Barabarani huku kwetu zinaua mara kumi ya hiyo corona, Yaani kama Watz wangekuwa na hofu kiasi hicho basi wangeacha hata kusafiri, juzi hapa umekuja kufungua uzi unalalamikia Watz wamekuja kupiga mishe za pesa Kenya bila kujali Corona,

Muhimu Chukua Tahadhali kwako na wote uwapendao, Ukiona dalili piga simu bure au ripoti haraka kituo cha Afya, Ukiona mtu ana dalili piga simu haraka, Mgeni yoyote karibu Tz ila lazima ukae quarantine siku 14 kwa Gharama zako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wala sijaajiriwa na mara ya mwisho kusubiria mshahara ilikua miaka kumi iliyopita, ukipata fursa pitia nyuzi zangu kwenye jukwaa la sayansi na teknolojia utafahamu nini huwa nafanya.

Kwetu hapa hakuna aliyefungiwa ndani na hamna sehemu rais amesema watu wafungiwe ndani, bado hatujafikia hatua hiyo, ila ikibidi tutafika maana bora tuteseke kwa wiki mbili badala ya kuangamia taifa lote kisa ujinga.
Kwa sasa tuna kitu kinaitwa curfew, kuzuia watu kutoka nje usiku maana mchana watu wanaonekana kuchukua tahadhari, ila kwenye giza kila mtu anafanya yake, bar zimefungwa na hairuhusiwi kuingia vilabuni, ila usiku watu walikua wanajifungia kwenye klabu na kunywa pombe na kufanya yao, sasa amri ya kutotoka nje usiku inasaidia watu wanabaki ndani hamna vituko nje.
 
If so mnachokifanya ndicho Tanzania inafanya. Msiite mass testing.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wala hamjafikia level ya tunachokifanya maana uwezo huo hamna kwenu, maabara moja mnategemea kuanzia Tanzania visiwani hadi bara hadi mikoani.
Sisi tuna maabara zimezagaa kote, tunahakikisha vipimo vinafanyika kwa kasi.
 
If so mnachokifanya ndicho Tanzania inafanya. Msiite mass testing.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, hiyo wanayofanya yupo sasa ni "mass testing", ila haina maana ukilinganisha na gharama za upimaji. Sasa kwanini hao wote wanaowapima wasiwaweke chini ya karantini kwa siku 14 kama tunavyowaweka wageni wote wanaoingia nchini?, ndani ya hizo siku 14, kwa wale wenye virusi, 80% watapona bila kuhitaji kupimwa na kuongeza gharama, na 20% ndio watakaohitaji kupimwa.

Hivi lipi ni gharama kati ya kuwapima na kuwaweka chini ya karantini, kwasababu " effects" ni sawa kwa njia zote hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala hamjafikia level ya tunachokifanya maana uwezo huo hamna kwenu, maabara moja mnategemea kuanzia Tanzania visiwani hadi bara hadi mikoani.
Sisi tuna maabara zimezagaa kote, tunahakikisha vipimo vinafanyika kwa kasi.
Kutokana na kufanya mambo bila kutumia akili, ndio sababu maambukizi na vifo vimeanza kuwadhalilisha. Kenya ndio nchi pekee inayoshambuliwa na hivi virusi kwa kasi sana hapa Afrika kwa sasa, sababu kubwa ni uzembe na akili ndogo ktk kuweka mipango ya kukabiliana na Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri tunajitwisha mzigo usio wa kwetu.
Waafrika hawawezi kufanana na wazungu kwa kila hali.
Virusi hubadilika kulingana na eneo walipo hivyo hata athari zao pia zitalingana na maumbile yao.

Uimara wa mwili ndio jambo la msingi kuliko tunavyofikiria.Wazungu wanaishi kwa vyakula vya kiwandani zaidi ukilinganisha na Africa ambako tunakula vyakula asilia .

Hali ya hewa ya baridi ni tatizo pia.Tazama watu wanavyokuwa na mafua na kikohozi wakati wa mvua au baridi kali kwa Africa ndivyo ilivyo kwa Ulaya na kama ndivyo ilivyo sasa ikichanganyika na CORONA athari inakuwa mbaya mno.

La mwisho tusimsahau Mungu.
Wazungu walitufanya waafrika ni bala masikini na maradhi .
Huu ni wakati na wao wa kumtaja na kutambua uwezo wake.
Mungu atuepushe na mtihani huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya ina Maabara Ngapi? Idadi tafadhali,
Na pia pamoja na kuwa na uwezo wa kupima watu 300 kwa siku kwa msaada wa vifaa toka kwa kwa mfanyi biashara wa Uchina, sioni mantiki ya kupima kila mtu ni kutumia vibaya rasilimali, hata kama ni za msaada, sema labda sababu mnataka kusoma namba kubwa ili mpate chochote kitu.
Wala hamjafikia level ya tunachokifanya maana uwezo huo hamna kwenu, maabara moja mnategemea kuanzia Tanzania visiwani hadi bara hadi mikoani.
Sisi tuna maabara zimezagaa kote, tunahakikisha vipimo vinafanyika kwa kasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri tunajitwisha mzigo usio wa kwetu.
Waafrika hawawezi kufanana na wazungu kwa kila hali.
Virusi hubadilika kulingana na eneo walipo hivyo hata athari zao pia zitalingana na maumbile yao.

Uimara wa mwili ndio jambo la msingi kuliko tunavyofikiria.Wazungu wanaishi kwa vyakula vya kiwandani zaidi ukilinganisha na Africa ambako tunakula vyakula asilia .

Hali ya hewa ya baridi ni tatizo pia.Tazama watu wanavyokuwa na mafua na kikohozi wakati wa mvua au baridi kali kwa Africa ndivyo ilivyo kwa Ulaya na kama ndivyo ilivyo sasa ikichanganyika na CORONA athari inakuwa mbaya mno.

La mwisho tusimsahau Mungu.
Wazungu walitufanya waafrika ni bala masikini na maradhi .
Huu ni wakati na wao wa kumtaja na kutambua uwezo wake.
Mungu atuepushe na mtihani huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
endelea kujidanganya! Kwani SA kila sehemu ni baridi? Egypt?
 
Amen, kwa Paragraph yako ya mwisho.
Nafikiri tunajitwisha mzigo usio wa kwetu.
Waafrika hawawezi kufanana na wazungu kwa kila hali.
Virusi hubadilika kulingana na eneo walipo hivyo hata athari zao pia zitalingana na maumbile yao.

Uimara wa mwili ndio jambo la msingi kuliko tunavyofikiria.Wazungu wanaishi kwa vyakula vya kiwandani zaidi ukilinganisha na Africa ambako tunakula vyakula asilia .

Hali ya hewa ya baridi ni tatizo pia.Tazama watu wanavyokuwa na mafua na kikohozi wakati wa mvua au baridi kali kwa Africa ndivyo ilivyo kwa Ulaya na kama ndivyo ilivyo sasa ikichanganyika na CORONA athari inakuwa mbaya mno.

La mwisho tusimsahau Mungu.
Wazungu walitufanya waafrika ni bala masikini na maradhi .
Huu ni wakati na wao wa kumtaja na kutambua uwezo wake.
Mungu atuepushe na mtihani huu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya ni watu wa ajabu sana, haiwezikani kujihisi upo sahihi katika jambo Fulani wakati unaona wazi kwamba lengo lako halitimii.

Lengo la haya mapambano ni kuhakikisha kwamba maambukizi hayaongezeki na watu hawapitezi maisha, lengo sio kujua idadi ya watu wenye maambukizi, kujua idadi ya walioambukizwa inaleta maana tu kama itatumika kuweza kupunguza maambukizi.

Kinachotokea sasa hivi huko Kenya, wakishajua na kutangaza idadi ya wenye virusi, wanarudi kukaa chini na kuanza kupima wengine kwa ajili ya kutangaza siku inayofuata, hakuna mipango wala jitihada zozote za kuzuia kuenea kwa maambukizi.

Wakenya watakwisha na tai zao shingoni, sioni dalili zozote kwa wakenya kupona, tatizo hawajifunzi toka kwa majirani, uwezo wa kufikiria kwa haraka na kubadili mbinu pia hawana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
endelea kujidanganya! Kwani SA kila sehemu ni baridi? Egypt?
Wewe ndio uwe na mtazamo chanya kujitambua.
Unafikiri SA ni kama Tanzania???.
Muingiliano wa wazungu na SA ni mkubwa na ndio maana kukawa na athari ya haraka.
SA ni ulaya ya Afrika,soma historian uone wanaoishi pale ni raia wa kigeni wa nchi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni tatizo la kisayansi, yeye analeta habari za kusikia, muulize hayo anayoyasema ameyasoma katika 'scientific book " yoyote au ameyatoa katika mitandao tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Virus wanabadilika kulingana na mazingira walipo.Waulize hao wazungu unaowaamini wakwambie.Ndio tatizo letu waafrika,huwezi kujiongeza kwa elimu uliyonayo na unasimu kutukana lkn hutafutii maafrifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya ina Maabara Ngapi? Idadi tafadhali,
Na pia pamoja na kuwa na uwezo wa kupima watu 300 kwa siku kwa msaada wa vifaa toka kwa kwa mfanyi biashara wa Uchina, sioni mantiki ya kupima kila mtu ni kutumia vibaya rasilimali, hata kama ni za msaada, sema labda sababu mnataka kusoma namba kubwa ili mpate chochote kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa hapo umetoka nje ya kujadili mada kitaalam umeingia kwenye mipasho, mnampotosha sana rais wenu huko.
 
View attachment 1405768



Kwa mwezi mzima, USA ilikua na kesi 15 tu, walidhani wako salama na wameishinda corona!

Siku 22 za kwanza, Italy walikua na kesi tatu tu!!, walidhani wako salama!!!!
Siku 21 za kwanza, Egypt walikua na kesi 3 tu, walidhani hali iko sawa!!!
siku 26 za kwanza, Spain walikua na kesi 7 tu, walidhani hali iko shwari!!!
siku 34 za kwanza, France walikua na kesi 14 tu, walidhani madaktari wako ngangari kuzulia virusi!


Italy, USA, France, Germany, South korea zimekua zikipambana na corona kwa siku zaidi ya 52, Nchi za Africa kando na Egypt na SA, zimekua zikipambana na corona hata siku ishirini hazijapita alafu tunajifanya eti huku kwetu hali si mbaya kama ulaya, kumbe hao jamaa siku ishirini za kwanza hali yao ilikua shwari tu kama vile huku tunadhania.



Alafu, Ukiangalia nchi za USA, Italy, France... kuna mahali flani kwa jedwali utaona kesi zao za siku zilikua zinaongezeka mara mbili ya siku iliopita... Hii ni baada ya wao kuacha kufanyia testing kwa wale walio na dalili (symptoms) za corona pekee na badala yake kufanya mass testing ya watu wote walio safiri hata kama ni kutoka eneo moja la nchi kwenda eneo lengine.....

Kwa mfano, USA sahii ndo inaongoza kwa kesi za crona ikiwa ni kesi 188,000 zilizopatikana positive, lakini ukiangalia USA ilianza kufanya mass testing wiki iliopita, kabla hapo walikua hata hawajui hali kamili



hii tovuti inaonyesha nchi zinazoongoza kwa total tests zilizofanya na nchi by 20th march, wakati huu, USA ilikua haijaripoti kesi nyingi kwasababu walikua wameanya tests 103,000 pekee

View attachment 1405783

How many tests for COVID-19 are being performed around the world?


Sahii USA ndo inaongoza kwa kufanya tests kuliko nchi, hakuna nchi inaikaribia kwa test manake wanasema wamefanya 1 million tests, hii ndio maana kesi za USA zimekua zikiongezeka kila uchao hadi kupita kesi za china, Italy, France..etc.....

--------------------
The White House promised an ever-increasing number of coronavirus tests would be available by the end of the month, saying the number of available test kits could be as high as 27 million. But tracking analysts say only about 1 million total tests have been administered nationwide.
The White House promised 27 million coronavirus tests by end of March, but U.S. just hit 1 million
-------------------------


Kenya najua tumefanya tests kama 800 na contact tracing and quaranteen imeika watu 2,000.... Serekali ilitangaza akwamba wataanza kufanya mass testing sijui ni wiki hii au lini, lakini wakianza kufanya, usishtuke ukiona kesi zinaongezeka kwa ma mia kila siku....

current stats as of today, sorted by total cases

View attachment 1405789

sorted by total deaths

View attachment 1405801




-------------------------------------------------------

Kwahivyo tuwe makini, fwateni maaagizo ya serekali manake hao wengine walikua na kesi chache kwa wiki kadhaa hapo mwanzoni na wakafikiri wako salama, Kumbuka huku Africa tukijaza mahospitali kwasababu ya corona magonjwa mengine ambayo yanaua watu wengi yatawanchwa kutibiwa, watu walio na malaria, ukimwi, watakua hawajisumbui kwenda hospitali manake wanaogopa corona kwahivyo watabaki majumbani waugue kimya kimya... kwahivyo hata kama si watu wengi watauliwa na corona, kuna wengi zaidi watakufa sababu corona ilipewa kipaumbele kwa hospitali zote.


Take care, be safe!
Dawa pekee ya CORONA.


TULIA NYUMBANI NA WATOTO WAKO...UWEZI KUTANA NA HUU UGONJWA...

KUWA NA SAFARI ZA LAZMA TU...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Virus wanabadilika kulingana na mazingira walipo.Waulize hao wazungu unaowaamini wakwambie.Ndio tatizo letu waafrika,huwezi kujiongeza kwa elimu uliyonayo na unasimu kutukana lkn hutafutii maafrifa

Sent using Jamii Forums mobile app
What are the living and nonliving characteristics of a virus?

Nonliving characteristics include the fact that they are not cells, have no cytoplasm or cellular organelles, and carry out no metabolism on their own and therefore must replicate using the host cell's metabolic machinery. 4. Viruses can infect animals, plants, and even other microorganisms.

Wazungu hao labda ndio mtaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni tatizo la kisayansi, yeye analeta habari za kusikia, muulize hayo anayoyasema ameyasoma katika 'scientific book " yoyote au ameyatoa katika mitandao tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Do viruses survive in cold or hot weather?

There's a seasonality to many viruses. Flu and cold viruses tend to peak in winter months, then die down with warmer weath

Wazungu hao labda utawaamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom