Covid 19 (Wabunge Kharamu) ni wakati sasa wa Kumkana Ndugai mara 3. Kabla Jogoo hajawika. Achaneni naye kwa sasa siyo Deal tena

Covid 19 (Wabunge Kharamu) ni wakati sasa wa Kumkana Ndugai mara 3. Kabla Jogoo hajawika. Achaneni naye kwa sasa siyo Deal tena

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Ili kupata ithibaki inabidi sasa muhamie upande wa kumtetea Rais. Mkibaki kushangaa shangaa mtakuja kupigwa chini Ndugai akiondolewa. Hili nawashauri. Anzeni nanyi kumrushia mawe na madongo akifa huku hamjarusha hata jiwe moja mtaonekana mlikuwa nyuma yake.

Lazima muwe wajanja kama nyoka. Kwa sasa Ndugai ageuke awe adui yenu. Mjiambatanishe na upande ulio against Ndugai ili mje tetewa siku za usoni.

Msinyamaze. Toeni matamko mbalimbali ya kumuunga mkono Rais. Ndugai achaneni naye kwa sasa hatoweza wasaidia. Na kuwa naye karibu ni kujitafutia mabalaa tu. Ushauri wa bure huu.
 
Ndugai kaikwepa Covid kaja kuzolewa na Mkopo wa Covid japo kachanja na anavaa Barakoa muda wote


Mkopo wa Covid unatuondolea Spika
 
Ili kupata ithibaki inabidi sasa muhamie upande wa kumtetea Rais. Mkibaki kushangaa shangaa mtakuja kupigwa chini Ndugai akiondolewa. Hili nawashauri. Anzeni nanyi kumrushia mawe na madongo akifa huku hamjarusha hata jiwe moja mtaonekana mlikuwa nyuma yake.

Lazima muwe wajanja kama nyoka. Kwa sasa Ndugai ageuke awe adui yenu. Mjiambatanishe na upande ulio against Ndugai ili mje tetewa siku za usoni.

Msinyamaze. Toeni matamko mbalimbali ya kumuunga mkono Rais. Ndugai achaneni naye kwa sasa hatoweza wasaidia. Na kuwa naye karibu ni kujitafutia mabalaa tu. Ushauri wa bure huu.
Hii ni sawa na kujificha kwenye uwa vitani
 
😁😁😁
444555.jpg
 
Naamini hao hawataguswa, kuwatimua itakuwa ni kuhujumu LEGASI ya Chato, maana wakitimuliwa au wakibaki haina faida wala hasara kubwa kwa Job maaana na yeye na mihimili mingine walikuwa mtekelezaji tu.
 
Back
Top Bottom