Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Nikichanjwa naacha kuvaa barakoa?
2. Nikichanjwa sitaambukizwa?
3. Nikichanjwa siwezi kuugua?
4. Nikichanjwa siwezi kufa?
5. Nikichanjwa ikija Corona ya design nyingine siwezi ambukizwa?
Hakuna mtu anaogopa kufa kama sisi maskini,,sababu tunaamini iko ukiwa mzima iko siku utakutana na korongo ukatajirika!Pengine huyu jamaa hata mkokoteni tu hajawahi miliki lakini anaogopa kufa
Masikini wanafki sana
Duu! Zero IQ hili nalo jibu kweli kweli, chale zinachanjwa mpaka sehemu isiyo tamkika[emoji23]Nenda kachanje, mbona huwa mnachanjwa chale za kuzuia kulogwa na wachawi na bado mkisafiri kwenda mikoa mingine huwa mnalogwa tena.
Alafu bado wanaogopa chaleDuu! Zero IQ hili nalo jibu kweli kweli, chale zinachanjwa mpaka sehemu isiyo tamkika[emoji23]
Hapo sasaAlafu bado wanaogopa chale