UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Huko marekani si ndiko wamesitisha matumizi ya hiyo chanjo ya Johnson?Utafiti ulifanyika Marekani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko marekani si ndiko wamesitisha matumizi ya hiyo chanjo ya Johnson?Utafiti ulifanyika Marekani!
CCM Chama Cha MazezetaBaada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na Mkurugenzi mkuu wa NIMR Profesa Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona Askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho.
Prof Yunus Mgaya amesema chanjo ya Johnson & Johson inaweza kuwaathiri watu 4 tu katika kila watu 1,000,000 hivyo usalama wake ni wa uhakika.
Prof Mgaya amesema anatamani angekuwa miongoni mwa watu watano wa kwanza watakaochanjwa kesho.
Chanzo: Clouds tv
EeeenHeee, Heeee!Baada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na Mkurugenzi mkuu wa NIMR Profesa Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona Askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho.
Prof Yunus Mgaya amesema chanjo ya Johnson & Johson inaweza kuwaathiri watu 4 tu katika kila watu 1,000,000 hivyo usalama wake ni wa uhakika.
Prof Mgaya amesema anatamani angekuwa miongoni mwa watu watano wa kwanza watakaochanjwa kesho.
Chanzo: Clouds tv
Nenda kachanje makombo ya chanjo za wazunguWapinga chanjo wanaisumbua sana nchi
Mkuu, hata samaki hupata chanjo, labda useme tu kwamba sisi hatuna mazoea hayo.Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.
Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
Bwashee, kwa kuwa uko karibu na hao wanaotoa huo "ufafanuzi mzuri wa kisayansi", unaweza kunisaidia kujua 'kisayansi' kama kuna taasisi yoyote ya kisayansi au kitabibu ambayo imefanya haya yafuatayo:Baada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na Mkurugenzi mkuu wa NIMR Profesa Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona Askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho.
Prof Yunus Mgaya amesema chanjo ya Johnson & Johson inaweza kuwaathiri watu 4 tu katika kila watu 1,000,000 hivyo usalama wake ni wa uhakika.
Prof Mgaya amesema anatamani angekuwa miongoni mwa watu watano wa kwanza watakaochanjwa kesho.
Chanzo: Clouds tv
Huyu Baba Anatumiwa Na MabeberuSijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.
Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
Hakuna wa kumuamini kabisa katika hili... Waliokuwa upande wa Magufuli waki-advocate natural remedies kwa nguvu zote na kupinga Western methods leo wamegeuka...Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.
Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
Hawa ma-professor njaaEnzi za Marehemu alisema Watanzania tuvute subira kwenye ishu ya chanjo maana chanjo huchukua hadi miaka 10 kutafiti ubora wake, leo kageuka kasema siku hizi kuna tekinolojia mpya ya kuharakisha chanjo kwa hiyo eti chanjo kutengenzwa harakaharaka kama tulivyoona ni sawa!
Tena this blood shameless so-called professor came forward to despise western medicines by that time, during Magufuli's era. Today he is advocating the same thing he denounced!Hakuna wa kumuamini kabisa katika hili... Waliokuwa upande wa Magufuli waki-advocate natural remedies kwa nguvu zote na kupinga Western methods leo wamegeuka...
Tafsiri yake ni kuwa kesho akija raisi mwenye kuamini katika maombi watageuka tena na kuanza kuponda hizi njia wanazopigia chapuo Leo as per Samia's tune... So sad...
Wanasiasa wanafk na waongo waongo kwa maslahi yao ni wakuwapuuza na kuwaogopa kabisa... Mostly linapokuja suala la kucheza na afya zetu kwa maslahi yao ya gizani...
For now wapo bize na mabarokoa na chanjo... Nchi imesimama kabisaaaaaa.
Kama hakuna ubabe na kujipendekeza huko NIMR, basi hakuna tatizo hata kama angekuwa amesoma Sayansi Kimu kwa sababu, yeye ni Mkurugenzi tu hapo NIMR, na kwahiyo tunatarajia awe anaongea kile kinachotoka kwa watalaamu wa hapo!!
Lakini kama kuna kujipendekeza, hapo ndo linaanza tatizo...
Ndo pale Kigwangala yule yule aliyekuwa anakejeli chanjo wakati wa Magu kwa sababu tu Magu alikuwa anakejeli chanjo; leo ndie Kigwangwala huyo huyo anayeshabikia chanjo kwa sababu tu SSH ni mfuasi wa chanjo!!!
www.africa-press.net
Yaani jana nilivyoanza kufuatilia kauli za Yunus Mgaya za wakati wa JPM na hizi anazotoa sasa, nikabaki hoi!!Huyu professor ni mnafki tu
Watu Kama Hawa ni hatari Sana kwenye taifa
![]()
PROFESSOR MGAYA: DON'T rush for VACCINE ، IT DOESN'T HAVE QUALITY
The Director General of the National Institute for Drug Research (NIMR), Professor Yunus Mgaya, said Tanzania is not ashamed to rushwww.africa-press.net
Ni mnafki tu soma hapa chiniMgaya yuko kisayansi zaidi bwashee!
www.africa-press.net
Yaani jana nilivyoanza kufuatilia kauli za Yunus Mgaya za wakati wa JPM na hizi anazotoa sasa, nikabaki hoi!!