#COVID19 #COVID19 NIMR: Chanjo zitakazotolewa Nchini ziko salama kwa asilimia 99.9

#COVID19 #COVID19 NIMR: Chanjo zitakazotolewa Nchini ziko salama kwa asilimia 99.9

Muulizeni kwanini Marekani, Ulaya na kwingineko wameikataa wamepata madhara gani?
 
Wapinga chanjo wanaisumbua sana nchi
 
Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.

Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
Wewe IQ yako ni kubwa sana. Nakupongeza sana. Hongera sana Retired
 
CCM kama wana akili ya kumjeruhi kisiasa na kiheshima Askofu Gwajima, inatakiwa wawalazimishe mawaziri na wabunge wote wachomwe chanjo za Covid hadharani ili iwe hamasa kwa wananchi.

Na wa mwanzo kabisa kuchomwa chanjo awe "ASKOFU GWAJIMA" huku camera zikimchukua kwa ukaribu. Halafu vyombo vya habari apate airtime ya kutosha usiku kwenye habari kwa kuoneshwa akichoma chanjo (Clip Yake Irudiwe Hata Mara 6). Halafu Kesho yake magazeti yote yaweke picha zake ukurasa wa mbele sindano ikiingia begani.

Kwenye mitandao wamuachie hio kazi Da Mange. Sijui ataweka sura yake wapi siku ya pili watavyo mzodoa. Hajui siasa chafu huyu rashidi.
Huyu anachoweza ni ngonouzembe tu
 
Inaweza kuathiri watu wa 4!? Kwa hiyo si ya uhakika %100? Kwenye hao wanne je nikiwepo na Mimi ama wewe je?
 
Nilivyomwelewa profesa Mga. Wakichanjwa watu milioni moja, watu watakao pata madhara ni 4,000. Wakichanjwa milioni 60, watakao pata madhara ni watu 240,000. Ni wadogo hao, ndugu zangu?
 
CCM kama wana akili ya kumjeruhi kisiasa na kiheshima Askofu Gwajima, inatakiwa wawalazimishe mawaziri na wabunge wote wachomwe chanjo za Covid hadharani ili iwe hamasa kwa wananchi.

Na wa mwanzo kabisa kuchomwa chanjo awe "ASKOFU GWAJIMA" huku camera zikimchukua kwa ukaribu. Halafu vyombo vya habari apate airtime ya kutosha usiku kwenye habari kwa kuoneshwa akichoma chanjo (Clip Yake Irudiwe Hata Mara 6). Halafu Kesho yake magazeti yote yaweke picha zake ukurasa wa mbele sindano ikiingia begani.

Kwenye mitandao wamuachie hio kazi Da Mange. Sijui ataweka sura yake wapi siku ya pili watavyo mzodoa. Hajui siasa chafu huyu rashidi.
Hivi kweli mtu anaona hatari mbele yake na hana matatizo ya kimwili ya kumfanya asikimbie kuna haja kweli ya kumlazimisha kukimbia huku ukifokafoka " kimbia hatari inakumaliza"!?
 
Baada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na Mkurugenzi mkuu wa NIMR Profesa Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona Askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho.

Prof Yunus Mgaya amesema chanjo ya Johnson & Johson inaweza kuwaathiri watu 4 tu katika kila watu 1,000,000 hivyo usalama wake ni wa uhakika.

Prof Mgaya amesema anatamani angekuwa miongoni mwa watu watano wa kwanza watakaochanjwa kesho.

Chanzo: Clouds tv

Huyu haaminiki baada ya kutuuzia juice na kusema ni dawa ya Corona.

Amandla...
 
Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.

Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
Hata ile juice ya Madagascar aliiunga mkono enzi hizo! African Propesa, like Paramagamba like Lipumba.
 
Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.

Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
Mkuu anatetea ugali wake na familia yake, hapa ndipo tulipofikia na hawa wataalamu wetu.
 
awape subordinates waseme kuhusu vaccinology, yeye aseme siasa za utafiti not hard science (kama kweli tunayo hard science)
I see!..
Yeye kama Top Most(D.G)..hana jukumu la kutolea ufafanuzi kuhusu hili?
Unaifahamu organization structure ya NIMR?


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Baada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na Mkurugenzi mkuu wa NIMR Profesa Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona Askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho.

Prof Yunus Mgaya amesema chanjo ya Johnson & Johson inaweza kuwaathiri watu 4 tu katika kila watu 1,000,000 hivyo usalama wake ni wa uhakika.

Prof Mgaya amesema anatamani angekuwa miongoni mwa watu watano wa kwanza watakaochanjwa kesho.

Chanzo: Clouds tv
Hao watu 4 kwa nini waathirike? Yeye Prof. Mgaya kapiga ramli ipi kujua ni watu 4 kati ya 1,000,000? Huu ni utapeli usiokuwa na facts za kisomi kabisa, na yeye angekaa kimya tu hamna kitu kichwani humo
 
Aiseee!!
CCM kama wana akili ya kumjeruhi kisiasa na kiheshima Askofu Gwajima, inatakiwa wawalazimishe mawaziri na wabunge wote wachomwe chanjo za Covid hadharani ili iwe hamasa kwa wananchi.

Na wa mwanzo kabisa kuchomwa chanjo awe "ASKOFU GWAJIMA" huku camera zikimchukua kwa ukaribu. Halafu vyombo vya habari apate airtime ya kutosha usiku kwenye habari kwa kuoneshwa akichoma chanjo (Clip Yake Irudiwe Hata Mara 6). Halafu Kesho yake magazeti yote yaweke picha zake ukurasa wa mbele sindano ikiingia begani.

Kwenye mitandao wamuachie hio kazi Da Mange. Sijui ataweka sura yake wapi siku ya pili watavyo mzodoa. Hajui siasa chafu huyu rashidi.
 
Baada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na Mkurugenzi mkuu wa NIMR Profesa Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona Askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho.

Prof Yunus Mgaya amesema chanjo ya Johnson & Johson inaweza kuwaathiri watu 4 tu katika kila watu 1,000,000 hivyo usalama wake ni wa uhakika.
Wakala wa mabeberu!! Hii batch inayoletwa kwetu haikubaliki Amerika, Canada wala Ulaya! Mgaya tuambie kwa nini hii batch iliholetwa kwetu
Prof Mgaya amesema anatamani angekuwa miongoni mwa watu watano wa kwanza watakaochanjwa kesho.

Chanzo: Clouds tv
Uprofesa wa mgaya umeingia mchanga tayari! Ni aibu kwake!! Elimu yake kaiweka mfukoni na kukubali kuwa wakala wa mabeberu! Hii batch iliuoletwa kwetu haitakiwi Amerika, Canada wala ulaya!! Mgaya tuambie kwa nini?? Huna aibu kujitoa ufahamu!! Mgaya una ufahamu kubwa kuhusu mRNA, huelekeza mfuatano wa amino acids utakaotengenezwa hivyo kuelekeza aina ya proteins zitakazotengenezwa! Kwa hiyo ni chanjo inayoelekeza sehemu ipi ya VINASABA kwa maana ya DNA ihusike katika mchakato huo!! Ni mchakato unaohusisha vinasaba! Kwa hiyo ajali isiyotarajiwa inaweza kutokea kwenye mchakato huo!! Ni chanjo inayotoa fursa kwa ajali kutokea kwenye vinasaba! We cannot afford such an accident since that accident will be transmitted from generation to generation! Hatari iko hapo! Hata kama ni watu 4 tj kati ya millioni moja, Kizazi kinachofuata hawatakuwa 4 bali wengi! Ukipiga hesabu baada ya vizazi vitano tu utapata watu wengi sana wameathirika!! Halafu kwa nini tu,ubali chanjo ambayo haikubaliwi kwao? Nimehakikisha Tanzania hatuna maprofesa bali tuna mapropesa!!
 
Enzi ya marehemu angetoa huo ufafanuzi?
Enzi za Marehemu alisema Watanzania tuvute subira kwenye ishu ya chanjo maana chanjo huchukua hadi miaka 10 kutafiti ubora wake, leo kageuka kasema siku hizi kuna tekinolojia mpya ya kuharakisha chanjo kwa hiyo eti chanjo kutengenzwa harakaharaka kama tulivyoona ni sawa!
 
Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.

Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
Pengine amepitia za wataalamu waliobobea kwenye field hiyo......
 
Back
Top Bottom