#COVID19 #COVID19 NIMR: Chanjo zitakazotolewa Nchini ziko salama kwa asilimia 99.9

#COVID19 #COVID19 NIMR: Chanjo zitakazotolewa Nchini ziko salama kwa asilimia 99.9

Baada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na mkurugenzi mkuu wa NIMR Prof Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho.

Prof Yunus Mgaya amesema chanjo ya Johnson & Johson inaweza kuwaathiri watu 4 tu katika kila watu 1,000,000 hivyo usalama wake ni wa uhakika.
Prof Mgaya amesema anatamani angekuwa miongoni mwa watu watano wa kwanza watakaochanjwa kesho.

Source: Clouds tv
Mgaya yupi? Yaani profesa wa samaki leo anatuthibitishia ubora wa chanjo?
 
Na corona inaathiri watu wangapi kati ya 1,000,000??
 
Baada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na mkurugenzi mkuu wa NIMR Prof Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho.

Prof Yunus Mgaya amesema chanjo ya Johnson & Johson inaweza kuwaathiri watu 4 tu katika kila watu 1,000,000 hivyo usalama wake ni wa uhakika.
Prof Mgaya amesema anatamani angekuwa miongoni mwa watu watano wa kwanza watakaochanjwa kesho.

Source: Clouds tv
hata akidungwa hiyo chanjo haimanishi kwamba alichokisema ni batili,ukweli unabaki palepale.....

Mara nyingi mabeberu walikua na wanaendelea kutumia mbinu hii kwenye propaganda zao,yaani wanatumia nguvu kubwa sana ya kifedha au vitisho kulazimisha watu maarufu ambao ndio vinara wa upingaji wa nia ovu za mabeberu ili wakubali kufanya kinyume na kile vinara hao walichokua wanahubiri ili kushawishi kundi kubwa la watu waliokua nyuma ya huyo kinara waamini kinyume na ukweli uliokua ukihubiriwa.

wazoefu wanasema..."mpige mchungaji na kondoo watatawanyika"....yaani watu wakiona Gwajima anachoma chanjo hadharani,hata kama sindano haitazama ndani ya mwili wake,basi kuna kundi kubwa sana litabadili mtazamo wao wa awali.....

Hivi ndivyo propaganda za mabeberu zinavyofanikiwa kwa urahisi.
 
Nafatilia sana, ila usishangae gear ikabadilikia angani ikawa lazima. usiamini sana watawala.. hua wanatafuta pa kuanzia kupitisha jambo kuwa lazima
Duniani hakuna hiyari bwashee!

Hiyari iko mbinguni tunakochagua kati ya Mungu au shetani!
 
Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.
Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
Kama hakuna ubabe na kujipendekeza huko NIMR, basi hakuna tatizo hata kama angekuwa amesoma Sayansi Kimu kwa sababu, yeye ni Mkurugenzi tu hapo NIMR, na kwahiyo tunatarajia awe anaongea kile kinachotoka kwa watalaamu wa hapo!!

Lakini kama kuna kujipendekeza, hapo ndo linaanza tatizo...

Ndo pale Kigwangala yule yule aliyekuwa anakejeli chanjo wakati wa Magu kwa sababu tu Magu alikuwa anakejeli chanjo; leo ndie Kigwangwala huyo huyo anayeshabikia chanjo kwa sababu tu SSH ni mfuasi wa chanjo!!!
 
Labda adungwe kimya kimya, ila tutamtukana kweli akidungwa hadharani.

CCM kama wana akili ya kumjeruhi kisiasa na kiheshima Askofu Gwajima, inatakiwa wawalazimishe mawaziri na wabunge wote wachomwe chanjo za Covid hadharani ili iwe hamasa kwa wananchi.

Na wa mwanzo kabisa kuchomwa chanjo awe "ASKOFU GWAJIMA" huku camera zikimchukua kwa ukaribu. Halafu vyombo vya habari apate airtime ya kutosha usiku kwenye habari kwa kuoneshwa akichoma chanjo. Kesho yake magazeti yote yaweke picha zake ukurasa wa mbele sindano ikiingia begani.

Sijui ataweka sura yake wapi siku ya pili magazeti yatakavyo mzodoa. Hajui siasa chafu huyu rashidi.
Hahahahah, Mkuu,[emoji134][emoji134][emoji134], Gwajima sio wa kuamini maneno yake...

Aliwahi kusema siku zile akiwa kwenye mtafaruku na makonda kua hataki na hana nia ya kuomba nafasi yoyote serikalini au nafasi ya kisiasa, lakini saivi ni mbunge wa chama cha Mapinduzi.

Sina hakika sana kama ataendelea na msimamo wake huu, kwa sababu ni Mtu wa kubadilika badilika....

Katika yote, hayo tukumbuke chanjo ni hiari, so kila mtu ana maamuzi yake na ni vizuri kupata ushauri wa wataalamu wa afya kabla ya kupata chanjo na usimshauri mtu kama huna taarifa na maarifa zaidi kuhusu chanjo...

Respect mkuu......
 
The only way to know if the vaccine works is by testing na sio theories. lets say they tested the vaccines for the past 12 months, but what about for the next 10 years?

Every drug and vaccine we take has negative effects, but we use them because they have been experimented and the negatives of not using them are significant compared to the negatives of using. We can't literally say the same with covid vaccines, can we?

Ukiamua kuchanja maana yake unaona madhara ya COVID ni makubwa kuliko athari zisizofahamika au zinazofahamika baada ya kuchanjwa.

Tunalazimishwa kuchanjwa maybe because wanaotaka tuchanjwe wananguvu kutuzidi, but the truth is, we are still not that desperate to the point tufikie kudugwa chanjo zisizo fanyiwa majaribio yakutosha.

They say "Desperate Times Call for Desperate Measures". These vaccines represents desperate measures created by desperate people, and we on the other hand are still not that desperate.
 
Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.
Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
umejiuliza vizuri sana,yaani flow yako ya kimantiki imekaa vizuri sana,kama wengi wataamua kujiuliza kama wewe kwenye mambo mengi yahusuyo covid19 basi wengi sana watajiokoa kutoka kwenye huu upuuzi wa chanjo.....

Watu hawataki kujiuliza ni kitu gani kimewalinda kuanzia tangu wimbi la kwanza na la pili la huu ugonjwa fake kiasi cha kukipuuzia na kuja kuamini kitu kingine kutoka kwa mzungu.
 
The only way to know if the vaccine works is by testing na sio theories. lets say they tested the vaccines for the past 12 months, but what about for the next 10 years?

Every drug and vaccine we take has negative effects, but we use them because they have been experimented and the negatives of not using them are significant compared to the negatives of using. We can't literally say the same with covid vaccines, can we?

Ukiamua kuchanja maana yake unaona madhara ya COVID ni makubwa kuliko athari zisizofahamika au zinazofahamika baada ya kuchanjwa.
Kabisa
 
Back
Top Bottom