Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Basi parapanda italia tu hamna namnaUkiwa kwenye hao 4 ?
Mwisho wa siku isiwe lazima, kila mtu ajari uhai wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi parapanda italia tu hamna namnaUkiwa kwenye hao 4 ?
Mwisho wa siku isiwe lazima, kila mtu ajari uhai wake
Hamjalazimishwa kuchanjaumejiuliza vizuri sana,yaani flow yako ya kimantiki imekaa vizuri sana,kama wengi wataamua kujiuliza kama wewe kwenye mambo mengi yahusuyo covid19 basi wengi sana watajiokoa kutoka kwenye huu upuuzi wa chanjo...
Lumumba bando lipo la kumwaga!Sasahivi hata bando imekubwa tabu kwako
Wewe upo KatoroLumumba bando lipo la kumwaga!
Mbowe kasema Ufipa kuchanjwa ni lazima!Hamjalazimishwa kuchanja
ZiNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME.. sie tutawasaidia tuBasi parapanda italia tu hamna namna
Teknolojia iko kokote manka!Wewe upo Katoro
Hongera mkuu, jambo zuri kujali afyaMkuu acha sisi tupate chanjo
Bibi ako anampambana kumfunga MboweMbowe kasema Ufipa kuchanjwa ni lazima!
Utakaa muda mrefu snTeknolojia iko kokote manka!
Pamoja mkuuHongera mkuu, jambo zuri kujali afya
Mno mnooumaskini ni mbaya sana
Wadhifa wake (DG) haumlazimu kuwa mtu wa field hiyo..Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.
Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
Njaa tu... ndio walisema hizi chanjo sio nzuri zimekuwa tested kwa haraka na blah blah nyingi kumuunga mkono mwendazake... puppetsEnzi ya marehemu angetoa huo ufafanuzi?
Hivi huyu Mgaya ndiye yule "MZEE" ambaye umekuwa ukituletea taarifa za maoni yake kila wakati, sivyo?Baada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na Mkurugenzi mkuu wa NIMR Profesa Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho...
Anasema ni salama, ameitengeneza yeye? mbona ana uhakika sana wakati wazungu wenyewe wana wasiwasi nayo? uprofesa wake amefanya nini Tanzania.Safi kabisa.
Hahahah aisee kuchanjwa nomaZiNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME.. sie tutawasaidia tu