Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
awape subordinates waseme kuhusu vaccinology, yeye aseme siasa za utafiti not hard science (kama kweli tunayo hard science)Wadhifa wake (DG) haumlazimu kuwa mtu wa field hiyo..
Ana subordinates...
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Magufuli ulimdanganya yaliyotokea mungu anajua. Sasa umehamishia kauli upande mwingine?
Hatuna wasomi tuna wajasiriamali tupu wa elimuNjaa tu... ndio walisema hizi chanjo sio nzuri zimekuwa tested kwa haraka na blah blah nyingi kumuunga mkono mwendazake... puppets
Kwani huyu Prof ni medical Doctor? yeye mtaalamu wa marine biology! mambo ya tiba awaachie medical doctors!Baada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na Mkurugenzi mkuu wa NIMR Profesa Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho...
Hawa ni matapeli wa kuaminiwa kwenye ofisi za ummaanasema ni salama, ameitengeneza yeye? mbona ana uhakika sana wakati wazungu wenyewe wana wasiwasi nayo? uprofesa wake amefanya nini tz.
wamekula pesa za wazungu wanataka kutulazimisha.Ni chanjo ya hiari na siyo lazima
Huyu ni ndugu na Mzee Mgaya wa hapo Lumumba?Kwani aliikataa mafichoni?!
😂😂😂Ukiwa kwenye hao 4 ?
Mwisho wa siku isiwe lazima, kila mtu ajari uhai wake
Mkuu ni hiariwamekula pesa za wazungu wanataka kutulazimisha.
Naomba source ya utafiti huo, yaani chapisho la utafiti huo. Nanguliza shukrani.Utafiti ulifanyika Marekani!
ametoka baharini directly akaja NIMR, hard science ya vaccinology ameitoa wapi? Ya kujisomea nyumbani haitambuliki.... he can not make an authority at the audience kama alivyofanya!Elimu haina mwisho bwashee!
Huyu ni mwingine bwashee!Hivi huyu Mgaya ndiye yule "MZEE" ambaye umekuwa ukituletea taarifa za maoni yake kila wakati, sivyo?
Usisahau ombi langu mkuu. Ni muhimu sana kwangu.Huyu ni mwingine bwashee!
Mgaya yuko kisayansi zaidi bwashee!Prof Mgaya anapingana na Mzee mwenye nguvu ya kufufua hadi misukule.
😀😀😀😀Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.
Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
Wale watakaochanjwa water for injection siyo?Yuko namba 16 kwa watakaochanjwa kesho!