#COVID19 #COVID19 NIMR: Chanjo zitakazotolewa Nchini ziko salama kwa asilimia 99.9

#COVID19 #COVID19 NIMR: Chanjo zitakazotolewa Nchini ziko salama kwa asilimia 99.9

Prof Mgaya anapingana na Mzee mwenye nguvu ya kufufua hadi misukule.
 
Magufuli ulimdanganya yaliyotokea mungu anajua. Sasa umehamishia kauli upande mwingine?
 
Baada ya ufafanuzi mzuri wa kisayansi uliotolewa na Mkurugenzi mkuu wa NIMR Profesa Yunus Mgaya kupitia Clouds tv sitashangaa kumuona askofu Gwajima akibadili mawazo na kutimba Ikulu kupata chanjo hapo kesho...
Kwani huyu Prof ni medical Doctor? yeye mtaalamu wa marine biology! mambo ya tiba awaachie medical doctors!
 
Sijamsikia na inawezekana akawa sahihi, ila huyu baba alisoma wapi vaccinology? Yeye yuko kwenye samaki na mambo ya bahari muda wote, authority anaitoa wapi ya kuongelea vaccinology? Tuwekee papers zake kwenye hii field.

Huyu ali advocate malimao na NIMRCAF enzi wa Mwendazake, leo analeta talalila za vaccine.
😀😀😀😀
Kama ziko salama wabadilishe hiyo consent form basi serikali iwajibike lolote litakalompata mwananchi.

Atueleze hiyo madhara ya muda mrefu ameyajuaje maana chanjo hata mwaka haukupita tayari ilishagundulika?
Tofauti na hapo anatetea tumbo.
 
Back
Top Bottom