COVID19 Tanzania: Wagonjwa wapya 35 waongezeka; idadi yafikia 88 (Aprili 15, 2020)

COVID19 Tanzania: Wagonjwa wapya 35 waongezeka; idadi yafikia 88 (Aprili 15, 2020)

Mbona vifo hawatangazi? Kwa siku 14 jengo la Life House halitakuwa na huduma ya lift kuanzia kesho, Kuna mfanyakazi ghorofa ya tatu kafa na vijirusi. Pia watapuliza dawa jengo zima.
Kuna jamaa mwingine alikuwa na bar maarufu, nae kaenda kimya kimya, naona Sasa hiii ni ngoma ya kimya kimya
Kama ulichoandika ni kweli basi itakuwa ni vyema maana hakuna umuhimu wa kutangaza vifo maana tutatiana presha bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona vifo hawatangazi? Kwa siku 14 jengo la Life House halitakuwa na huduma ya lift kuanzia kesho, Kuna mfanyakazi ghorofa ya tatu kafa na vijirusi. Pia watapuliza dawa jengo zima.
Kuna jamaa mwingine alikuwa na bar maarufu, nae kaenda kimya kimya, naona Sasa hiii ni ngoma ya kimya kimya
Vituo vya mwendo kasi leo walikuwa wanapiga dawa.

Wabongo wananawa mikono vyema tu tatizo masks yani bado ukivaa unaonekana kituko cha karne ya 30.

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Mungu
IMG_20200415_174536.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyosogea idadi ya watu inazidi kuongezeka.

Ni muda wa serikali wa kuzifungia kumbi za starehe maana kuna sehemu unapita unakuwa watu wamekusanyika wanakunywa pombe bila kuchukua tahadhari...

Ikiwezekana itoe tamko kama jirani zetu wakenya walichofanya kila raia anaetoka nje kwa shughuli za kutafuta riziki ni sharti awe amevaa Facial mask..

Kwa mahitaji ya Facial mask unaweza nitafuta pia kwa kila pakti zipo 10 pcs na unaweza zifua na kuzitumia kwa muda mrefu.

Zimetengenezwa kwa two layer strechable knitted fabric zina ubora wa hali ya juu...

Bei ni tsh. 10000 kwa pakiti.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mpumbavu!! Kila kitu kulaumu!!

Tuombeni Mungu kwani wangapi walichukua tahadhari na bado ugonjwa ukasambaa? Unatamani lock down wananchi wataishije? Kisa unalala na kunywa kwa nguvu ya wengine ? Tuombeni Mungu tupunguze lawama!

Sent using Jamii Forums mobile app

Unatetea upupu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom