Tonyblair
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 424
- 413
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi wewe fala unamsogelea mtu hadi akurushiie mate yake usomi mwako umemangalia tu, nakushangaa sana, acha kukariri mmi ni daktari makini, bingwa, acha kuvaa mask kama upo katika maeneo na huumwi kufua kikohozi chochote,majinga wachache kama huyu wanadanganya watu, mask yako watu waliokaribu yako wakikohoa na ondoka hapo haraka. Madaktari na manesi nawataka wavae mask, wew mwananchi wa kawaida unavaa barakoa uko peke ako are you crazy?Wewe umekremishwa na ukameza bila kutafakari,mathalani upo sokoni au kwenye daladala,je akitokea mtu anakohoa au anaongea na hajavaa mask na droplets zikatua ktk uso wako na pengine ana virus nini kitatokea?
Na vilevile mask inakusaidia ku shape tabia zetu za kushika pua,mdomo kwa kujisahsu.
Jiulize wahudumu wa afya wanaovaa hizo mask wao wanaumwa?
Kinje miaka Ile alikuwa jiniasi. Kwa Sasa alipaswa awe angalau Kama Newton.Matokeo ya kuongozwa na Rais mwenye maono sawa na Kinjekitile Ngwale hatimae ndo tunayaona sasa!
Hilo neno kwenye RED ni zito sana lakini ndio ukweli wenyewe...Hatari kwa kweli,mambo yanatisha!! Tumeshachelewa na covid19 imeshatupiga sasa namba zitaongezeka kwa fujo.
Inaumiza sana mkuu tusipokuwa serious na serikali yetu ikiendelea kufanya mzaha tutakwisha.........Africa tumepigwa sana na HIV+ sasa na hii covid19 tukiifanyia mzaha itatuchakaza vibaya.Hilo neno kwenye RED ni zito sana lakini ndio ukweli wenyewe...
Nina hakika hata darasa hujaona maana unaandika uharo,kwa hiyo tuwe tunavizia mtu akikohoa ukimbie very stupid.Muerevu yoyote anavaa barakoa kujilinda yeye na kulinda wengine in case ana maambukizi na bado hajajijua.hivi wewe fala unamsogelea mtu hadi akurushiie mate yake usomi mwako umemangalia tu, nakushangaa sana, acha kukariri mmi ni daktari makini, bingwa, acha kuvaa mask kama upo katika maeneo na huumwi kufua kikohozi chochote,majinga wachache kama huyu wanadanganya watu, mask yako watu waliokaribu yako wakikohoa na ondoka hapo haraka. Madaktari na madesi nawataka wavae mask, wew mwananchi wa kawaida unavaa barakoa uko peke ako are you crazy?
unaziba uso, mdomo, na pua mikono, mifuko, simu, nguo ulizovaa ziko exposed, fala wewe, hakikisha unajilinda pande zote, kushika pua ni tabia mbya uiachache tu muhimu zaidi nawa kila mara, ila jua una nawa kila saa, ukijua una sehemu nyingine zinagusa maeneo yaliyoshikwa na wengine.
Huyu jamaa wanasema akili yake inauelewa mdogo sana. Maana kama ikitokea akapimwa Iq yake itakuwa 0.2.Hesabu ulijifunzia wapi bwashee?!
Nasikia idadi imefikia 147 alasiri hii
Ummy Alikua live ITVHabari nyeti hizi umezitoa wapi mkuu utaplkwa central subiri wakubwa watangaze[emoji82]
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari nyeti hizi umezitoa wapi mkuu utaplkwa central subiri wakubwa watangaze[emoji82]
Sent using Jamii Forums mobile app