JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Baadhi ya wananchi wamelalamikia suala la watu mitaani kupuuzia ugonjwa wa #COVID19 na kuacha kuchukua tahadhari muhimu zinazoelekezwa kila siku na Wataalam wa Afya duniani
Inaelezwa kuwa wanunuzi maeneo ya masoko hawachukui tahadhari ikiwa ni pamoja na kunawa mikono hadi ugombane nao. Wengine wakipewa elimu wanasema kuna dawa tayari kutoka Madagascar na wengine wanadai wanajifukiza
Kwa mujibu wao, kupuuzwa kwa ugonjwa huu ni kutokana na kutotolewa kwa takwimu mpya hivyo watu wanadhani ugonjwa umeisha Tanzania na kuendelea na maisha kama kawaida
Wiki iliyopita, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alisisitiza kuwa #COVID19 bado ipo na inaua na kuwa takwimu mpya zitatolewa baada ya ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii kukamilika kufuatia Rais Magufuli kutilia shaka upimaji katika Maabara baada ya sampuli zinazodaiwa kuwa za matunda, wan
Soma Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria - JamiiForums
Waziri Ummy: Serikali haitoi taarifa za COVID-19 kutokana na zoezi la uhakiki wa maabara ya Taifa - JamiiForums
ANGALIZO
Wananchi tuendelee kuchukua tahadhari, nawa mikono mara kwa mara kwa sabuni na maji tiririka, vaa barakoa unapotoka ndani, kaa umbali wa mita 2 na mwenzako na toka ndani pale inapokulazimu. Kuushinda ugonjwa huu inahitaji ushirikiano wetu sote
#JamiiForums #JamiiTalks #COVID19TZ #JFCOVID19_Updates #JFCOVID19
Inaelezwa kuwa wanunuzi maeneo ya masoko hawachukui tahadhari ikiwa ni pamoja na kunawa mikono hadi ugombane nao. Wengine wakipewa elimu wanasema kuna dawa tayari kutoka Madagascar na wengine wanadai wanajifukiza
Kwa mujibu wao, kupuuzwa kwa ugonjwa huu ni kutokana na kutotolewa kwa takwimu mpya hivyo watu wanadhani ugonjwa umeisha Tanzania na kuendelea na maisha kama kawaida
Wiki iliyopita, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alisisitiza kuwa #COVID19 bado ipo na inaua na kuwa takwimu mpya zitatolewa baada ya ripoti ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii kukamilika kufuatia Rais Magufuli kutilia shaka upimaji katika Maabara baada ya sampuli zinazodaiwa kuwa za matunda, wan
Soma Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria - JamiiForums
Waziri Ummy: Serikali haitoi taarifa za COVID-19 kutokana na zoezi la uhakiki wa maabara ya Taifa - JamiiForums
ANGALIZO
Wananchi tuendelee kuchukua tahadhari, nawa mikono mara kwa mara kwa sabuni na maji tiririka, vaa barakoa unapotoka ndani, kaa umbali wa mita 2 na mwenzako na toka ndani pale inapokulazimu. Kuushinda ugonjwa huu inahitaji ushirikiano wetu sote
#JamiiForums #JamiiTalks #COVID19TZ #JFCOVID19_Updates #JFCOVID19