Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Kwasasa yupo wapi mkuuni muungwana nimejenga nyumba yk moja apa dar nikiwa kibarua apend zuluma ila tatzo mfumo wa inchi hii hautak watu wema lazima abadilishwe ama apende au asipende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasasa yupo wapi mkuuni muungwana nimejenga nyumba yk moja apa dar nikiwa kibarua apend zuluma ila tatzo mfumo wa inchi hii hautak watu wema lazima abadilishwe ama apende au asipende
Mhh!!Diwani alisoma na baba hata mzee anasema hivyo pia kuwa Diwani ni mtu wa Dini saana na mstaarabu
Basil mramba hakuwa mpare wewe acha upopomaWakina basil mramba au sio.?
Kaka tuthibitishie, alivurugaje uchaguzi?..ameshiriki kuvuruga uchaguzi wa 2020 halafu unasema ni kiongozi mzuri?
..Zaidi unashauri sasa ashiriki uchaguzi kama mgombea?!
Kaka tuthibitishie, alivurugaje uchaguzi?
MRAMBA asiye mpare 😂😂😂 wa kwanza katika historyBasil mramba hakuwa mpare wewe acha upopoma
Uchaguzi wa kazi gani!?..uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kihuni na yeye kama mkuu wa usalama wa taifa alishindwa kuzuia uchaguzi usiwe wa kihuni.
Diwani alisoma na baba hata mzee anasema hivyo pia kuwa Diwani ni mtu wa Dini saana na mstaarabu
Wakina basil mramba au sio.?
Mramba ni mchaga acha ubishi wa kitotoMRAMBA asiye mpare 😂😂😂 wa kwanza katika history
hawa ndio watu waliotoa ushauri bora kuhusiana na dipiiwedi wakawekwa pembeni. kwanini tusiamini allegation hii?Kama ni hazina huyu kiongozi ni MTU mstaraabu sana na huwa hana utendaji kazi wa kukurupuka.
Nilianza kumfahamu akihudumu Polisi, RAS Kagera, Kaimu DG wa Takukuru, na baadae DG wa Usalama. Kusema kweli huyu MTU ana kaliba ya aina yake. Lkn pia kila jambo hulifanya kwa hofu ya Mungu.
Nchi yetu inawahitaji watu wa aina hii, na wanapojitokeza tuwaunge mkono - lkn pia hata wasipojitokeza wenyewe basi tuwashauri na kuwashawishi watafute nafasi za uongozi kupitia taasisi za vyama vya siasa.
Ni ushauri tu
Msakila Kabende
(Mchumi Mbobezi)
Hawezi kukubali bado anampenda mama yakoMpe hata mkeo
Sifahamu kama alipewa cheo kipya na iwapo alikataaMkuu vipi unajua akiko baada ya kukikataa kile cheo kipya alichopewa na mkulu.
Kwa nini huwa hivyo?MTAALAMU umenena vema. Tatizo nchi yetu huwa haiwahitaji watu wastaarabu, waungwana na waadilifu.
Na wengi wanajitambua hawarudi 2025.Kwa aina ya wabunge waliopo hivi sasa nakubaliana nawe 25 tupindue meza na kuinyofoa miguu kabisa
Yupo kijijini kawekwa kwenywe kibanza huyu muungwana ndio kasaidia Tanganyika kutochukuliwa na mkoloni Mwarabu.Kwasasa yupo wapi mkuu
Wameona bora wauze nchiNa wengi wanajitambua hawarudi 2025.
Ustaraabu gani?ukiwa kwenye hiyo kazi roho za watu amepita nazo sanaDiwani alisoma na baba hata mzee anasema hivyo pia kuwa Diwani ni mtu wa Dini saana na mstaarabu