Panga La Shaba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 209
- 68
anza na mastaz coz ni rahisi kuipata kuliko cpa pia mastaz kimtaa inasifika hata ukifa kaburini wakiwa wanasoma historia fupi ya marehemu utauza mbaya japokuwa utakuwa tayari kuliko CPA ambayo mtaani hata hawaijui wanaweza fikilia ni jina lingine la unesi au mtu wa monchwari.
Ukifa ukiwa na CPA wasema alikuwa na Cheti cha juu kabisa cha Uhasibu....ila wakisema cha Tecknohama kijiji kwenu watapata shida kidogo Billie