Panga La Shaba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 209
- 68
anza na mastaz coz ni rahisi kuipata kuliko cpa pia mastaz kimtaa inasifika hata ukifa kaburini wakiwa wanasoma historia fupi ya marehemu utauza mbaya japokuwa utakuwa tayari kuliko CPA ambayo mtaani hata hawaijui wanaweza fikilia ni jina lingine la unesi au mtu wa monchwari.
Una elimu gani mkuu,maana kila kitu kwako ni uchafu...
anza na mastaz coz ni rahisi kuipata kuliko cpa pia mastaz kimtaa inasifika hata ukifa kaburini wakiwa wanasoma historia fupi ya marehemu utauza mbaya japokuwa utakuwa tayari kuliko CPA ambayo mtaani hata hawaijui wanaweza fikilia ni jina lingine la unesi au mtu wa monchwari.
Mna ugomvi binafsi nyie watu?? Mbona sielewi comment na counter-comment hizi?
Ha ha ha...huwa tunachangamshana na mpigamsuli .but now he is a good friend to me.
CPA(T) ni uchafu na ni kwa ajili ya tanzania tu ukienda beyond borders unaicha kwenye exit point sasa kwa nini upoteze muda kusoma huu ujinga kwenye utandawazi, masters nayo ni uchafu mwingine inakuwa na maana kama utaenda chuo kuwa tutor kwani masters kazini hakuna employer anaehitaji labda awe mjinga.
anza na mastaz coz ni rahisi kuipata kuliko cpa pia mastaz kimtaa inasifika hata ukifa kaburini wakiwa wanasoma historia fupi ya marehemu utauza mbaya japokuwa utakuwa tayari kuliko CPA ambayo mtaani hata hawaijui wanaweza fikilia ni jina lingine la unesi au mtu wa monchwari.
anza na mastaz coz ni rahisi kuipata kuliko cpa pia mastaz kimtaa inasifika hata ukifa kaburini wakiwa wanasoma historia fupi ya marehemu utauza mbaya japokuwa utakuwa tayari kuliko CPA ambayo mtaani hata hawaijui wanaweza fikilia ni jina lingine la unesi au mtu wa monchwari.
anza na mastaz coz ni rahisi kuipata kuliko cpa pia mastaz kimtaa inasifika hata ukifa kaburini wakiwa wanasoma historia fupi ya marehemu utauza mbaya japokuwa utakuwa tayari kuliko CPA ambayo mtaani hata hawaijui wanaweza fikilia ni jina lingine la unesi au mtu wa monchwari.
Jamani hali zenu,ndugu zangu mi naomba kujua which is better yani KWENDA KUSOMA MASTERS ALAFU NDO UTAFUTE CPA au UTAFUTE CPA ALAFU NDO UFANYE MASTERS and who are most appreciable huko makazini.....
Are you 100% sure of what you are talking about? Nina wasiwasi sana na uelewa wako wa mambo. Una elimu gani wewe na lini ulienda na CPA nje ya nchi na isitambuliwe au ni wapi waajiri wa Tanzania hawahiitaji Masters? Stop these sweeping statements of yours!!!!
Tiba
Inategemea na malengo yako ...kama unataka kuwa na maisha mazur vyote hivo sio lazima .....masters ni muhim kama unataka kurise into managerial positions ....CPA ni muhim kama unataka kazi za auditing/accounting ...kingine ...masters ni hela yako tu ...bt cpa inataka maandalizi ya kutosha ...ndo mana watu wengi walioko makazin wanashindwa kuchomoa coz awana mda wa kutosha kucover syllabus pamoja na kufanya maswali ya kutosha
thibitisha ni kazi gani hapa duniani zaidi ya ualimu unayomfaa mtu mwenye masters, unajua kirefu cha CPA(T) we mbwiga? unafikiri ingekuwa global ilo (T) ni la kazi gani? una akili ndogo kama jk dogo.
wewe acha ujinga huooooo!wenzako tunatafuta pesa sio ,vyeti ili umtumikie mwajiri tafuta njia ya kujiajiri mwenyewe ukiendelea na mawazo hayo yakuta futa vyeti kibaokibao umri unasonga alafu ujafanya chochote eti kisa CPA& MASTERSJamani hali zenu,ndugu zangu mi naomba kujua which is better yani KWENDA KUSOMA MASTERS ALAFU NDO UTAFUTE CPA au UTAFUTE CPA ALAFU NDO UFANYE MASTERS and who are most appreciable huko makazini.....
nimerudi kaseme tena kwa mods
thibitisha ni kazi gani
hapa duniani zaidi ya ualimu unayomfaa mtu mwenye masters, unajua
kirefu cha CPA(T) we mbwiga? unafikiri ingekuwa global ilo (T) ni la
kazi gani? una akili ndogo kama jk dogo.