CPA ya Issa Masoud Simba ichunguzwe kwa kuongea pumba, utumbo, ujinga na kukosa weledi

CPA ya Issa Masoud Simba ichunguzwe kwa kuongea pumba, utumbo, ujinga na kukosa weledi

Nitaandika Barua kesho kuiomba NBAAA kuchunguza uliwezaje kutunukiwa CPA Makati uwezo mdogo
Ungetuwekea nakala pia hapa mkuu😎

Uzi wako wote hujacounter hoja zake, Masuala ya kisheria hujaweka refernce yoyote zaidi ya kujitapa unajua MOA na AOA. Lakini hizo articles za mkataba wa Simba na Mo hujaziweka.

Kuhusu Mo kuweka 20B bank ili kununua bonds hujaongelea kabisa.

Na pia Tuhuma za CPA zote Wewe hujaelezea uoande wa pili wa Shilingi bali Umemshambulia tu.

All in All NI KWELI MO AMEWEKA 20B katika akaunti husika AU LAH??!!!
 
Tatizo kuu la SSC ni kuwa na viongozi njaa, wasio na uelewa wa mpira na wababaishaji watupu!
Kamwe tusitarajie kuwa na Simba imara kama tutaendelea kuwa na haya ma-mbumbumbu!
 
Back
Top Bottom