ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kwa mlioangalia game iliyoisha sasa hivi la liga mtakuwa mmepigwa na butwaa kumuona C Ronaldo akikosa magoli Mengi mno Leo yakiwamo matatu aliobaki yeye, kipa na goli,hivi ni nini kinachoendelea kumuandama gwiji huyu?
Ikumbukwe mpak sasa katika ligi ana goli 2 tu,mchezo wao Wa uefa walikutana na kibonde wakashinda nadhani 5-0 lakini Cr7 hakutikisa nyavu pia Siku hiyo,Ku Nani?
Hata mtangazaji ameonyeshwa kushangazwa na matokeo ya Leo upande Wa Cr7 na mwisho Wa mchezo tumeona Marcelo akiongea na mtu Wa Tv nae ameulizwa nini tatizo C Ronaldo kwa sasa kajibu ni hali ya mchezo tu.Real wameshinda kwa taabu 2-1 magoli ya Benzema na la majeruhi la Morata.
Ikumbukwe mpak sasa katika ligi ana goli 2 tu,mchezo wao Wa uefa walikutana na kibonde wakashinda nadhani 5-0 lakini Cr7 hakutikisa nyavu pia Siku hiyo,Ku Nani?
Hata mtangazaji ameonyeshwa kushangazwa na matokeo ya Leo upande Wa Cr7 na mwisho Wa mchezo tumeona Marcelo akiongea na mtu Wa Tv nae ameulizwa nini tatizo C Ronaldo kwa sasa kajibu ni hali ya mchezo tu.Real wameshinda kwa taabu 2-1 magoli ya Benzema na la majeruhi la Morata.