Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
davido aliwatukana watanzania jamanii ,hebu nipigieni na Mie kura lo,aiseeeee mmekomaa jamaniii
Wewe kama ni wa KIKE hapo ulipo umeachana na jamaa yako aliyekuwa akiku... baada ya kumpata mwingine wewe akakuita MAKOMBO utajisikiaje? na isitoshe akatoa piicha yakuwaonyesha wote aliowa..... je kitendo hicho ni cha busara?Hvi watanzania mna masaibu gani. Kuna watu wanadai diamond ana dharau, sasa hyo dharau mnaiona mashabiki wa wema tu. Nimepita pita kitaa kuuliza watu na wanasema hawana tatizo na diamond.
Ila nimekuja kujua kumbe chanzo cha chuki ni mimba ya zari na kuachana na wema. Washabiki wa wema hawajakubali hali ya wema kutokuwa na raisi wa wasafi, pia wema nae bado ana kisasi, na ndo mana anaendesha kampeni ya kumpigia kura Davido na sio mtanzania mwenzake diamond.
Ila tu nisisitize, jokate, wema, na mange, nyie na washabiki wenu mpigien davido wenu, ila msitake kufanya watanzania wengine wamchukie diamond bila sababu. Sisi watanzania wengine tutampigia kura.
Na naona vanesa nae ashaanza kuingia team wema, mana anajipigia promo yeye mwenyewe na kumuacha diamond, badilika dada.
Vote for diamond ana Vanesa, MTv awards.
Davido hakuwahi Tukana mtanzania zaidi ya kusema they have cheated again kitu ambacho kiushindani lazima mtu angesema. Mbona nyie kiba amefunika mnalala ila kutwa?? Hadi zari ametoka povu IG
Yaani hadi natamani usifike aisee, na mtapumua kwakweli, mwezi mzima?
Jua halizibwi kwa ungo hata siku moja, nyota yake bado iko juu, ila ukifika wakati wa kushuka kama ilivyo kwa wasanii wengine atashuka tuu. Lakini sio kwa visa na visasi vya watu. Chiki zao ni sawa na kumpiga chura teke. Bora mckukue viti mkae maana mkisimama mtasubiri sana
hahah hah hah ich glauben nicht
yaan usitupimie.....hatutabiriki...kivuruge stlye
hiviiii hizo tuzo za MTV zinaanza lini?mi mpaka mnanichanganyaaa
yaan nshasema MUNGU akiniuliza anipe zawadi gani ila atampa mondi mara mbili yangu...Mwenzangu Marytina ana balaa huyu? Si kasema kawaonea huruma anampigia domo?
hamieni Nigeriaaaa
Mwezi wa saba katikati (thou siko sure sana na tarehe sahihi). Vipi au uhamie kwa waeskimo Hadi zipite ili usiumie Dina wangu
yaan nshasema MUNGU akiniuliza anipe zawadi gani ila atampa mondi mara mbili yangu...
mfano:marytina niwe na diploma , mond apewe digrii
, niwe milionea mond awe bilionea
ntachagua kupofushwa jicho mmoja ili MOND apofushwe mawili....hahah hah
mond aliunga mkono katiba mpya na KAIMBA KIBWAGIZO KWAMBA TUIPIGIE KURA leo anaitwa mzalendoo ni upuuzi gani huu.....hii KATIBA SITTA itaififisha nchi kwa miaka 50 ijayo wakati mond akikosa TUZO vanessa atanyakuwa na kuiwakilisha nchi
Davido hakuwahi Tukana mtanzania zaidi ya kusema they have cheated again kitu ambacho kiushindani lazima mtu angesema. Mbona nyie kiba amefunika mnalala ila kutwa?? Hadi zari ametoka povu IG
ili kumsaidia mond muadabishe kwa kumpigia kura davidoWewe kama ni wa KIKE hapo ulipo umeachana na jamaa yako aliyekuwa akiku... baada ya kumpata mwingine wewe akakuita MAKOMBO utajisikiaje? na isitoshe akatoa piicha yakuwaonyesha wote aliowa..... je kitendo hicho ni cha busara?
Usitake kutafuta mchawi Diamond kajiroga mwenyewe akishirikiana na nyie washabiki wake ambao badala ya kumrekebisha mnamuacha aendelee na ujinga anaoufanya..
- NYOTA ILIYOMNG'ARISHA DIAMOND NI WEMA
- ZARI NI GUNDU KWA DIAMOND
Cha muhimu kabla ilitakiwa ajiulize kwa uzuri wote huo imekuwaje akaachwa na mume?
namchukia mzalendo mnafiki mond kwa kibwagizo cha kuunga mkono katiba yaan haitatokea nimpigie kura ya mtv 2015