Hiiiiiiiii cheeeeee
MAMA 2015 - http://mama.mtv.com/voting/ mwendo wa malink tu kuvote tu..
Ukifata iyo lik ina maelekezo yote then utajiregista afu unavote kwa davido au wizkd na vanesa. Make sure sehemu ya dai unaipita kama huioni mamy.
Unaruhusiwa kuvote ata mara mia goooooooooooo nifah nimekusaidia jukumu
Africa we are one...me simpigii mtu kula kisa tu mtanzania noo napiga kwa anaye jua.davido safari hii hatuchiti broo maana watanzania tunapenda sana kusifia vibovu
Cjui atakuwa nani huyu πππ embu angalia iyo picha labda utamjua
Eeeewaaa......asante ma........ngoma mdundo........tuliambiwa tunapiga kelele.......sasa ngoja tukampigie hizo kelele Davido na Vanessa..........kelele weeeee.........
Sihitaji kumfahamu ninaye mmoja ninayemjua wengine ni wastage of time.
Nisaidie link ya kumpigia kura Ali k**a k**a for real plz ktk tuzo yoyote plz plz
kiba mwisho Ktma
Acha upumbuvu wa fikra afrika yako wewe inaanza Tanzania ya davido inaanzia Nigeria .
Usiponielewa inabidi tukuvalishe kipini puani .....halafu uliza nini kitafuata hahahahaha
πππ kwaiyo hadi mwakani iyo πππ au angojee ijumaa sexist man ππ wampigie kura
πππ kwaiyo hadi mwakani iyo πππ au angojee ijumaa sexist man ππ wampigie kura
Nisaidie link ya kumpigia kura Ali k**a k**a for real plz ktk tuzo yoyote plz plz
Siku Daimond akifa wa kwanza kuzimiaa kama kwa kanumba watu kwa unafiki jamaniii looo
Safi sana nahisi inakuingia vizuri mno but I will and continue voting for vanesa davido and wizkid mtu.but ungekuwa kidogo na kashule ungejua the meaninh ya tu respect locally in order to win international so akili kubwa hizo..
Siku Daimond akifa wa kwanza kuzimiaa kama kwa kanumba watu kwa unafiki jamaniii looo