Yeah, because he has to marry to please you. Let him live his life. What a stupid excuse.
Sina team ila kwa point hii huu ukosefu wa kufikuria vizuri maana huwezi sema MTU asipigiwe kura kisa kawaita x zake makombo na wao je walimuita nan?alaf mambo ya mahusiano bwana waachie wenyewe alaf siyo kila uhusiano Lazima uishie kwenye ndoa. we umeacha au umeacha wangap? Uyo mganda ndo chagua lake utamlazimisha amuoe wema au jokate kama mioyo haijaendana?