figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Wakati anahojiwa na akina Millard alisema East Coast ni chama kubwa kama CHADEMA sijui na yeye alishatangaza nia ya kujiunga rasmi kama Prof J? Hivi CDM mnampango wa kuanzisha MUSIC ACADEMY eenh? Maana wasanii wote naona wanajiunga huko kwa kasi.
alipanda jukwaani kama nani? ishara yake na alichokivaa mkononi!!
Wakati anahojiwa na akina Millard alisema East Coast ni chama kubwa kama CHADEMA sijui na yeye alishatangaza nia ya kujiunga rasmi kama Prof J? Hivi CDM mnampango wa kuanzisha MUSIC ACADEMY eenh? Maana wasanii wote naona wanajiunga huko kwa kasi.
yule jamaa anakigugumizi hafai ktk rap
aliimba nyimbo gani?maana mimi ngwair kafa ndo nikamfahamu,huyu nae hata simfahamu,nitajieni nyimbo nikamcheki youtube
Hivi na nyinyi CCM mna mpango wakuanzisha THIEVES ACADEMY maana naona Wezi wote ndo wanakimbilia huko?
View attachment 96921
yule jamaa anakigugumizi hafai ktk rap
Wakati anahojiwa na akina Millard alisema East Coast ni chama kubwa kama CHADEMA sijui na yeye alishatangaza nia ya kujiunga rasmi kama Prof J? Hivi CDM mnampango wa kuanzisha MUSIC ACADEMY eenh? Maana wasanii wote naona wanajiunga huko kwa kasi.
hahaha,kama ulikuwepo.yaani nimemtafuta GK youtube manyimbo mabaya hakuna hata mmoja nilioangalia hadi mwisho,bora hata yule mikasi nimecheki nyimbo zake ni nzuriAkina diamond tu ndo size yako!
salute kwako? Umezuuza mtima wangu1. sister sister
2. Itikadi zetu
3. Ama zangu ama zao
4. Tutakukumbuka daima milele
5. Simba wa africa
6.
Nitakufaje
7. Miiko 10 ya rap
salute kwako? Umezuuza mtima wangu
Wakati anahojiwa na akina Millard alisema East Coast ni chama kubwa kama CHADEMA sijui na yeye alishatangaza nia ya kujiunga rasmi kama Prof J? Hivi CDM mnampango wa kuanzisha MUSIC ACADEMY eenh? Maana wasanii wote naona wanajiunga huko kwa kasi.
alipanda jukwaani kama nani? ishara yake na alichokivaa mkononi!!