figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
gk aligoma kumlamba miguu ruge. akamua kukaa pembeni lakini maisha yanasonga vilevile. kumbuka gk na jidee ni damu damu. alikuja kubugi alipoimba wimbo wa piga manati. alikua anawajibu wanaume halisi ndege tunduni. so akawa amejiingiza kwenye bifu la wanaume pamoja na bongo records. wakina ay na fa wakajiweka pembeni so akabaki pekee. mia
