Crazy things you did in secondary school


Ha ha ha ha duuuh

Mkuu umeniacha hoi na kunishangaza kunambia darasa la tano tayari ulijua mapenzi lol...

Sie tuliokua watoto wa getini mapenzi tumeyajua sekondari tena kidato cha nne lol
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha duuuh

Mkuu umeniacha hoi na kunishangaza kunambia darasa la tano tayari ulijua mapenzi lol...

Sie tuliokua watoto wa getini mapenzi tumeyajua sekondari tena kidato cha nne lol

baada ya kichapo ilibidi nikome kwanza , siyo mchezo.
 
baada ya kichapo ilibidi nikome kwanza , siyo mchezo.

Nakumbuka walimu wa enzi hizo walikua wanachapa balaa...

Kuna siku nikiwa darasa la 4 niliona mwalimu kalala kwenye dawati darasani nikamwambia mwenzangu eti mwalimu analala lala hovyo kama ana mimba basi wee si akaenda nisemelea bwana...

Mwalimu alinicharaza bakora hadi nililia enzi hizo no kuhesabu bakora....
 
Mkuu na wewe ulikuwa member wa waogaji kule mtoni chini ya daraja......?

Hahaha...mkuu nyeto ilikuwa inafanyiwa mabafu ya Oldonyo upande ule wa barabara ya kwenda pitch...

Ukiingia bila kutazama chini lazima uleteleze maana chini kunakuwa kumetapakaa mabao ya raia...
 
Nakumbuka jinsi O level boys walivyokuwa wanajipangia wachumba form 5 girls kwenye list ya majina, kila mtu na wake kabla hata hawaja report shuleni, na wakija seriously wanawataka.

Co education in a boarding school was magical !
 
Ngoja niende za chuo. Ni mkoa wa kati.

Kwenye pilikapilika za chuo nikaopolewa na mhasibu wa mkuu wa wilaya.

Mke wake yuko wapi usiniulize hayanihusu.

Ikawa kila mwishoni mwa wiki ni kwenda kuvunja amri za Bwana. Hapo akiishi hotelini.

Siku hiyo jumapili nimego kama Kawaida nafungua mlango niingie ndani mama yangu nikakuta laivu watu wanadu. Yaani anamla dada mmoja alikuwa polisi pale town.

Kweli zaituni alikuwa kibonge.

Nilichofanya nikuwacheki kama dakika mbili halafu nikaondoka wala mlango sikuurudishia.

All in all yakaja kwisha. Nahisi masele alinipenda.
 
Shuleni kwetu ilikuwa wanaweka sufuria la ukoko nje ya jikoni wakishapakua,wee inapigwa scramble hatareee form1 hadi 6 hujui nani ni nani,thank God tulikuwa girls only mana ilikuwa uchizii,..
 
Shuleni kwetu ilikuwa wanaweka sufuria la ukoko nje ya jikoni wakishapakua,wee inapigwa scramble hatareee form1 hadi 6 hujui nani ni nani,thank God tulikuwa girls only mana ilikuwa uchizii,..

Mmh kama st magret jamani,ingekua ina had fm 6 ningesema ulikua unasoma pale, jamani usipokua na nguvu unadumbukizwa kwenye sufuria, yani wapishi hawapati kazi ya kukwangua ukoko, nakumbuka watu walikua na jezi za kupigania ukoko, yanii daaa hahaa
 

Umenikumbusha mbali. Ikitokea zali kati yetu NATO na Milambo lililosababishwa na Girls. Eti hadi kamati ya muafaka iliundwa na siku hiyo wateule wakaja Boys.

Mwisho wa majadiliano ya muafaka-makande yakaliwa kwa pamoja.O level boys walikasirika sana kwa sababu walipania kulipa kisasi
 
Nimewahi kumwagikiwa na supu ya nyama...yani sitokaa nisahau...kugombania nyama bwaloni,nyama yenyewe moja!
 
Sasa prepo... kipindi cha mitihani ( nilipitiwa na usingizi hadI nikaota afu kwa sauti) hahahahahaha

Shule za bweni rahaaa
 
Last edited by a moderator:
Bishop Arusha....wacha kabisa kwenye mashndano ya kula mchizi wangu john alimmeza samaki mzima bila kumtafuna.
 
It was inspection day,everyone was a expected to be neat and have the essential clothings including a tie.Failure of having a tie amounts to punishment similar to stealing.I had lost my tie the previous day. I was in form one.To escape the wrath of inpector,i made a tie out of plane paper.i coloured the paper blue using a markerpen(our ties were of blue and white strips).nikaipachika kwenye shati.The inpector did not realize it.everyone saw me as a badass.

On another occasion, tulivamia staff room usiku ili kula chakula kilichobaki(chakula cha walimu kilkua special halafu hiyo siku walipika kuku wengi wakabaki).bahati mbaya deputy alikua anafanya patrol.sote tulitoka mbio.deputy aliamua kufa na mmoja akanikimbiza mimi.uzuri nilipiga ninja kwa kutumia sweta,nikaruka uwanjani ucku,yeye nyuma yangu.nilimzungusha uwanja mpaka akachoka akaenda zake..

Nilikua napiga stori na marafiki breaktime nikimwiga headmaster anavyoongea,kumbe yupo nyuma yangu!nilipigwa viboko ile mbaya...

n.k
 

Inaonekana mlikuwa wasafi sana nyie, sisi sarawili ya dark bluu ilikuwa inavaliwa miezi kadhaa hadi unaweza kuandika notes juu yake kwa kutumia kijiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…