Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
kipondo cha mtongozano lusungo ulikipata very late..........
nakumbuka darasa la tano primary nilipokea stiki za kutosha mbele ya class kisa niliandika barua ya kumuimbiza wifi yake ticha wangu wa kiswahili............ siwezi kusahau maana hata papuchi sikula aseeeeh!!!!!!!!!!
Ha ha ha ha duuuh
Mkuu umeniacha hoi na kunishangaza kunambia darasa la tano tayari ulijua mapenzi lol...
Sie tuliokua watoto wa getini mapenzi tumeyajua sekondari tena kidato cha nne lol
Last edited by a moderator:
