Crazy things you did in secondary school

Crazy things you did in secondary school

Nakumbuka nlkua bingwa wa kulala , kuna siku usiku tukapewa adhabu ya kulala nje assemble ground ,Duh nilishukuru nkalala kushtuka nipo mwenyewe mhh nltoka nduki...Dah maisha ya skuli
Aisee
 
Nakumbuka nlkua bingwa wa kulala , kuna siku usiku tukapewa adhabu ya kulala nje assemble ground ,Duh nilishukuru nkalala kushtuka nipo mwenyewe mhh nltoka nduki...Dah maisha ya skuli
Aisee
 
I was thief I steal mathematics books but when I finished form 4 I got F in math exam now I know there no advantage of being thief (Kingereza kilikuja na boat poooh)
 
Form two mwaka gani?
No offence intended....
Thread ya mwaka 2008 ikizungumzia zilipendwa.....

Nakumbuka tukiwa form Two ndo kwanza tunaanza kufahamu michepuo ya masomo
Kikundi chetu cha wavulana tisa tukawa tunajipambanua kwamba sisi ni Science na wengine nao wakawa wapenda masomo ya arts
Basi bana siku moja mwalimu wa English kaingia anafundisha baadae akatoa quiz
Rafiki yangu mmoja wakati mwalimu anapita kila kiti kusahihisha alivyofika kwake akakuta jamaa yangu amechemka karibu maswali yote teacher aka mind na akaamua kumtandika fimbo za mkononi tatu!!! [emoji4][emoji4]
Jamaa yangu akapandwa na hasira na maumivu ya viboko akajikuta amesusa na kuamua kutoka nje
Mwalimu akamwambia ukindoka humu hutahudhuria tena kipindi changu!!
Unajua jamaa alimjibu nini mwalimu???
"sawa sitaingia kwani nini............. somo lenyewe english "
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
Wapambe wenzie tukaangua kicheko basi teacher alitumaind ile mbaya matokeo yake tuliadhibiwa wote na walimu kutuita ofisini tukala bakola za kutosha
SITASAHAU KISA KILE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh! Kweli mambo yanafanana! Kwetu pale mabrazameni walikuwa wananyoa nywele mtindo mtindo special for disco aka debe. Halafu baada ya disco inabidi alazimike kuyoa tena kuondoa mtindo huo kwani darasani ni marufuku.
Mnakumbuka nguo za OPP ?? Siku ya disco OPP kibao!


unakumbuka zile shati za dog style au draaaft na simple raba. teh teh teh teh tihiiiteh teh teh tihiii
 
~ Got chased by the headteacher and deputy head, a whole crowd of us in school uniform where in one area our school had been forbidden to enter by the school otherwise could result in expulsion, only 2 were caught, thank God I was not part of the two...

~ You used my camera to take photos of your sleeping friends, especially when they were drooling and posted it on the announcement boards...

~ Used to sneak out of school all the time as a day student and buy foodstuff that were all contraband...

~Would go to the dining hall before the lunch bell goes...

~ Used to write rylics of the artists of your preference... (remember 2Pac, Bob Marley?)

~ Ulizoea kujiandikia barua ili uonekane wewe ni mpokeaji mzuri wa barua.

~ Ukitumiwa EMS au TMO basi wewe unaonekana Baab kubwa!

~ Kuchomekea shati ilikuwa kero kwako, ulifanya hivyo wakati wa kukaguliwa Jumatatu baadae 'unapiga chini'.

~ Kufua soksi ilikuwa kero sana kwako, ulikuwa unazivaa mara 5 kwa wiki kisha unazifua Jumamosi (ukiwa na pair moja).

Hizi ni baadhi, tena nyingi ni kwa upande wa wanaume... Ladies, what you used to do (crazy ones pls).
Enzi hizo class of 2014 soitsambu sec nilikuwa wa mwisho kupokea uji alafu nakangua ukoko wa uji ilikuwa balaa unashiba utafikiri umemeza hamira wakati wengine class ni miayo tu
 
Nilikuwa fundi baiskeli za wanafunzi wa Day,nilitunza Patex yangu kajinyundo, spana Malaya, msasa na tyubu ya pechi bila kusahau kiwembe.

Wakati wa breki naenda maegesho ya baiskeli kukagua ipi ina pancha kimsingi nilizimaki baiskeli nyingi hasa zile vimeo...za maandazi (vitairi) kwa mama Gwantwa hazikuwahi kukosekana...that wasn't crazy though!

Jasiri haachi asili bado nagonga nyundo hata leo and I like every moment I screw up somebody's broken car...
 
~Ulitengeneza water heater kwa kutumia spring za vitanda. Usiku wa manane unachemsha mahindi ya shamba la shule. Container la kuchemshia mahindi ni plastic la nje la chupa ya chai iliyoondolewa flask yake, inashikiliwa upside-down, i.e mfuniko ndo unakuwa base, na bottom yake inafunguliwa kuwa ndo mdomo wa 'sufuria' lako. Heater inawekwa kwanza katikati, then mahindi yanakatwa vipande na kupangwa around the heater.

Ukimaliza kuchemsha unarudisha waya wa umeme juu ya dari ambako ndiko connection ilikofanyika, kwani ni marufuku kutumia umeme wa socket!
Duuuuuu mkuu hii ni kiboko ,,nimetokea kukubali aiseee kwa mbinu hyo ya kutumia umeme nyie nouuma.
 
Back
Top Bottom