Ubungo Mataa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2018
- 411
- 725
Wakuu heshima mbele.
Nimetoa elfu 40 kwa sim banking kuja kwenye lain yangu ya simu ili niweze kulipia huduma fulan ambayo nimeshaitumia na ndio nataka kuondoka.
Pesa imekatwa kwenye CRDB account ila kwenye simu (airtel money) haisomi.
Nawapigia customer care, ananiambie ni kweli ila pesa utapata baada ya atleast 6hrs. Namwambia natakiwa nilipe hudumu niondoke anasema itabido usibiri hapo mpaka transaction isome(atleast masaa6).
Hii nchi ina kampuni za kipuuzi sana yaani, kwahiyo kama nipo sheli nisubiri 6 hours ndio muamala usome niondoke? Hudumu ya sim banking mara nyingi tunaitumia kwa emergence, kuwanin makini sana mtu apoamua kufanya muamla kwa simbankng. Acheni majibu ya kimadenge pale mnapoulizwa maswali seroius!
#Hilinalomkalitizame.
Nimetoa elfu 40 kwa sim banking kuja kwenye lain yangu ya simu ili niweze kulipia huduma fulan ambayo nimeshaitumia na ndio nataka kuondoka.
Pesa imekatwa kwenye CRDB account ila kwenye simu (airtel money) haisomi.
Nawapigia customer care, ananiambie ni kweli ila pesa utapata baada ya atleast 6hrs. Namwambia natakiwa nilipe hudumu niondoke anasema itabido usibiri hapo mpaka transaction isome(atleast masaa6).
Hii nchi ina kampuni za kipuuzi sana yaani, kwahiyo kama nipo sheli nisubiri 6 hours ndio muamala usome niondoke? Hudumu ya sim banking mara nyingi tunaitumia kwa emergence, kuwanin makini sana mtu apoamua kufanya muamla kwa simbankng. Acheni majibu ya kimadenge pale mnapoulizwa maswali seroius!
#Hilinalomkalitizame.