M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
1. Kwa siasa zetu zilivyo hawa CRDB ni vizuri wakaanza mchakato wa kupata boss mpya ifikapo Oktoba 2025.
2. Ukifuatilia matukio makubwa ya kitaifa hivi Karibuni utapata jibu kuwa kituo kifuatacho kuna ingizo jipya pale HAZINA/Moyo wa nchi ulipo.
3. Wizara ya Fedha inataka mweledi na mwenye uzoefu katika sekta Vs mchumi uchwara toka Tinde hakika [CV ya MN inambeba haswa - corporate exposure, Kada na mengineyo] Wabunge wa majimbo ya Kagera - Nkenge etc ni wakati wa kupisha kiti.
4. Singida All Stars/Esta express aka Dr first class wa Uchumi tafuta cha kufanya baada ya Oktoba 2025.
5. Kigumu Chama Makini Kigumu.
NB: Hakika Wizara ya Fedha inaenda kupata JEMBE.
2. Ukifuatilia matukio makubwa ya kitaifa hivi Karibuni utapata jibu kuwa kituo kifuatacho kuna ingizo jipya pale HAZINA/Moyo wa nchi ulipo.
3. Wizara ya Fedha inataka mweledi na mwenye uzoefu katika sekta Vs mchumi uchwara toka Tinde hakika [CV ya MN inambeba haswa - corporate exposure, Kada na mengineyo] Wabunge wa majimbo ya Kagera - Nkenge etc ni wakati wa kupisha kiti.
4. Singida All Stars/Esta express aka Dr first class wa Uchumi tafuta cha kufanya baada ya Oktoba 2025.
5. Kigumu Chama Makini Kigumu.
NB: Hakika Wizara ya Fedha inaenda kupata JEMBE.