CRDB kuna shida gani? Mnachelewesha sana kutoa mikopo

CRDB kuna shida gani? Mnachelewesha sana kutoa mikopo

Jugado

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2021
Posts
1,446
Reaction score
3,184
Benki ya CRDB imekutwa na kitu gani kwenye idara yao ya mikopo? Unaomba mkopo inapita mwezi au zaidi hawaweki pesa! Ukifuatilia ni majibu ya kupigana kanzu.

Kama shida ni mikopo kuwa centralized rudisheni branch ndo wawe wanalipa. Mna riba nafuu lakini inaboa kufuatilia mkopo for long time. Mikopo mingine ni ya matatizo ya dharura. Btw kama mmefilisika semeni.

Asante.
 
Benki ya CRDB imekutwa na kitu gani kwenye idara yao ya mikopo? Unaomba mkopo inapita mwezi au zaidi hawaweki pesa! Ukifuatilia ni majibu ya kupigana kanzu. Kama shida ni mikopo kuwa centralized rudisheni branch ndo wawe wanalipa. Mna riba nafuu lakini inaboa kufuatilia mkopo for long time. Mikopo mingine ni ya matatizo ya dharura. Btw kama mmefilisika semeni. Asante.
Umekidhi viwango vya mkopo utakao?
Kama ukiwaridhisha kila kipengele mkopo ni massaa 72
 
Umekidhi viwango vya mkopo utakao?
Kama ukiwaridhisha kila kipengele mkopo ni massaa 72
Nimekidhi vigezo. Nimejaza fomu zao likamilifu na wamezipokea.
 
Benki ya CRDB imekutwa na kitu gani kwenye idara yao ya mikopo? Unaomba mkopo inapita mwezi au zaidi hawaweki pesa! Ukifuatilia ni majibu ya kupigana kanzu.

Kama shida ni mikopo kuwa centralized rudisheni branch ndo wawe wanalipa. Mna riba nafuu lakini inaboa kufuatilia mkopo for long time. Mikopo mingine ni ya matatizo ya dharura. Btw kama mmefilisika semeni.

Asante.
Eti nini?👇

Screenshot_20220504-154458.png
 
Mimi sina ham nao nilifatilia pale Mliman city mkopo nikazungushwa 2month, nikaomba doc niende kwingine bado wakakatalia nilikiwasha pale wakanipa nikaenda nmb week tu nimewekewa hela.

Wajinga sana kuna mdada pale M/city ndio afisa mikopo anaitwa Brigita ana roho mbaya na anajibu shombo sana wateja utadhan bank yake( bila shaka atakuwa tasa yule au kazalishwa katelekezwa sio kwa roho ile).
 
Benki ya CRDB imekutwa na kitu gani kwenye idara yao ya mikopo? Unaomba mkopo inapita mwezi au zaidi hawaweki pesa! Ukifuatilia ni majibu ya kupigana kanzu.

Kama shida ni mikopo kuwa centralized rudisheni branch ndo wawe wanalipa. Mna riba nafuu lakini inaboa kufuatilia mkopo for long time. Mikopo mingine ni ya matatizo ya dharura. Btw kama mmefilisika semeni.

Asante.
Mkuu shukuru wanachelewesha mikopo ni msaada mkubwa sana kwa wanaokopa kwasababu wana muda wa kutafakar kabla ya kukopa.
 
Benki ya CRDB imekutwa na kitu gani kwenye idara yao ya mikopo? Unaomba mkopo inapita mwezi au zaidi hawaweki pesa! Ukifuatilia ni majibu ya kupigana kanzu.

Kama shida ni mikopo kuwa centralized rudisheni branch ndo wawe wanalipa. Mna riba nafuu lakini inaboa kufuatilia mkopo for long time. Mikopo mingine ni ya matatizo ya dharura. Btw kama mmefilisika semeni.

Asante.
Daa mimi, nilishajizoea zangu Maboto microfinanc nabeba chang siku hiyohyo na kusainisha form ni wao, mi nasubili changu chapu kwa ac yng nasepa hahaha, wako fast balaaaa.
 
Aisee umenishtua sana kuona umeandika crdb imefirisika , wakati kuna pesa zangu nyingi sana huko kidogo nife ghafla, wakati mwingine tumia lugha nzuri utakuja kuua
Pole. Asante kwa ushauri.
 
Kaa mkao wa kula. Tena ungeanza kutafuta simu ya MO na ya Rostam wawe wanakupa ushauri jinsi ya kuwekeza. Simu za mademu Anza kuzi block.
Hahaha. Asante.
 
Mimi sina ham nao nilifatilia pale Mliman city mkopo nikazungushwa 2month, nikaomba doc niende kwingine bado wakakatalia nilikiwasha pale wakanipa nikaenda nmb week tu nimewekewa hela.

Wajinga sana kuna mdada pale M/city ndio afisa mikopo anaitwa Brigita ana roho mbaya na anajibu shombo sana wateja utadhan bank yake( bila shaka atakuwa tasa yule au kazalishwa katelekezwa sio kwa roho ile).
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Mimi sina ham nao nilifatilia pale Mliman city mkopo nikazungushwa 2month, nikaomba doc niende kwingine bado wakakatalia nilikiwasha pale wakanipa nikaenda nmb week tu nimewekewa hela.

Wajinga sana kuna mdada pale M/city ndio afisa mikopo anaitwa Brigita ana roho mbaya na anajibu shombo sana wateja utadhan bank yake( bila shaka atakuwa tasa yule au kazalishwa katelekezwa sio kwa roho ile).
Haaaahaaa mkuu umetema nyongo yako yaani kama nakuona ulivyokuwa unawachachafya
 
Back
Top Bottom