CRDB kuna shida gani? Mnachelewesha sana kutoa mikopo

CRDB kuna shida gani? Mnachelewesha sana kutoa mikopo

Kama wewe mwajiriwa serikalini na bado unaona mapicha picha nenda kaongee na mkuu wako wa kazi kunaa jambo hapo mkuu wako kasema hufai kupewa mkopo hayo mambo hufanyika kimya kimya kati ya bank na mkuu wako eneo lako la kazi
Sio kweli mkuu...hakuna kitu kama hicho
 
Hata mimi hawa CRDB wamenishangaza sana.Nina wiki ya pili sasa tangu niwasilishe kwao fomu zangu za mkopo lakini mpaka muda huu hamna kitu. Mimi nilitegemea kuwa watakuwa fasta kutoa hela kama walivyo niambia wakati naenda kuchukua fomu za mkopo lakini wapi. Ikifika Jmosi ya wiki hii bila pesa kutoka walahi naenda kuchukua fomu zangu, sitaki ujinga mie!
Riba yao ni ngapi?
 
Siyo Mlimani city tu hata Kibaha wako hivyohivyo, unaenda kwa upole wanakujibu maandazi, Mara system imecollapse, Mara subirini sikukuu ziishe, kweli bank kuweka mkopo uliopitia process zote unasubiria sikukuu ziishe!?
Loan officers wote Wana matatizo...nahisi na rushwa huwa inanunikia mitaa ile ili mambo yako yaende[emoji848]
 
Ni rahisi sana kubadili account ya mshahara na hata Bank unaweza kuhamia mwezi huohuo ukapata mkopo. Kama Bank inanunua madeni yako kwa taasisi zingine kwa nini wakucheleweshee mkopo? Mwambie mwajiri wako akubadilishie a/c kabla ya "change note" ya mwezi ujao uone kama haukupata mkopo mwezi huo huo (vigezo na masharti kuzingatiwa).
Umemaliza kila kitu...
Ugumu sijui uko wapi?
 
Iko shida kwenye hii benki si bure...
Tangu nimesubmit fomu yangu mwezi wa pili sasa unaisha hamna kitu ni longo longo tu
 
Asking for a friend.
Hivi riba CRDB ni asilimia ngapi kwa sisi wafanyakazi wa serikali tukitaka mikopo ya kununulia baiskeli?
Natanguliza shukrani
 
Naona mkuu umejiandaa
Kuurudisha huo mkopo

Ova
 
siku unaenda kurudisha form ya mkopo NMB hapohapo wanakuambia ngoja ndani ya masaa 24 tukichelewa sanaaa masaa 72. Mimi haijawahi kuvuka masaa 30 mpunga umeingia, bata kidogo na maendeleo kwa sana maisha ndio haya haya
 
Benki ya CRDB imekutwa na kitu gani kwenye idara yao ya mikopo? Unaomba mkopo inapita mwezi au zaidi hawaweki pesa! Ukifuatilia ni majibu ya kupigana kanzu.

Kama shida ni mikopo kuwa centralized rudisheni branch ndo wawe wanalipa. Mna riba nafuu lakini inaboa kufuatilia mkopo for long time. Mikopo mingine ni ya matatizo ya dharura. Btw kama mmefilisika semeni.

Asante.

Unaposema wana riba nzuri ni kiasi gan hiko cha riba!?$
 
Mimi sina ham nao nilifatilia pale Mliman city mkopo nikazungushwa 2month, nikaomba doc niende kwingine bado wakakatalia nilikiwasha pale wakanipa nikaenda nmb week tu nimewekewa hela.

Wajinga sana kuna mdada pale M/city ndio afisa mikopo anaitwa Brigita ana roho mbaya na anajibu shombo sana wateja utadhan bank yake( bila shaka atakuwa tasa yule au kazalishwa katelekezwa sio kwa roho ile).
Yule hana hisia aling'olewa kiungo cha hisia.
Msamehe bure.
 
Back
Top Bottom