Mdf
Senior Member
- May 16, 2017
- 175
- 281
Si bora hata awe junior officer!?hamna kitu hapo.Acha uongo bhana, CRDB wana shida na loan officer mwenye akili timamu anasema tu kwa sasa nchi nzima mzigo hautoki we uko hapa unapiga uongo unless we ni junior officer huelewi lolote huko ndani