CRDB kuna shida gani? Mnachelewesha sana kutoa mikopo

CRDB kuna shida gani? Mnachelewesha sana kutoa mikopo

Umekidhi viwango vya mkopo utakao?
Kama ukiwaridhisha kila kipengele mkopo ni massaa 72

Wana tatizo, kama una mtu huko muulize atakwambia.

Kuna jamaa yangu alienda kukopa ni takribani mwezi mzima kakamilisha kila kitu ila hela hazitoki wanasema wana vikao vyao bado muafaka haujapatikana.

Jana jamaa yangu alienda kusitisha akabeba fomu zake Branch flani Mkoani Tanga, sasa anatafuta alternative way kukamilisha jambo lake.
 
Mimi sina ham nao nilifatilia pale Mliman city mkopo nikazungushwa 2month, nikaomba doc niende kwingine bado wakakatalia nilikiwasha pale wakanipa nikaenda nmb week tu nimewekewa hela.

Wajinga sana kuna mdada pale M/city ndio afisa mikopo anaitwa Brigita ana roho mbaya na anajibu shombo sana wateja utadhan bank yake( bila shaka atakuwa tasa yule au kazalishwa katelekezwa sio kwa roho ile).

Mikopo imesitishwa nchi nzima mkuu, usimlaumu huyo ni vile alikuwa hakwambii ukweli
 
Benki ya CRDB imekutwa na kitu gani kwenye idara yao ya mikopo? Unaomba mkopo inapita mwezi au zaidi hawaweki pesa! Ukifuatilia ni majibu ya kupigana kanzu.

Kama shida ni mikopo kuwa centralized rudisheni branch ndo wawe wanalipa. Mna riba nafuu lakini inaboa kufuatilia mkopo for long time. Mikopo mingine ni ya matatizo ya dharura. Btw kama mmefilisika semeni.

Asante.
Tawi gani hilo?
 
Acha uongo bhana, CRDB wana shida na loan officer mwenye akili timamu anasema tu kwa sasa nchi nzima mzigo hautoki we uko hapa unapiga uongo unless we ni junior officer huelewi lolote huko ndani
Walishatoa tangazo la kusitisha mikopo?
 
Walishatoa tangazo la kusitisha mikopo?

Hawajatoa ila ela hazitoki wanafanya mambo yao kimya kimya ila kiuhalisia mikopo hawatoi saiv.
Jamaa yangu kabisa wa kazini ambaye nilimsainia kama referee kaomba mkopo almost mwezi umepita hawajampa kaamua kufata fomu yake atafute akili nyingine tu.
 
Binafsi mwezi wa pili huu sasa bila bila sijui wanashida gani.
 
Nimekidhi vigezo. Nimejaza fomu zao likamilifu na wamezipokea.
Kama wewe mwajiriwa serikalini na bado unaona mapicha picha nenda kaongee na mkuu wako wa kazi kunaa jambo hapo mkuu wako kasema hufai kupewa mkopo hayo mambo hufanyika kimya kimya kati ya bank na mkuu wako eneo lako la kazi
 
Kama wewe mwajiriwa serikalini na bado unaona mapicha picha nenda kaongee na mkuu wako wa kazi kunaa jambo hapo mkuu wako kasema hufai kupewa mkopo hayo mambo hufanyika kimya kimya kati ya bank na mkuu wako eneo lako la kazi
😂😂😂😂
 
Hata mimi hawa CRDB wamenishangaza sana.Nina wiki ya pili sasa tangu niwasilishe kwao fomu zangu za mkopo lakini mpaka muda huu hamna kitu. Mimi nilitegemea kuwa watakuwa fasta kutoa hela kama walivyo niambia wakati naenda kuchukua fomu za mkopo lakini wapi. Ikifika Jmosi ya wiki hii bila pesa kutoka walahi naenda kuchukua fomu zangu, sitaki ujinga mie!
 
Hawa jamaaa nilitaka kumnasa kibao kabenki officer kamoja mkoa wa kanda ya ziwa nimejaza fomu kutuma fedha nje kanajizungusha tuuu! Vijana mkipewa kazi benki mjue mashati yenu hayo na ac tunalipia sisi acheni upumbavu!
 
Hata mimi hawa CRDB wamenishangaza sana.Nina wiki ya pili sasa tangu niwasilishe kwao fomu zangu za mkopo lakini mpaka muda huu hamna kitu. Mimi nilitegemea kuwa watakuwa fasta kutoa hela kama walivyo niambia wakati naenda kuchukua fomu za mkopo lakini wapi. Ikifika Jmosi ya wiki hii bila pesa kutoka walahi naenda kuchukua fomu zangu, sitaki ujinga mie!
Mimi waliniambia nikisharudisha form ndani ya siku tatu napata mzigo.

Ikifika Ijumaa bila bila naenda Kufata form zangu
 
Acha uongo bhana, CRDB wana shida na loan officer mwenye akili timamu anasema tu kwa sasa nchi nzima mzigo hautoki we uko hapa unapiga uongo unless we ni junior officer huelewi lolote huko ndani
Kuna mtu kapata a week ago. Na baada ya mwajiri kupitisha makato alipata hela siku hiyo hiyo. Inategemea na branch tu.
 
Umekidhi viwango vya mkopo utakao?
Kama ukiwaridhisha kila kipengele mkopo ni massaa 72
Usitetee kitu usicho kijua Kama hajakidhi vigezo angekuja kulalamika hapa!?CRDB Wana shida,siyo Kama walivyokuwa wanaharibu image yao waliyoijenga kwa gharama.
 
Mimi sina ham nao nilifatilia pale Mliman city mkopo nikazungushwa 2month, nikaomba doc niende kwingine bado wakakatalia nilikiwasha pale wakanipa nikaenda nmb week tu nimewekewa hela.

Wajinga sana kuna mdada pale M/city ndio afisa mikopo anaitwa Brigita ana roho mbaya na anajibu shombo sana wateja utadhan bank yake( bila shaka atakuwa tasa yule au kazalishwa katelekezwa sio kwa roho ile).
Siyo Mlimani city tu hata Kibaha wako hivyohivyo, unaenda kwa upole wanakujibu maandazi, Mara system imecollapse, Mara subirini sikukuu ziishe, kweli bank kuweka mkopo uliopitia process zote unasubiria sikukuu ziishe!?
 
Back
Top Bottom