Sio kweli mkuu...hakuna kitu kama hichoKama wewe mwajiriwa serikalini na bado unaona mapicha picha nenda kaongee na mkuu wako wa kazi kunaa jambo hapo mkuu wako kasema hufai kupewa mkopo hayo mambo hufanyika kimya kimya kati ya bank na mkuu wako eneo lako la kazi
Riba yao ni ngapi?Hata mimi hawa CRDB wamenishangaza sana.Nina wiki ya pili sasa tangu niwasilishe kwao fomu zangu za mkopo lakini mpaka muda huu hamna kitu. Mimi nilitegemea kuwa watakuwa fasta kutoa hela kama walivyo niambia wakati naenda kuchukua fomu za mkopo lakini wapi. Ikifika Jmosi ya wiki hii bila pesa kutoka walahi naenda kuchukua fomu zangu, sitaki ujinga mie!
Loan officers wote Wana matatizo...nahisi na rushwa huwa inanunikia mitaa ile ili mambo yako yaende[emoji848]Siyo Mlimani city tu hata Kibaha wako hivyohivyo, unaenda kwa upole wanakujibu maandazi, Mara system imecollapse, Mara subirini sikukuu ziishe, kweli bank kuweka mkopo uliopitia process zote unasubiria sikukuu ziishe!?
Umemaliza kila kitu...Ni rahisi sana kubadili account ya mshahara na hata Bank unaweza kuhamia mwezi huohuo ukapata mkopo. Kama Bank inanunua madeni yako kwa taasisi zingine kwa nini wakucheleweshee mkopo? Mwambie mwajiri wako akubadilishie a/c kabla ya "change note" ya mwezi ujao uone kama haukupata mkopo mwezi huo huo (vigezo na masharti kuzingatiwa).
Benki ya CRDB imekutwa na kitu gani kwenye idara yao ya mikopo? Unaomba mkopo inapita mwezi au zaidi hawaweki pesa! Ukifuatilia ni majibu ya kupigana kanzu.
Kama shida ni mikopo kuwa centralized rudisheni branch ndo wawe wanalipa. Mna riba nafuu lakini inaboa kufuatilia mkopo for long time. Mikopo mingine ni ya matatizo ya dharura. Btw kama mmefilisika semeni.
Asante.
Yule hana hisia aling'olewa kiungo cha hisia.Mimi sina ham nao nilifatilia pale Mliman city mkopo nikazungushwa 2month, nikaomba doc niende kwingine bado wakakatalia nilikiwasha pale wakanipa nikaenda nmb week tu nimewekewa hela.
Wajinga sana kuna mdada pale M/city ndio afisa mikopo anaitwa Brigita ana roho mbaya na anajibu shombo sana wateja utadhan bank yake( bila shaka atakuwa tasa yule au kazalishwa katelekezwa sio kwa roho ile).