Kampuni ya ndani kusambaa nje nchi lazima serikali itie mkono wake. Selcom ilikuwa na5potential ya kwenda nje ya nchi lakini jamaa yetu kaiua.Crdb na nmb zisambae Afrika ya Mashariki itakuwa muujiza. Watendaji na wasomi wetu ndio wameishia hapo hapo zilipo. Hakuna mawazo endelevu.
kama ni hivyo nitahamie equity chap. CRDB ni majambazi ya kutishaEquity Kuna fee MOJA TU. unapotoa fedha ATM Au Cash Hapo ndio unakatwa... Hakuna sijui monthly fee ,kuona salio etc.. Ukiweka mzigo wako hata uangalie salio lako Mara Mia Miezi na Miezi lipo vile vile
Equity wakala wapo wa kutosha, na charges zake ni ndogo sana kwa Wakala kama ATM zao tuAtm zao zipo za kutosha????........
looks like Equity ni wazuri kutunza hela wakati hizi local ni nzuri kwa wabongo wengi as tuko very poor kwenye judgement!
Hata NMB nowadays ukienda ukiwa na National ID wanakuhudumia kufungua account bila usumbufuNilitumia15min kufungua acc na kupewa kadi. .yaan sikuamini...Mimi sikuombwa hata barua za mtendaji sijui kitongoji no. Walitumia nida tu
Kadi unapewasiku hiyohiyo? Au unamsemea chapchap accountHata NMB nowadays ukienda ukiwa na National ID wanakuhudumia kufungua account bila usumbufu
Equity ndio bank1. Kijitanua: kwa East Africa Equity nafikiri ni bank inayoongoza kwa kujitanua. ipo nchi zote za EAC na imeingia kwa nguvu kubwa DRC na inanyemelea kuingia Ethiopia. Hizi zetu zipozipo tu. Nilisikia CRDB wana tawi Burundi, bado lipo.
2. Ufasta wa huduma: Equity ukiwa na namba au kitambulisho cha NIDA unarudi nyumbani una account na ATM card. Picha wanakupiga wenyewe, kila hatua iko fasta. Ukitaka cheque book ni fasta na bei rahisi mno, wanakupigia simu ikitoka.
3. Wahudumu: Kwa kweli wahudumu wa hizi benki zetu wanauzembe sana. Utakuta benki inaproduct mpya lakini ukienda uliza wale watumishi unakuta hawaelewi na wanaanza kuulizanaulizana, sijui hawapewi semina? Ukiona wanatembea harakahara wanaliza viatu unaweza dhani ni watu waelewa. Pia, ni kama wahudumu/maafisa mikopo wa hizi benki zetu hufurahi sana mtu asipotimiza vigezo vya mkopo.
4. Kingine naona Equity wanashirikiana sana na na "mabeberu", Kwenye kujitanua kwa wanashirikiana sana na mashirika ya kifedha kutoka nje.
Ushauri wangu ni kuwa hizi benki zitafute consultants wawasaidie namna ya kujiendesha na kujitanua nje vitu vidogo kama kumpiga mteja picha badala ya kumwambia aje na passport vina impact kubwa sana, mambo yanabadilika.
Kuna hoja ya msingi sana hapaBot kama regulators wa haya mabenki tafadhali waangalie upya charges za haya mabenki kwa wateja; some of their charges are unjustified! Mfano kwanini umtoze mteja kwa kutoa fedha zake toka kwenye account yake wakati huo huo mnatoza monthly fees kwa mwenye account?
Kuna unjustified charges nyingi ambazo ndizo zinasababisha mabenki yapate faida ambayo inatakiwa itokane na kukopesha wateja na sio tozo!!
Atm zao zipo za kutosha????........
looks like Equity ni wazuri kutunza hela wakati hizi local ni nzuri kwa wabongo wengi as tuko very poor kwenye judgement!
Equity ndio bank
Kubwa na yenye mtaji kuliko bank zote afrika mashariki!
Usilinganishe na local bank zetu hapa.
Niliumbuka chalinze July.. mvua imepiga Sina stress najua nna hela. Kumbe hakuna atm Wala wakala chalinze😆😆...then net ikawa down .haahaaa siwez sahau..nilianza kuhesabu wapita njia bila kupenda...Hili walifanyie kazi aisee
Walikupa aina gani ya kadi mdada? Kadi yangu ya Equity huwa naitumia hata nisipokuwa nchini kwa Magu kwa huduma zote zikiwemo kuchanja na kutoa pesa kwenye ATM zingine, nikizamani kutafuta ATM ya bank husika ili utoe pesa. CC Idd Ninga ngulyabhule
Weeee sitak habari za kuchanja benk nyngn aisee wanakata vby Sana. Wanakata dabo