Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 434
- 1,126
Benki zetu nyingi hapa nchini swala la huduma kwa wateja bado sana. Unakuta benki/tawi lina madirisha saba lakini yanayotoa huduma ni mawili au matatu, hili tatizo ni kwa benki zote nchini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]ww ni mteja konki wa NMB unaonekana aiseeenaamua ugomvi NMB Simba Vs CRDB Uto.
Sawa hatupingi mawazo yako..Hakuna bank kama NMB.
Mwakajana walitoa zaidi ya Tsh 260 kwa kila hisaGawio kwa wanahisa ni kiasi gani? Mfano NMB hisa moja ni 4500. Unapata faida kiasi kwa hisa moja? CRDB ni 450, faida ni Tsh ngapi kwa hisa?
Ww hujatembelea vzuri matawi ya NMB bado inaonekana...Crdb Kuna madem wazuri wafanyakazi NMB bado sana
Hapana NMB ilizidi hapo ilikua 286.25Mwaka jana gawio Crdb 45 Nmb 100
Crdb waongeze ongeze mwaka huu ifike hata 100Hapana NMB ilizidi hapo ilikua 286.25View attachment 2892081
IHapana NMB ilizidi hapo ilikua 286.25View attachment 2892081
Kiasi cha chini cha idadi ya hisa kununua DSE ni Hisa kumi kwahyo kuhusu gharama inategemea na bei ya hisa ya kampuni husikaCRDB kumbe wanatoa mkwanja mrefu. Hivi minimum kununua hisa ni kiasi gani?
I
Numb ukitoa watumishi wa uma hakuna kituNMB wateja 7.1M
CRDB wateja 4M
Nitajaribu kuifuatilia nione ukweli wakeKwa huduma bora kwa wateja hapo hakuna,baba lao AZANIA
Manara......Followers wa Instagram wa nini hapo?!
Nina swali mkuu,Ni ukweli usiopingika kwamba kwa sasa hizi Bank mbili ni wababe ktk sekta ya Biashara ya kibenki Tanzania na hii ni kutokana na ukubwa waliokua nao na pia kutopishana sana kwny baadhi ya takwimu zao muhimu kama zinavyojieleza hapa chini..[emoji116][emoji116][emoji116]
1.THAMANI YA MALI WANAZOMILIKI(ASSETS VALUE)
CRDB:-Tsh13.2 Trilion
NMB:-Tsh12.165 Trilion
2.AMANA ZA WATEJA(CUSTOMER DEPOSITS)
CRDB:- Tsh 8.9 Trillion
NMB:- Tsh 8.4 Trilion
3.SHAREHOLDERS VALUE
CRDB:- Tsh 1.8 Trilioni
NMB:- Tsh 2.25 Trilioni
4.FAIDA BAADA YA KODI
CRDB:- Tsh 424Bn
NMB:- Tsh 542Bn
5.BEI KWA HISA MOJA DSE
CRDB:- Tsh 460
NMB:- Tsh 4500
6.BRANCHES(MATAWI)
CRDB:- 243(2022)
NMB:- 226(2022)
7.WAFANYAKAZI
CRDB:- 3700+
NMB:- 3500+
8.KUANZISHWA
CRDB:- 1996
NMB:- 1997
9.FOLLOWERS INSTAGRAM
CRDB:- 275K
NMB:' 270K
Unaeza kuongezea chochote cha ushndani pia kuhusu hzi benki mbili kubwa nchini binafsi nawakubali sana NMB kwny kitengo cha HUDUMA KWA WATEJA[emoji91].
Nini kinakufurahisha na kipi kinakukera kutoka kwa hawa miamba wa sekta ya Bank na ni Bank ipi inayokuvutia zaidi ya hzo mbili hapa nchini...[emoji120]
Kwanza kabisa utoaji wa Gawio haujawahi kuwa constant unategemeana na faida kiasi gani kampuni imetengeneza katika mwaka wa fedha husika lakini pia inategemea na malengo ya kampuni katika mwaka wa fedha unaofuata kama kampuni ina mpango wa kujitanua zaidi(kuanzisha branch nyingi ktk mwaka unaofuata) basi kiasi kidogo sana kitatolewa gawio na kingine kitatumika km mtaji wa kujipanua zaidi..Nina swali mkuu,
Mfano nimewekeza katika hisa
Crdb - 4.600.000/=
Nmb - 4.500.000/=
Je naweza kupata gawio sh ngapi kwa mwaka? Kama crdb walipata faida ya tsh 424bn na Nmb tshs 542bn?
Kwanini.?Hizi bank mbili ukitoa tu watumishi wa umma zinajifia Kama siafu juani.
Nahisi mwaka huu itacheza kwenye 50~ 58 Tshs per share.Crdb waongeze ongeze mwaka huu ifike hata 100
NBC kwa sasa wanakuja vzurii wazidi kukaza tu kwny kujibrand soon watakua mbaliiSisi wa NBC tunatakiwa kusema nini?