Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
- Thread starter
- #61
Sidhani km inawezekanaNaomba kuuliza nina scolar akaunti naweza itumia mpaka sasa nilimaliza chuo 2021 sijawahi kuweka hela naweza itumia mpaka sasa??? Iko hai??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani km inawezekanaNaomba kuuliza nina scolar akaunti naweza itumia mpaka sasa nilimaliza chuo 2021 sijawahi kuweka hela naweza itumia mpaka sasa??? Iko hai??
Ngoja niwafate kwenye page zao ukooSidhani km inawezekana
Wapi wanapokukosha sana kiongoziCRDB BANK kiboko kabisa broh
Hyo kuhamisha salio nahisi ipo kwny mabenki ya nchi nyingi sanaaMabenki ya huku Africa ni wanyonyaji sana.
Hebu tazama:
1) Kuhamisha fedha unakatwa
2) Kutazama salio unakatwa
3) Kupata statement unakatwa
4) Kutoa pesa unakatwa
5) Kufanya malipo unakatwa.
Baada ya hapo utawasikia wanajivunia kwa kupata FAIDA kubwa iliyovunja rekodi kwa kuvuka malengo, kisha wanatoa GAWIO nono kwa washirika wao. Kumbe FAIDA zimetengenezwa kwa kuwanyonya watu maskini senti zao.
Wenzao katika nchi zinazojali maisha ya watu, makato yote hapo juu hayapo. Malipo pekee unayolipia ni huduma ya card kwa mwezi. Fedha ambayo ni kidogo sana. Wenzao faida wanapata kutokana na mikopo wanayotoa na uwekezaji mwingine.
Ndio, thamani ya hisa ni ndogo kulinganisha na bei ya sokoni....lakini hata hivyo haiondoi ukweli kwamba nmb wapo vizuri sana sokoni kwa sasa hvi.Kwahyo data ya NAV Per Share inamaanisha kwa sasa bei ya hisa ya NMB ipo overrated sokoni means inauzwa kwa price kubwa than its value siyo...[emoji848]
Mmhh hyo juzi ya 1250 ilikua mwaka gan mkuuKumbe share za NMB zimepanda hiv, ni juz tu zilikuwa 1250
Angalia dividend per price of one hisa. Mbona watu numbers game jau mnoMwaka jana gawio Crdb 45 Nmb 100
UwongoMwaka jana gawio Crdb 45 Nmb 100
Yaaa hakika kiongoziNdio, thamani ya hisa ni ndogo kulinganisha na bei ya sokoni....lakini hata hivyo haiondoi ukweli kwamba nmb wapo vizuri sana sokoni kwa sasa hvi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaah hakika ilikua 286.25
Dar es Salaam Bank au Diamond Bank?Huduma kwa Wateja DTB kiboko yao. Wanakukorogea na kahawa huku wanafanya deposit wenyewe.
DTB-Diamond Trust BankDar es Salaam Bank au Diamond Bank?
Huo ni uongo na utapeli.Salaried loan riba crdb 13% na nmb 16%
Huwaga ni ngapi.??Huo ni uongo na utapeli.
Hakuna riba ya 13% CRDB
Haina tofauti na ya NMB.Huwaga ni ngapi.??