Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
- Thread starter
- #41
Yaaa inaeza ikafka hata 60 pia au zaidiNahisi mwaka huu itacheza kwenye 50~ 58 Tshs per share.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaa inaeza ikafka hata 60 pia au zaidiNahisi mwaka huu itacheza kwenye 50~ 58 Tshs per share.
Kwa sasa Hisa yao moja ni 460/=CRDB kumbe wanatoa mkwanja mrefu. Hivi minimum kununua hisa ni kiasi gani?
I
Non performing loansNi ukweli usiopingika kwamba kwa sasa hizi Bank mbili ni wababe ktk sekta ya Biashara ya kibenki Tanzania na hii ni kutokana na ukubwa waliokua nao na pia kutopishana sana kwny baadhi ya takwimu zao muhimu kama zinavyojieleza hapa chini..[emoji116][emoji116][emoji116]
1.THAMANI YA MALI WANAZOMILIKI(ASSETS VALUE)
CRDB:-Tsh13.2 Trilion
NMB:-Tsh12.165 Trilion
2.AMANA ZA WATEJA(CUSTOMER DEPOSITS)
CRDB:- Tsh 8.9 Trillion
NMB:- Tsh 8.4 Trilion
3.SHAREHOLDERS VALUE
CRDB:- Tsh 1.8 Trilioni
NMB:- Tsh 2.25 Trilioni
4.FAIDA BAADA YA KODI
CRDB:- Tsh 424Bn
NMB:- Tsh 542Bn
5.BEI KWA HISA MOJA DSE
CRDB:- Tsh 460
NMB:- Tsh 4500
6.BRANCHES(MATAWI)
CRDB:- 243(2022)
NMB:- 226(2022)
7.WAFANYAKAZI
CRDB:- 3700+
NMB:- 3500+
8.KUANZISHWA
CRDB:- 1996
NMB:- 1997
9.FOLLOWERS INSTAGRAM
CRDB:- 275K
NMB:' 270K
Unaeza kuongezea chochote cha ushndani pia kuhusu hzi benki mbili kubwa nchini binafsi nawakubali sana NMB kwny kitengo cha HUDUMA KWA WATEJA[emoji91].
Nini kinakufurahisha na kipi kinakukera kutoka kwa hawa miamba wa sekta ya Bank na ni Bank ipi inayokuvutia zaidi ya hzo mbili hapa nchini...[emoji120]
Mwaka huu inaweza fika TZS 57Crdb waongeze ongeze mwaka huu ifike hata 100
Zipo nyingi ila mojawapo ni Demand and supply ya shares na changes in economic conditions.5.BEI KWA HISA MOJA DSE
CRDB:- Tsh 460
NMB:- Tsh 4500.
Naomba kujuzwa hapo kwenye hisa, huwa wanatumia vigezo gani kupanga bei?
Kwahyo data ya NAV Per Share inamaanisha kwa sasa bei ya hisa ya NMB ipo overrated sokoni means inauzwa kwa price kubwa than its value siyo...[emoji848]Non performing loans
CRDB=2.8%
NMB=3.2%
NAV per share
CRDB=TZS 681.5
NMB=TZS 4181.2
COST TO INCOME RATIO (CIR)
CRDB=55%
NMB=39%
Sent using Jamii Forums mobile app
CRDB wako vizuri ila sikuhizi wameanza kuzinguazingua
Wapi wanafeli tujuzane..CRDB wako vizuri ila sikuhizi wameanza kuzinguazingua
Ndio wateja wao wakubwa kimikopo na watumiajiKwanini.?
Crdb Kuna madem wazuri wafanyakazi NMB bado sana
Huduma kwa Wateja DTB kiboko yao. Wanakukorogea na kahawa huku wanafanya deposit wenyewe.Kwa huduma bora kwa wateja hapo hakuna,baba lao AZANIA
Kwa DTB nakataa.Benki zetu nyingi hapa nchini swala la huduma kwa wateja bado sana. Unakuta benki/tawi lina madirisha saba lakini yanayotoa huduma ni mawili au matatu, hili tatizo ni kwa benki zote nchini.
Aiseee ntajaribu kuchunguza hukoHuduma kwa Wateja DTB kiboko yao. Wanakukorogea na kahawa huku wanafanya deposit wenyewe.
Ahahahaaa hao noma unaweza ukawa unaenda kuuliza tu salio ili upate kahawa yao.Huduma kwa Wateja DTB kiboko yao. Wanakukorogea na kahawa huku wanafanya deposit wenyewe.
Upo teller au?Wapi wanafeli tujuzane..
Naomba kuuliza nina scolar akaunti naweza itumia mpaka sasa nilimaliza chuo 2021 sijawahi kuweka hela naweza itumia mpaka sasa??? Iko hai??Ni ukweli usiopingika kwamba kwa sasa hizi Bank mbili ni wababe ktk sekta ya Biashara ya kibenki Tanzania na hii ni kutokana na ukubwa waliokua nao na pia kutopishana sana kwny baadhi ya takwimu zao muhimu kama zinavyojieleza hapa chini..[emoji116][emoji116][emoji116]
1.THAMANI YA MALI WANAZOMILIKI(ASSETS VALUE)
CRDB:-Tsh13.2 Trilion
NMB:-Tsh12.165 Trilion
2.AMANA ZA WATEJA(CUSTOMER DEPOSITS)
CRDB:- Tsh 8.9 Trillion
NMB:- Tsh 8.4 Trilion
3.SHAREHOLDERS VALUE
CRDB:- Tsh 1.8 Trilioni
NMB:- Tsh 2.25 Trilioni
4.FAIDA BAADA YA KODI
CRDB:- Tsh 424Bn
NMB:- Tsh 542Bn
5.BEI KWA HISA MOJA DSE
CRDB:- Tsh 460
NMB:- Tsh 4500
6.BRANCHES(MATAWI)
CRDB:- 243(2022)
NMB:- 226(2022)
7.WAFANYAKAZI
CRDB:- 3700+
NMB:- 3500+
8.KUANZISHWA
CRDB:- 1996
NMB:- 1997
9.FOLLOWERS INSTAGRAM
CRDB:- 275K
NMB:' 270K
Unaeza kuongezea chochote cha ushndani pia kuhusu hzi benki mbili kubwa nchini binafsi nawakubali sana NMB kwny kitengo cha HUDUMA KWA WATEJA[emoji91].
Nini kinakufurahisha na kipi kinakukera kutoka kwa hawa miamba wa sekta ya Bank na ni Bank ipi inayokuvutia zaidi ya hzo mbili hapa nchini...[emoji120]
Diamond Trust BankAhahahaaa hao noma unaweza ukawa unaenda kuuliza tu salio ili upate kahawa yao.
Hivi ni TANZANIA DEVELOPMENT BANK (TDB) au ni DEVELOPMENT TANZANIA BANK (DTB)? au ni bank gani hiyo.
Hapana nduguUpo teller au?