CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

CRDB VS NMB: Watani wa Jadi (Simba na Yanga) katika sekta ya Kibenki Tanzania

Ni ukweli usiopingika kwamba kwa sasa hizi Bank mbili ni wababe ktk sekta ya Biashara ya kibenki Tanzania na hii ni kutokana na ukubwa waliokua nao na pia kutopishana sana kwny baadhi ya takwimu zao muhimu kama zinavyojieleza hapa chini..[emoji116][emoji116][emoji116]

1.THAMANI YA MALI WANAZOMILIKI(ASSETS VALUE)
CRDB:-Tsh13.2 Trilion
NMB:-Tsh12.165 Trilion

2.AMANA ZA WATEJA(CUSTOMER DEPOSITS)
CRDB:- Tsh 8.9 Trillion
NMB:- Tsh 8.4 Trilion

3.SHAREHOLDERS VALUE
CRDB:- Tsh 1.8 Trilioni
NMB:- Tsh 2.25 Trilioni

4.FAIDA BAADA YA KODI
CRDB:- Tsh 424Bn
NMB:- Tsh 542Bn

5.BEI KWA HISA MOJA DSE
CRDB:- Tsh 460
NMB:- Tsh 4500

6.BRANCHES(MATAWI)
CRDB:- 243(2022)
NMB:- 226(2022)

7.WAFANYAKAZI
CRDB:- 3700+
NMB:- 3500+

8.KUANZISHWA
CRDB:- 1996
NMB:- 1997

9.FOLLOWERS INSTAGRAM
CRDB:- 275K
NMB:' 270K
Unaeza kuongezea chochote cha ushndani pia kuhusu hzi benki mbili kubwa nchini binafsi nawakubali sana NMB kwny kitengo cha HUDUMA KWA WATEJA[emoji91].

Nini kinakufurahisha na kipi kinakukera kutoka kwa hawa miamba wa sekta ya Bank na ni Bank ipi inayokuvutia zaidi ya hzo mbili hapa nchini...[emoji120]
Non performing loans
CRDB=2.8%
NMB=3.2%

NAV per share
CRDB=TZS 681.5
NMB=TZS 4181.2

COST TO INCOME RATIO (CIR)
CRDB=55%
NMB=39%


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Non performing loans
CRDB=2.8%
NMB=3.2%

NAV per share
CRDB=TZS 681.5
NMB=TZS 4181.2

COST TO INCOME RATIO (CIR)
CRDB=55%
NMB=39%


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo data ya NAV Per Share inamaanisha kwa sasa bei ya hisa ya NMB ipo overrated sokoni means inauzwa kwa price kubwa than its value siyo...[emoji848]
 
Ni ukweli usiopingika kwamba kwa sasa hizi Bank mbili ni wababe ktk sekta ya Biashara ya kibenki Tanzania na hii ni kutokana na ukubwa waliokua nao na pia kutopishana sana kwny baadhi ya takwimu zao muhimu kama zinavyojieleza hapa chini..[emoji116][emoji116][emoji116]

1.THAMANI YA MALI WANAZOMILIKI(ASSETS VALUE)
CRDB:-Tsh13.2 Trilion
NMB:-Tsh12.165 Trilion

2.AMANA ZA WATEJA(CUSTOMER DEPOSITS)
CRDB:- Tsh 8.9 Trillion
NMB:- Tsh 8.4 Trilion

3.SHAREHOLDERS VALUE
CRDB:- Tsh 1.8 Trilioni
NMB:- Tsh 2.25 Trilioni

4.FAIDA BAADA YA KODI
CRDB:- Tsh 424Bn
NMB:- Tsh 542Bn

5.BEI KWA HISA MOJA DSE
CRDB:- Tsh 460
NMB:- Tsh 4500

6.BRANCHES(MATAWI)
CRDB:- 243(2022)
NMB:- 226(2022)

7.WAFANYAKAZI
CRDB:- 3700+
NMB:- 3500+

8.KUANZISHWA
CRDB:- 1996
NMB:- 1997

9.FOLLOWERS INSTAGRAM
CRDB:- 275K
NMB:' 270K
Unaeza kuongezea chochote cha ushndani pia kuhusu hzi benki mbili kubwa nchini binafsi nawakubali sana NMB kwny kitengo cha HUDUMA KWA WATEJA[emoji91].

Nini kinakufurahisha na kipi kinakukera kutoka kwa hawa miamba wa sekta ya Bank na ni Bank ipi inayokuvutia zaidi ya hzo mbili hapa nchini...[emoji120]
Naomba kuuliza nina scolar akaunti naweza itumia mpaka sasa nilimaliza chuo 2021 sijawahi kuweka hela naweza itumia mpaka sasa??? Iko hai??
 
Back
Top Bottom