CRDB wakanusha bank statement iliyodaiwa kuwa ya Mbowe

CRDB wakanusha bank statement iliyodaiwa kuwa ya Mbowe

CRDB wasituone wote wajinga. Kama siyo bank statement ya kweli kwanini serikali ihusishwe na ufanyike uchunguzi?

Au niulize, uchunguzi wa nini? Kubainisha kuwa siyo ya ukweli?

Haiingii akilini.

Wewe bibi unajua wewe ni kumbafu sana?
Kwanza acc za crdb haziko kama hiyo namba ilivyo!!
Kiufupi hata hiyo acc haipo!!!
Kenge wwe!
IMG_4091.jpg
 
CRDB wasituone wote wajinga. Kama siyo bank statement ya kweli kwanini serikali ihusishwe na ufanyike uchunguzi?

Au niulize, uchunguzi wa nini? Kubainisha kuwa siyo ya ukweli?

Haiingii akilini.
Unaijua Familia ya Mbowe? Wewe endela na na Mision za Udini, Mbowe ana pesa wakati wewe Wazazi wako hasa Babu zako wakiwa Busy na elimu ya Dini
 
CRDB wasituone wote wajinga. Kama siyo bank statement ya kweli kwanini serikali ihusishwe na ufanyike uchunguzi?

Au niulize, uchunguzi wa nini? Kubainisha kuwa siyo ya ukweli?

Haiingii akilini.
Nahisi umeanza kuzeeka sana.
Umeshindwa kusoma na kuelewa hiyo taarifa ya CRDB?

Kukuelewesha tu, CRDB wamesema serikali imehusishwa kuchunguza watu waliotengeneza hiyo taarifa ya uongo.

Otherwise, CRDB wamesema hiyo sio bank statement ya Mbowe. Nini kingine unataka kusikia?
 
Hizi propaganda za kijinga sana. Ile statement haina hata bank charges. Tatizo pande zote CCM na CHADEMA ina makada ambao ni wapuuzi kuanzisha mambo ya kijinga. CHADEMA ni wataalamu wa hizi propaganda za kishamba.
Nadhani wewe huenda umechangikiwa.
CHADEMA wanahusikaje ni hizi propaganda za kijinga?
Kwa kuwa umegundua CCM ni wajinga na wapumbavu kwenye hizi propaganda basi unatafuta angle ya kuwahusisha CHADEMA pia ili kunetralize ujinga na upumbavu wa kiCCM.
 
Wanaharakati wa chadema kwenye mitandao ya kijamii.

Hata hivyo hao crdb wamejitahidi sana kukanusha! kiuhalisia hakukuwa na sababu zozote za kukanusha kwasababu hata chadema nao wanaoongoza kwa propaganda zisizo za kweli. Utakuta picha ya miaka ya nyuma wanaitumia kuelezea tukio la sasa!
Hizo zote ni propaganda tu za kisiasa. Hazina tija
Hivi wewe una akili timamu?
Ulitaka CRDB wasikanushe huo uongo?
Ulitaka wakae kimya?
Kwa hiyo kama CHADEMA wana propaganda za kijinga (kama ulivyodai wewe) na CCM wakija na Propaganda za kijinga, dawa ni kuziacha hizo propaganda ziendelee bila kukanushwa? Unawaza kwa kutumia nini?


Kwa nini wewe uumie kwa CRDB kuzikana hizo bank statement fake?
 
CRDB wasituone wote wajinga. Kama siyo bank statement ya kweli kwanini serikali ihusishwe na ufanyike uchunguzi?

Au niulize, uchunguzi wa nini? Kubainisha kuwa siyo ya ukweli?

Haiingii akilini.
Wewe Bibi kweli haunazo mpaka naijuliza kila siku unakuaje platinum member kama sio Fisadi la kijani, uchunguzi unafanyika kubaini ni nani aliyeitengeneza hiyo statement fake maana si kwamba inamchafua Mbowe, Mbowe yupo leo kesho atazikwa kama alivyozikwa magufuli ila CRDB ni taasisi kubwa inaoperate zaidi ya Tanzania na kusambaa kwa statement ya mteja wao ambayo hata kama ingekuwa ni kweli huwa ni Siri baina ya Bank na Mteja hivyo kusambaa kwake kunaipotezea credibility kwa wateja na watu Smart (ambao ndio wenye hela nyingi) watakwepa kubank na CRDB, ila nje ya Bank, hairuhusiwi kutengeneza na kuchapisha taarifa za kughushi na Mbowe angekua hajakomaa kusiasaa angeanza kumla kichwa huyo muhusika wa statement fake.
 
CRDB wasituone wote wajinga. Kama siyo bank statement ya kweli kwanini serikali ihusishwe na ufanyike uchunguzi?

Au niulize, uchunguzi wa nini? Kubainisha kuwa siyo ya ukweli?

Haiingii akilini.
Haingii akili Mtu mzima kama wew kudhani ile Statment inaweza kuwa ya Kwelii...!!
 
Hivi naomba kufahamu gharama za kupata bank statement.....na kama kuna kigezo kingine chahitajika
 
CRDB wasituone wote wajinga. Kama siyo bank statement ya kweli kwanini serikali ihusishwe na ufanyike uchunguzi?

Au niulize, uchunguzi wa nini? Kubainisha kuwa siyo ya ukweli?

Haiingii akilini.
Haya ni ya kweli
 
Hizi propaganda za kijinga sana. Ile statement haina hata bank charges. Tatizo pande zote CCM na CHADEMA ina makada ambao ni wapuuzi kuanzisha mambo ya kijinga. CHADEMA ni wataalamu wa hizi propaganda za kishamba.
Yaani umewataja wote CCM na CDM, na mwisho ukasema ni CDM..!! Aisee
 
CRDB wasituone wote wajinga. Kama siyo bank statement ya kweli kwanini serikali ihusishwe na ufanyike uchunguzi?

Au niulize, uchunguzi wa nini? Kubainisha kuwa siyo ya ukweli?

Haiingii akilini.
Kheee..!! Unashangaa serikali kuhusishwa..!!?? Loliondo yenyewe imeuzwa na serikali na mpaka imewafukuza wamasai, ndo uje ushangae benki statement kuhusishwa serikali..!!
 
Mh jamani Da FaizaFoxy mbona statement ni ya uongo kabisa ni fake. Mi ilibidi nichunguze. Ni kweli mbowe anaongoza genge la wahuni ila kwa hili kuna propaganda ambayo siyo nzuri, tuziache bank zetu zifanye kazi.
Una elimu gani mkuu?
 
CRDB wasituone wote wajinga. Kama siyo bank statement ya kweli kwanini serikali ihusishwe na ufanyike uchunguzi?

Au niulize, uchunguzi wa nini? Kubainisha kuwa siyo ya ukweli?

Haiingii akilini.


Niliwahi tu kuwaza kwamba wewe ni chawa na mtafutaji, lakini leo nimegundua pia Hauna akili, sio uchawa tu, na uwezo wako binafsi wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo.
 
Back
Top Bottom